Bei ya mahindi Songea kizungumkuti, tofauti ya bei ya mahindi na mbolea ni kama mbingu na ardhi

Bei ya mahindi Songea kizungumkuti, tofauti ya bei ya mahindi na mbolea ni kama mbingu na ardhi

Hali ni tete kwa wakulima wa mahindi, bei ya mahindi na bei mbolea tofauti yake ni kama mbingu na ardhi.
bei ya mbolea aina ya urea ni tsh,58 000,
bie ya mahindi kwa gunia ni tsh,24000,
basi kwa niaba ya wakulima tunaomba wenye mamlaka waokoe jahazi, maana tutashindwa kuzalisha mahindi kwa ufanisi msimu wa kesho.
Taarifa yako iko nusu mkuu hiyo mbolea ina cover heka ngapi? Na kwenye heka yanatoka majunia mangapi? Ndiyo tutaelewa na kuchangia vizuri mada yako.
 
Taarifa yako iko nusu mkuu hiyo mbolea ina cover heka ngapi? Na kwenye heka yanatoka majunia mangapi? Ndiyo tutaelewa na kuchangia vizuri mada yako.
Heka moja unatumia mifuko mitatu mmoja kukuzia na miwili kuzalishia weka gharama ya parizi kulima kuvuna ,kuyasafirisha na kuyahifadhi
 
Pembejeo haiwezi kupungua bei wakati serikali inataka kodi kubwa kutoka viwandani
hapana mkuu usimjibu kwa jazba. Serikali lazima iwasaidie wakulima yani haiwajali kabisa. Ikishindikana kuwapa ruzuku Basi iwasaidie kwa kupunguza Bei pembejeo wakati huu Hali mbaya kwao Sasa kazi ya Waziri wa kilimo Ni Nini?

Nchi zilizoendelea mbona serikali zao zinawapiga jeki Na tough wakati was mauzo yakiwa chini?
 
Hao wakulima wangeleta mahindi Arusha.Sasa hivi gunia linaendea 56,000/-
 
Kwani bei ya mahindi ikiwa 24000 na mbolea ikiwa 58000 kuna ahida gani? Kama ungekuwa unavuna gunia moja ndio ingekuwa tatizo. Kama unatumia mbolea mfuko m1 na unapata mahindi gunia 10 mbona sawa tu.

Limeni acheni uvivu
Kwan shamba linatoa gunia 10 kwa mfuko mmoja ni mbolea tu inayi cost??

Umesahau ulimaji mbegu,palizi ,nk

Mahind Bei inashuka sio songea tu huko mbozi nw Bei n 3500 *****
 
Hali ni tete kwa wakulima wa mahindi, bei ya mahindi na bei mbolea tofauti yake ni kama mbingu na ardhi.
bei ya mbolea aina ya urea ni tsh,58 000,
bie ya mahindi kwa gunia ni tsh,24000,
basi kwa niaba ya wakulima tunaomba wenye mamlaka waokoe jahazi, maana tutashindwa kuzalisha mahindi kwa ufanisi msimu wa kesho.
Kaaz kweli, huku kwetu mahindi elf 65 hadi70
 
Mkuu Natus umewaambia vyema kabisa,kwa mkoa wa ruvuma wanaweza kulima hata maharagwe na soya na ukapiga hela.Sio kusikiliza wanasiasa tu.Bali tafuteni wataalamu wa kilimo wawasaidie.Kilimo cha mazoea kimepitwa na wakati
 
Hali ni tete kwa wakulima wa mahindi, bei ya mahindi na bei mbolea tofauti yake ni kama mbingu na ardhi.
bei ya mbolea aina ya urea ni tsh,58 000,
bie ya mahindi kwa gunia ni tsh,24000,
basi kwa niaba ya wakulima tunaomba wenye mamlaka waokoe jahazi, maana tutashindwa kuzalisha mahindi kwa ufanisi msimu wa kesho.
Mkome kabisa hicho ndicho mlicho chagua mnalia nini?
 
Kwani bei ya mahindi ikiwa 24000 na mbolea ikiwa 58000 kuna ahida gani? Kama ungekuwa unavuna gunia moja ndio ingekuwa tatizo. Kama unatumia mbolea mfuko m1 na unapata mahindi gunia 10 mbona sawa tu.

Limeni acheni uvivu
hujawahi kulima wewe na hujui hali ya wakilima wengi wa tanzania
 
Ina lipa maana siku zote hazifanani,, Lima weka store,, subiri bei ipande uza Lima tena,, hujui kesho uta uza kwa bei gani hali hua zina badilika
 
Unajifanya mjinga ni mwenyewe your choice your future. Wasilalamike hiyo ndiyo future waliochagua
I think you become matured or your brain still childish.
Look your coments then judge what you have written.
 
Back
Top Bottom