Bei ya mbolea: Waziri Bashe amepotosha Bunge na kushangiliwa kwa kelele tu

Bei ya mbolea: Waziri Bashe amepotosha Bunge na kushangiliwa kwa kelele tu

2008 shipping ilikuwa very cheap kulikuwa na crisis au recession duniani leo shipping ni mara 4 kutoka mwaka jana, container labda mwaka jana lilikuwa dola 2000 leo sio chini ya dola 6000 mambo mengine bei zinachangiwa sio na commodity tu ila shipping na other factors.
Safi! Ukisema mambo ya shipping naweza kukubali. Tatizo la waziri alikomaa na bei kwa takwimu za WB ambazo ni hizo kwenye graph. HUwa ninamuona Bashe kama mtu anayejipa sifa asizokuwanazo. Haamini kama kuna wengine wenye ufahamu kuliko yeye. Sikitiko kubwa zaidi ni anapojilazimisha kuzungumza English bungeni wakati haipandi. Bunge letu ni la kiswahili, sasa yeye anaweka english bila sababu. .... is danger!
 
Tender ya manunizi ya mbolea yote imewekwa wazi kwa yule atayeweza kumpelekea Bashe nchi ambayo mbolea ipo bei chini.
Kachukue tender hiyo mkuu upige pesa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waziri akifanyakazi kwa kusukumia anayempa challenge ujue ni mtu wa hovyo! Naamini Mpina akileta mbolea yenye unafuu, akifika bandarini tu, zitaibuliwa sababu za kipuuzi. Hiyo ni kazi yake aliikubali kwa kiapo. Mwambieni afanyekazi siyo kulialia kwa kelele eti ndo uchungu kwa nchi. NO!!
 
Shida ya Huyu dogo ni.....

Dharau za kihindi kisomali ( huwa anajiona ni bora kuliko wengine kwa sababu ya rangi sijui niseme ni mkaburu wa ndani)
Anaona ni msomiiii kwa sababu ya kizungu chake kilichopinda.

Anauma na kupuliza
In short walio wake hawajamgundus mpaka leo kuwa hamna kitu hapo ni game tu anacheza na akili za wasiojitambua
Wasomali Wahindi Waarabu tabia za dharau ndani ya motherland ni ya kwango kingine

Huyu ni mtu wa mishemishe hamna kitu hapo ni stori tu
Wajinga ndio waliwao

msii.. tafadhalini sana...
Unateswa sana na ukabila,unaonekana una Akilindogosana jitahidi ku Tafuta Hela ili upunguze chuki
 
Safi! Ukisema mambo ya shipping naweza kukubali. Tatizo la waziri alikomaa na bei kwa takwimu za WB ambazo ni hizo kwenye graph. HUwa ninamuona Bashe kama mtu anayejipa sifa asizokuwanazo. Haamini kama kuna wengine wenye ufahamu kuliko yeye. Sikitiko kubwa zaidi ni anapojilazimisha kuzungumza English bungeni wakati haipandi. Bunge letu ni la kiswahili, sasa yeye anaweka english bila sababu. .... is danger!
Labda hakuwa kwenye mchanganuo wote lakini sote tunajuwa bidhaa ikipanda huko na usafiri kabisa chukuwa mfano mdogo tu IST gari zilikuwa kwenye 14 million leo hii mpaka 16 japo kuwa zilikotoka bei ni ile ile lakini shipping imeharibu mambo mengi sana ila hili litapita sio jambo la kudumu. Mambo yataleta shida ni zile bidhaa zinapanda huko zinakotoka kwa sababu mbali mbali kama mafuta, mafuta ya kula, ngano na zingine sababu ya uhaba wa uzalishaji ukijumlisha na shipping ni shida. Bahati mbaya mbolea ni huko huko kwenye Gas na mafuta ndio wanazalisha kwa wingi. Hakuna uwiano wa kibiashara duniani kwa sasa.
 
Hoja ya msingi ya Bashe ni kwamba Mpina anadai nchi jirani za Rwanda, Malawi na Zambia bei ya mbolea ni chini kuliko sisi kwa sababu ya rushwa na upigaji uliopo. Bashe amejibu vizuri tuu kwamba ni kweli kabisa hizo nchi bei ya mbolea iko chini but kwa sababu zinatoa RUZUKU kwenye mbolea wakati sisi hatutoi.. Na akasema kwa trend ilivyo sasa kama serikali haitotoa ruzuku kwenye mbolea basi tusitegemee mbolea kushuka bei.
Hapana! Hakujibu vizuri. Alikuwa hysterical na kuanza kumshambulia Mpina kwa kumkumbusha alikuwa waziri na bhla! bhla! Jibu lake muhimu alisema bei ya mbolea kote duniani iko juu na kaanza kulinganisha bei za mwezi huu na March. Kwa uelewa ndo maana thread hii inaonesha trend kwa miaka ya nyuma ikiwa juu kuliko ya sasa huko duniani, lakini hapa hatukuwahi kuwa na bei ya juu kama ya sasa. Kwa ujumla alipotosha wasikilizaji na wakamshangilia. Kweliii!
 
Nimetembelea ukurasa wa World Bank ambako Bashe alichota bei na kuzilinganisha na mwaka huu, 2022.

Kwa maoni yangu, Waziri huyu hafai au an ufahamu mdogo. Lakini pia naona bunge likishangilia kila mtu anayetumia kelele kujidai kutetea wananchi. Hapa Bashe alitumia kelele kutetea wakulima.

Ukurasa wa WB unaonesha bei ya mbolea kwa mwaka 2008 ilikuwa kubwa kuliko leo hii 2022. Lakini bei ya leo ni kubwa mara mbili madukani, kuliko bei ya 2008! Hata ukitumia thamani ya shilingi yetu, utaona shilingi yetu imepungua kwa asilimia kama 14 tu ukilinganisha na mwaka 2008!

Angalia graph ifuatayo:

Source: Fertilizer prices expected to remain higher for longer

View attachment 2231679
TATIZO la BASHE anadhani Watanzania ni WAJINGA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Nimetembelea ukurasa wa World Bank ambako Bashe alichota bei na kuzilinganisha na mwaka huu, 2022.

Kwa maoni yangu, Waziri huyu hafai au an ufahamu mdogo. Lakini pia naona bunge likishangilia kila mtu anayetumia kelele kujidai kutetea wananchi. Hapa Bashe alitumia kelele kutetea wakulima.

Ukurasa wa WB unaonesha bei ya mbolea kwa mwaka 2008 ilikuwa kubwa kuliko leo hii 2022. Lakini bei ya leo ni kubwa mara mbili madukani, kuliko bei ya 2008! Hata ukitumia thamani ya shilingi yetu, utaona shilingi yetu imepungua kwa asilimia kama 14 tu ukilinganisha na mwaka 2008!

Angalia graph ifuatayo:

Source: Fertilizer prices expected to remain higher for longer

View attachment 2231679
Mkuu, bei za bidhaa kwenye world market hazilinganishwi ki layman hiyo. There is a lot more than that.

Mwaka 2008 bei ya mafuta ilikuwa almost kama sasa (above $ 110), lakini bei za mtaani hazikufika 3000 kama sasa. CV 19 ilipopiga vitu 2020 mafuta yalishuka below $ 20 lakini mtaani hatukuona mafuta yakiuzwa Tshs 500.
 
Nimetembelea ukurasa wa World Bank ambako Bashe alichota bei na kuzilinganisha na mwaka huu, 2022.

Kwa maoni yangu, Waziri huyu hafai au an ufahamu mdogo. Lakini pia naona bunge likishangilia kila mtu anayetumia kelele kujidai kutetea wananchi. Hapa Bashe alitumia kelele kutetea wakulima.

Ukurasa wa WB unaonesha bei ya mbolea kwa mwaka 2008 ilikuwa kubwa kuliko leo hii 2022. Lakini bei ya leo ni kubwa mara mbili madukani, kuliko bei ya 2008! Hata ukitumia thamani ya shilingi yetu, utaona shilingi yetu imepungua kwa asilimia kama 14 tu ukilinganisha na mwaka 2008!

Angalia graph ifuatayo:

Source: Fertilizer prices expected to remain higher for longer

View attachment 2231679
Tunafahamu usalama wa nje tunamjua anaaopolekea, let us be careful!
 
Tanzania tunapenda kuagiza kilakitu. Ilipaswa tuwe na viwanda vya kuzalisha mbolea humuhumu. Pia tuwe na viwanda vidogovidogo vya mbolea humuhumu. Pia tuwe na viwanda vya organic fertilizer humuhumu. Hata viwanda vidogovidogo vya organic fertilizer kutoka kwenye vinyesi vya wanyama na uchafu wa vyakula na uchafu mwingine. Hii akili ya kichuuzi na kuagizaagiza ndio imetufikisha hapa.

Jenga kiwanda Cha mbolea,unasubiri Nani ajenge!?
 
Unaona vizuri kweli? Hiyo graph ni ya interval ya miaka miwili miwili. Na hapo inaonyesha 2020 ilishuka zaidi na 2021 ilipaa sana. Sababu za waziri ni Vita ya Ukraine Ila 2021 hakukua na Vita
2021 kulikua na na Lockdown,, meli zilipunguza safari, uzalishaji viwandani ulisimama
 
Hiyo graph Ina interval ya miaka miwili miwili, ilianza kupanda 2021. Lakini pia Ni ukweli Bei ilianza kupanda baada ya bajeti mpya ya 21-22, sijui mliweka nn huko
Mbolea zilipanda Juni 2021 baada ya ulimwengu kutoka kwenye kifungo Cha covud,uhitaji ukawa mkubwa kuliko upatikanaji,tangu hapo haijashuka,ukiongezea Ukraine ambako mbolea hutoka na urusi ambako Kuna vikwazo
 
Soma vizuri graph basi! Mimi naiona vizuri. Jiulize kwa nini 2008 bei ilikuwa sh. 50,000 kwa soko letu na leo hii ni 120,000. Usiiangalie graph kama mstari wa Korani au Biblia badala ya kuiangalia yote. Soma graph nzima badala ya kukata kipande kama Bashe. Halfu kumbuka ni kwa mt = metric tones!

Ningemsupport Bashe kama angesema sababu zote zinazoinua bei kwa kasi hivyo, aweke pembeni vita ya Ukraine maana bei ilipanda Kabla ya vita. Wasomi ndo tunavyojadili hivi, badala ya kumkumbusha muuliza swali eti aliwahi kuwa waziri, so what??
Kabla ya vita vitu vilipanda bei baada ya viwanda vingi kufungwa juu ya covid,, hiyo 2021,, 2022 bei inakua haishuki sababu ya vita,,, Russia ndo mzalishaji mkuu wa mbolea , Europe walikuwa wananunua Russia,, kwasasa Russia iko sanctioned, hivyo hata meli zinakwepa kubeba mbolea ya Russia,,
Hivyo wazalishaji wengine duniani hawalitoshelezi soko la mbolea duniani,,
Soo in short, SUPPLY iko down, DEMAND imeshoot na hivyo PRICE imekua juu,,
Very simple explanation,,, it is not like Bashe anapenda mbolea iwe juu
 
Kabla ya vita vitu vilipanda bei baada ya viwanda vingi kufungwa juu ya covid,, hiyo 2021,, 2022 bei inakua haishuki sababu ya vita,,, Russia ndo mzalishaji mkuu wa mbolea , Europe walikuwa wananunua Russia,, kwasasa Russia iko sanctioned, hivyo hata meli zinakwepa kubeba mbolea ya Russia,,
Hivyo wazalishaji wengine duniani hawalitoshelezi soko la mbolea duniani,,
Soo in short, SUPPLY iko down, DEMAND imeshoot na hivyo PRICE imekua juu,,
Very simple explanation,,, it is not like Bashe anapenda mbolea iwe juu
Binafsi ningepongeza hatua yake ya kuweka ruzuku, lakini nchi hii bado tuna serikali zisizo na nidhamu. wanasiasa wetu ni hiovyo kabisa kama unavyosikia eti rais naye anafanya biashara. Waziri mkuu naye niliwahi kusikia akihusishwa na biashara ya sulfur ya mikorosho. Ruzuku ya Mbolea waliyowapa wafanyabiashara iliishia kuwa ni njia ya kuiba pesa za serikali. Magufuli alipowaijia kinyume wafanyabiashara na kuwatia kibano, hadi leo kuna mijitu, hata hapa JF inaamini walikuwa wanaonewa. Yaani wakiibia serikali tuwachekee kwamba ni wajanja?

Tunaongozwa na watu wa hovyo! Wanakuja kwenye vikao vya bunge wakiwa tayari na mipango ya kuiba pesa kupitia yote wanayoyapanga. Hata wanaposema tuna upungufu wa chakula, tayari wana kundi la waagizaji mifukoni na wameshawapa ahadi ya rushwa.
 
Mtoa post mbona unataka kutulazimisha tuamini kile unachoamini wewe?
 
Unataka kusema nini? Maana kwa mujibu wa taarifa yako ni kwamba kuanzia mwaka 2020 bei ya mbolea imepanda kwa kiwango cha zaidi ya mara mbili ya miaka ya nyuma ukiacha 2018. Kwa hio ulitarajia wauzaji wauze kwa bei ya miaka miwili iliyopita wastani wa sh 50000 kwa 50kg.

Hebu fanya mpango wa kupitia vizuri hicho chanzo chako ukielewe halafu weka maelezo vizuri wapi kuna upotoshaji na dukani ilipaswa kuuzwa bei gani kwa mfuko wa 50kg.
Kwa nini unaiangalia bei kuanzia mwaka 2020 wakati mbolea hupanda na kushuka tangua zamani? Cha kujiuliza ni kwa nini haikuwahi kupanda kufikia kiwango cha sasa hapa nchini? Je, kuna jambo hapa nchini? Au huko duniani kuna nini kinatulazimisha ifikie hapo? Kwa maana hiyo ongezeko la bei kwa sasa ni makosa kulifanya liwe kwa sababu ya bei kama alivyoiona world Bank. It was a weak argument from a minister.
 
Vipi kuhusu hali ya dola dhidi ya tsh pia izingatiwe, pia ghalama za usafirishaji, wakati huo na sasa. Then leta uhalisia wa bei ya sasa kwa mlinganyo wa miaka hiyo miwili Ukishapata hivyo njoo sasa na hoja yako sasa.
 
Nimetembelea ukurasa wa World Bank ambako Bashe alichota bei na kuzilinganisha na mwaka huu, 2022.

Kwa maoni yangu, Waziri huyu hafai au an ufahamu mdogo. Lakini pia naona bunge likishangilia kila mtu anayetumia kelele kujidai kutetea wananchi. Hapa Bashe alitumia kelele kutetea wakulima.

Ukurasa wa WB unaonesha bei ya mbolea kwa mwaka 2008 ilikuwa kubwa kuliko leo hii 2022. Lakini bei ya leo ni kubwa mara mbili madukani, kuliko bei ya 2008! Hata ukitumia thamani ya shilingi yetu, utaona shilingi yetu imepungua kwa asilimia kama 14 tu ukilinganisha na mwaka 2008!

Angalia graph ifuatayo:

Source: Fertilizer prices expected to remain higher for longer

View attachment 2231679
WAKULIMA WOTE TULIYOLIMA MAHINDI TUUNGANE.
 
Nimetembelea ukurasa wa World Bank ambako Bashe alichota bei na kuzilinganisha na mwaka huu, 2022.

Kwa maoni yangu, Waziri huyu hafai au an ufahamu mdogo. Lakini pia naona bunge likishangilia kila mtu anayetumia kelele kujidai kutetea wananchi. Hapa Bashe alitumia kelele kutetea wakulima.

Ukurasa wa WB unaonesha bei ya mbolea kwa mwaka 2008 ilikuwa kubwa kuliko leo hii 2022. Lakini bei ya leo ni kubwa mara mbili madukani, kuliko bei ya 2008! Hata ukitumia thamani ya shilingi yetu, utaona shilingi yetu imepungua kwa asilimia kama 14 tu ukilinganisha na mwaka 2008!

Angalia graph ifuatayo:

Source: Fertilizer prices expected to remain higher for longer

View attachment 2231679
Ndio maana kuna Mbunge bungeni alimuomba Spika aunde Tume kuchunguza mambo yaliyojificha kwenye mbolea kama kawaida Spika akapuuza
 
Back
Top Bottom