magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,204
- 3,336
Kwa mazao ya chakula bado hiyo bei ya elfu 9 kwa gunia la debe 6 ni bei kubwa sana. Inabidi ishuke mpaka elfu 3 kwa gunia na mia tano kwa debe. Unga bei isizidi Tsh.100 kwa kg.1. Maisha yanakuwa magumu kwa sababu hata mazao ya chakula yamefanywa biashara..! Lazima tufike mahali tujue mazao ya biashara na mazao ya chakula. Zamani ilikuwa mtu akiwa anakuja dar kwa ndugu,anabeba unga,mahindi,viazi nk. Lkn siku hizi hakuna hizo zawadi kwa sababu ya tamaa ya fedha. Mtu anaona kukubebea kilo 20 za Mchele ni hasara! Mwacheni magu asimamie hii show,tunataka mpaka muwe mnapiga simu kubembeleza kuja kuchukua mahindi buree!!!