Bei ya mpunga Kwa mkoa wako ipoje?

Bei inategemeena inaanzia 1400/1500/1600/1700/1800 super kwa kilo
 
Loya Tabora Mpunga ni elfu 90-100. Ila kwa sasa elfu 90 ni nadra. Wengi wanataka laki moja

Nataka kujua kahama ni sh ngapi?
 
Wakuu anae hitaji alizeti pure nitamtumia kwa uaminifu mkubwa nipo singida kwa Muda baada ya hapa nitakua dar so atake kuwa interested nitamtumia kwa bus.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…