Wakusolve
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 274
- 254
Sehemu gani hukoMchele ume shuka Hadi 1300 mpya huu, mkali ni 1500
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sehemu gani hukoMchele ume shuka Hadi 1300 mpya huu, mkali ni 1500
Nahitaji mchele nipo darMchele ume shuka Hadi 1300 mpya huu, mkali ni 1500
Kiasi gani mkuu?Nahitaji mchele nipo dar
Soma post yangu ya 2, mchele ume Rudi kwenye 1300 - 1500 na kuendeleaHizi bei za jumla au rejareja? [emoji848]
Wapi upo??Hapa nilipoo 1kg ni Tsh800/= tu mkali buku. Na Badoo haujachanganyaaa. Gunia 42000/=
Katolooo cityWapi upo??
Huku sisi ni 1300 mkali lakini, tutegemee uta endelea kushukaKatolooo city
Katolo city ni wapi mkuu?Katolooo city
Biashara za hasara hizi. Huo muda unaweka pesa store huoni unapoteza fursa nyingi za kumia hiyo hela?Nataka nichukue 200 nizisahau, ikichangamkaa nilipue.
Ni kweli,Binafsi Nipo sahihi kutokana na kazi yangu.Mpunga nanunua napaki narudi naendelea na kazi yangu..mdaa Bei ikitiki malengoo nauza,huku kazi inayonilisha nimemantain.Biashara za hasara hizi. Huo muda unaweka pesa store huoni unapoteza fursa nyingi za kumia hiyo hela?
Kinachowauwa ni maamuzi yao na kukosa mitaji, sidhani kama kuna mtu anawalazimisha kuuza huo mchele wakati huu ambapo bei imeshuka sana.Huku mchele mzuri sana 1000 kwa kilo, wakulima wetu wataendelea kufa masikini tu
Mkuu ifakakala bei gan sasa hvBei ya mchele inategemea na ubora. Kama utakuwa na uhitaji toka Ifakara karibu
Unazijua shidaa,mfano mkewe anaelekea kujifungua Hana kipato kingine asiuze? Mtoto ameishiwa sale za shule asiuze? Mtoto anataka kuoa asiuze? Tatizo serikali ifungue mipaka na kutafuta sokoo njee Ili akiuza asolve problems nyingi za huyo mkulima.Kinachowauwa ni maamuzi yao na kukosa mitaji, sidhani kama kuna mtu anawalazimisha kuuza huo mchele wakati huu ambapo bei imeshuka sana.