Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,842
- 16,058
Labda useme hivyoLabda quality ya mpunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda useme hivyoLabda quality ya mpunga
Ndo wapi mkuuNjoon magu wamevuna chap hawanae ela wakulima
Tupe Bei mkuuNjoon magu wamevuna chap hawanae ela wakulima
Gunia la Debe ngapi kwa hio bei ?Bei ya mpunga Morogoro mbingu gunia 100k/110/120/130/
Debe 5 mkuuGunia la Debe ngapi kwa hio bei ?
Ww uko na mtaji Au Nguvu kazi?Nataka mtu wa kushirikiana nae maeneo ya kanda ziwa kununua mpunga au mchele
Nina mtaji kidogoWw uko na mtaji Au Nguvu kazi?
Mafuta???Wakuu anae hitaji alizeti pure nitamtumia kwa uaminifu mkubwa nipo singida kwa Muda baada ya hapa nitakua dar so atake kuwa interested nitamtumia kwa bus.
Yes mkuuMafuta???
Mkuu na mimi nataka mafuta bei gan niko dsmYes mkuu
Lita 5 ni 17k pamoja na kidumu 19k Lita 20 ni 57k pamoja na dumu lake 59k ukinunua mfano vidumu vya Lita 5 vikiwa vinne au vitani kuvisafirisha kwa bus ni 7k mpaka dar hii hapa risiti nimetoka kumpakilia mtu vidumu kama 20 kwenye bus la Esther [emoji116] View attachment 2660570View attachment 2660569Mkuu na mimi nataka mafuta bei gan niko dsm
Loya Tabora Mpunga ni elfu 90-100. Ila kwa sasa elfu 90 ni nadra. Wengi wanataka laki moja
Nataka kujua kahama ni sh ngapi?
Super 1800 ? Wapi hukoBei inategemeena inaanzia 1400/1500/1600/1700/1800 super kwa kilo
Ndio