Basi Dar ni Mji Kibokoo hata hizo Nyama Choma, mishkaki mnatumia gesi Basi tupo mbele hatua moja
huku Dodoma mkaa porini ni 10,000
kibali cha Bwana misitu 8,000 kwa gunia / kiroba
usafiri mpaka Dodoma ni 5,000. mpaka Dar 10,000
kwa hiyo kwa Dodoma ni 20,000 Dar inatakiwa iwe 28,000
kwa vile wengi wanakwepa vibali ndio maana unakuta Gunia Dodoma 16,000
na Dar 25,000
ila
Deo Corleone wakikukamata hawa Maliasili wanautaifisha mzigo wote
Lori kubwa linajaza hadi gunia 130 na faida unayoipata tu ufikapo Dar km hao madalali hawatakuingiza Mjini basi ni 600,000/ laki sita kwa safari moja ambayo humaliza kuanzia wiki hadi wiki 3 toka porini