Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo dar niuzie Mchele Wa kyelaKyela mpunga gunia 130000,sijui tunapigwa au quality ya mpunga
apigwa au quality ya mpunganip
Moro mbingu hukuSuper 1800 ? Wapi huko
Yeah hata mimi nilifuatilia, mchele ulikuwa na 70K kwa gunia wiki kama 3 zilizopita, sijui kwasasa utakuwa umefika bei gani.Nimetuma mtu kijijini akafuatilie ulikuwa 70k kama wiki 3 nyuma
Yeah hata mimi nilifuatilia, mchele ulikuwa na 70K kwa gunia wiki kama 3 zilizopita, sijui kwasasa utakuwa umefika bei gani.
Kijiji fulani kinaitwa Buchosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli na bei zimeshuka sana ila nazani wakimaliz kununua kwenye magala ya serkali watafunguaNasikia mipaka imefungwa. Ni kweli?
Wakuu anae hitaji alizeti pure nitamtumia kwa uaminifu mkubwa nipo singida kwa Muda baada ya hapa nitakua dar so atake kuwa interested nitamtumia kwa bus.
110/120k inasimamia hapoBei gunia sh. ngapi mkuu
110/120k inasimamia hapo
Tanga Korogwe kwa sasa ni sh. 120000 kwa gunia la debe 6
Debe 6 inatoa kilogram ngapi ya mchele endapo utakoboa?
Kuanzia kilo 60. Inategemea na ujazo pia ila si chini ya 60
Duh! Kwahiyo wastani wa debe la mpunga ni sawa kilogram 10 za mchele!