Bei ya Pamba Tanzania imepanda kwa 125% toka mwaka wa fedha 2020/21 - 2021/22

Bei ya Pamba Tanzania imepanda kwa 125% toka mwaka wa fedha 2020/21 - 2021/22

BEI YA PAMBA JUU,TOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA, SAMIA, SAMIA
==================================
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% liicha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1,050/kg FY2021/22,Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingesalia kuwa ni Tshs 1,050/kg.

Ni dhahiri hapa Mama kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho,Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money" Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee"

Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" Tangu Miaka ya 2000 Chama cha UDP cha Mzee John Cheyo na baadae Chadema kwa agenda ya "Bei ya Pamba" kwa kutumia slogani yao ya " NO CASH NO COTTON " yaani "HUNA HELA HUNA PAMBA" wamekuwa wakiihenyesha CCM katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " Mzee John Cheyo alifanikiwa kuitoa Pamba toka Tshs 300 hadi Tshs 800 baadae Rais Jakaya Mrisho Kikwete akaipaisha mpaka kufikia wastani wa Tshs 1,420 FY2005|06-2015|16.Baada ya hapo bei ya Pamba imekuwa ikishuka kutoka Tshs 1,420 ya JK, to1,000 then 1,100 kisha 810 FY2020/21,Hi ni sawa na kusema,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Wakati Mzee Jakaya anaondoka madarakani 2014|15 bei ya kuuza pamba nje ilikuwa Tshs 2,165/kg au US$ 1,038/Tani huku Mkulima akiuza kwa Tshs 1,420/kg,Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba walipata faida ya Tshs 735/kg ya Pamba walioinunua,Lakini FY 2017|18 bei ya kuuza Pamba nje ilifikia US$ 1,371/Tani au Tshs 3,099,629/tani sawa na Tshs 3,010/kg huku Mkulima huyuhuyu akiuza Pamba kwa Tshs 1,100/kg, yaani katika kila "Kilo moja" ya Pamba walanguzi|Wanunuzi walipata faida ya Tshs 2,000/kg ya Pamba watakayouza nje.

Hii ni sawa na kusema Mnunuzi|Mlanguzi wa pamba FY2014|15 alipata faida ya Tshs 735/Kg kwa kununua Pamba kwa Tshs 1,420/kg toka kwa mkulima,Na Mnunuzi huyo wa Pamba FY 2017|18 alipata faida ya Tshs 2,000/kg tena kwa Pamba aliyoichukua kwa mkopo kwa bei ya Tshs 1,100/kg baada ya kuiza nje kwa Tshs 3,010/kg.Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Uchaguzi 2025 Case closed.

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1941430
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,

_______
 
Huyu Mama kama mpaka pamba iliyomshinda Msukuma mwenzetu ameiweza basi hakuna wa kumtoa madarani,

Sisi alizeti imefikia elfu 12 toka buku 5,Mwanzoni mimi sikuwa namkubali ila kwa sasa nataka rasmi 2025 Samia anayo kura yangu,
Kaziindelee kwa kasi & wekedi zaidi
 
mi nimesikia mbaazi zinauzwa 150,000 gunia zikiwa shambani.

Muda ni referee mzuri,
Let us wait and see,
👇🏿👇🏿👇🏿


Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
 
Huyu Mama kama mpaka pamba iliyomshinda Msukuma mwenzetu ameiweza basi hakuna wa kumtoa madarani,

Sisi alizeti imefikia elfu 12 toka buku 5,Mwanzoni mimi sikuwa namkubali ila kwa sasa nataka rasmi 2025 Samia anayo kura yangu,
Na je unajua kua bei ya mafuta ya alizeti imepanda kwa karibu 130%?
 
BEI YA PAMBA JUU,TOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA, SAMIA, SAMIA
==================================
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% liicha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1,050/kg FY2021/22,Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingesalia kuwa ni Tshs 1,050/kg.

Ni dhahiri hapa Mama kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho,Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money" Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee"

Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" Tangu Miaka ya 2000 Chama cha UDP cha Mzee John Cheyo na baadae Chadema kwa agenda ya "Bei ya Pamba" kwa kutumia slogani yao ya " NO CASH NO COTTON " yaani "HUNA HELA HUNA PAMBA" wamekuwa wakiihenyesha CCM katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " Mzee John Cheyo alifanikiwa kuitoa Pamba toka Tshs 300 hadi Tshs 800 baadae Rais Jakaya Mrisho Kikwete akaipaisha mpaka kufikia wastani wa Tshs 1,420 FY2005|06-2015|16.Baada ya hapo bei ya Pamba imekuwa ikishuka kutoka Tshs 1,420 ya JK, to1,000 then 1,100 kisha 810 FY2020/21,Hi ni sawa na kusema,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Wakati Mzee Jakaya anaondoka madarakani 2014|15 bei ya kuuza pamba nje ilikuwa Tshs 2,165/kg au US$ 1,038/Tani huku Mkulima akiuza kwa Tshs 1,420/kg,Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba walipata faida ya Tshs 735/kg ya Pamba walioinunua,Lakini FY 2017|18 bei ya kuuza Pamba nje ilifikia US$ 1,371/Tani au Tshs 3,099,629/tani sawa na Tshs 3,010/kg huku Mkulima huyuhuyu akiuza Pamba kwa Tshs 1,100/kg, yaani katika kila "Kilo moja" ya Pamba walanguzi|Wanunuzi walipata faida ya Tshs 2,000/kg ya Pamba watakayouza nje.

Hii ni sawa na kusema Mnunuzi|Mlanguzi wa pamba FY2014|15 alipata faida ya Tshs 735/Kg kwa kununua Pamba kwa Tshs 1,420/kg toka kwa mkulima,Na Mnunuzi huyo wa Pamba FY 2017|18 alipata faida ya Tshs 2,000/kg tena kwa Pamba aliyoichukua kwa mkopo kwa bei ya Tshs 1,100/kg baada ya kuiza nje kwa Tshs 3,010/kg.Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Uchaguzi 2025 Case closed.

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1941430
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
Mafanikio makubwa sana haya,

Hongera sana Rais Samia
 
Hiyo bei bado iko chini sana, inatakiwa kuwa 4,000 au zaidi, kilo moja ya pamba utoa mashati 3-4 kila shati tshs 25,000 au zaidi. Viwepo viwanda vya kutengeneza nguo
I hope unalinganisha na nchi zingine zinavyouza pamba yake.
 
BEI YA PAMBA JUU,TOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA, SAMIA, SAMIA
==================================
Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% liicha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1,050/kg FY2021/22,Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingesalia kuwa ni Tshs 1,050/kg.

Ni dhahiri hapa Mama kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho,Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money" Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee"

Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" Tangu Miaka ya 2000 Chama cha UDP cha Mzee John Cheyo na baadae Chadema kwa agenda ya "Bei ya Pamba" kwa kutumia slogani yao ya " NO CASH NO COTTON " yaani "HUNA HELA HUNA PAMBA" wamekuwa wakiihenyesha CCM katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " Mzee John Cheyo alifanikiwa kuitoa Pamba toka Tshs 300 hadi Tshs 800 baadae Rais Jakaya Mrisho Kikwete akaipaisha mpaka kufikia wastani wa Tshs 1,420 FY2005|06-2015|16.Baada ya hapo bei ya Pamba imekuwa ikishuka kutoka Tshs 1,420 ya JK, to1,000 then 1,100 kisha 810 FY2020/21,Hi ni sawa na kusema,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Wakati Mzee Jakaya anaondoka madarakani 2014|15 bei ya kuuza pamba nje ilikuwa Tshs 2,165/kg au US$ 1,038/Tani huku Mkulima akiuza kwa Tshs 1,420/kg,Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba walipata faida ya Tshs 735/kg ya Pamba walioinunua,Lakini FY 2017|18 bei ya kuuza Pamba nje ilifikia US$ 1,371/Tani au Tshs 3,099,629/tani sawa na Tshs 3,010/kg huku Mkulima huyuhuyu akiuza Pamba kwa Tshs 1,100/kg, yaani katika kila "Kilo moja" ya Pamba walanguzi|Wanunuzi walipata faida ya Tshs 2,000/kg ya Pamba watakayouza nje.

Hii ni sawa na kusema Mnunuzi|Mlanguzi wa pamba FY2014|15 alipata faida ya Tshs 735/Kg kwa kununua Pamba kwa Tshs 1,420/kg toka kwa mkulima,Na Mnunuzi huyo wa Pamba FY 2017|18 alipata faida ya Tshs 2,000/kg tena kwa Pamba aliyoichukua kwa mkopo kwa bei ya Tshs 1,100/kg baada ya kuiza nje kwa Tshs 3,010/kg.Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

Uchaguzi 2025 Case closed.

VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1941430
Kazi iendelee, Mama wakulima wa Pamba wanajambo nawewe,
 
Huyu Mama kama mpaka pamba iliyomshinda Msukuma mwenzetu ameiweza basi hakuna wa kumtoa madarani,

Sisi alizeti imefikia elfu 12 toka buku 5,Mwanzoni mimi sikuwa namkubali ila kwa sasa nataka rasmi 2025 Samia anayo kura yangu,
Nimekuelewa
 
BEI YA PAMBA JUU,TOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA, SAMIA, SAMIA


Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo,

Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% liicha ya awali bei hiyo kuzinduliwa kuwa Tshs 1,050/kg FY2021/22,

Kwalugha rahisi kama sio Mama Samia bei ya Pamba leo ingesalia kuwa ni Tshs 1,050/kg.

Ni dhahiri hapa Mama kapindua Meza,Kasi hii ya Rais Samia Watoto wa Mjini wanaiita "Utajua Hujui" kwa muda huu mfupi wa Mama Samia bei ya Mbaazi, Kawaha, Alizeti, Korosho,Chai zote ziko juu na malipo yote yanafanyika mkono kwa mkono tena by " Cash money"

Huko nyuma hawa wakulima wa Pamba Pamoja na kupewa bei ndogo ya Pamba yao bado Watoto hawa wa Masikini waliuza Pamba yao kwa Mkopo,

Yaani " Masikini anamkopesha Tajiri " ( this could only happen in Tanzania) huwezi kukuta utaratibu huu popote duniani ila sasa "Mama hataki dhuluma, tumwombee"

Turufu pekee ya kisiasa Kanda ya Ziwa ni "Bei ya Pamba" Tangu Miaka ya 2000 Chama cha UDP cha Mzee John Cheyo na baadae Chadema kwa agenda ya "Bei ya Pamba" kwa kutumia slogani yao ya " NO CASH NO COTTON " yaani "HUNA HELA HUNA PAMBA"

wamekuwa wakiihenyesha CCM katika kila Uchaguzi kosa la CCM ikiwa ni kushindwa kudhibiti "Bei Ya Pamba " Mzee John Cheyo alifanikiwa kuitoa Pamba toka Tshs 300 hadi Tshs 800 baadae Rais Jakaya Mrisho Kikwete akaipaisha mpaka kufikia wastani wa Tshs 1,420 FY2005|06-2015|16.

Baada ya hapo bei ya Pamba imekuwa ikishuka kutoka Tshs 1,420 ya JK, to1,000 then 1,100 kisha 810 FY2020/21,

Hi ni sawa na kusema,tangu Uhuru bei ya Pamba haijawahi kufikia Tshs 1,720-1,800/kg ila ni kwa awamu hii ya Sita na Mhe Samia Suluhu ndio Rais,

Wakati Mzee Jakaya anaondoka madarakani 2014|15 bei ya kuuza pamba nje ilikuwa Tshs 2,165/kg au US$ 1,038/Tani huku Mkulima akiuza kwa Tshs 1,420/kg,

Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba walipata faida ya Tshs 735/kg ya Pamba walioinunua,Lakini FY 2017|18 bei ya kuuza Pamba nje ilifikia US$ 1,371/Tani au Tshs 3,099,629/tani sawa na Tshs 3,010/kg huku Mkulima huyuhuyu akiuza Pamba kwa Tshs 1,100/kg, yaani katika kila "Kilo moja" ya Pamba walanguzi|Wanunuzi walipata faida ya Tshs 2,000/kg ya Pamba watakayouza nje.

Hii ni sawa na kusema Mnunuzi|Mlanguzi wa pamba FY2014|15 alipata faida ya Tshs 735/Kg kwa kununua Pamba kwa Tshs 1,420/kg toka kwa mkulima,

Na Mnunuzi huyo wa Pamba FY 2017|18 alipata faida ya Tshs 2,000/kg tena kwa Pamba aliyoichukua kwa mkopo kwa bei ya Tshs 1,100/kg baada ya kuiza nje kwa Tshs 3,010/kg.

Leo Mama Samia ameamua kupunguza faida ya Wanunuzi|Walanguzi wa Pamba ili kumtetea huyu Mlalahoi kwa Vitendo kwa kumwongezea Tshs 700/kg ya Pamba atakayouza iliyokuwa iende kwa Mnunuzi kama faida Mama ameirudisha kwa Mkulima na hii ndio maana halisi ya "Mama"

View attachment 2019596
Rubbish, kusifia tu. Weka source of your information hapa.
 
#happy birthday Tanganyika

Rais wangu Samia Suluhu Hassan anawezaje kujenga SGR kilometa 1,063 kwa TZS 10.1T | SG kwa TZS 6.5T na miradi mingine huku akiachilia vicheko kwa makundi mbalimbali ya watanzania,​

" Hakuna kama Samia "​


Ukichukua gharama za miradi miwili mikubwa ya SGR na SG|JNHPP inayoendelea kwa sasa yaani SGR Isaka -Mwanza kilometa 341 kwa TZS 3.02trl ,Makutupora-Morogoro kilometa 422 kwa TZS 4.4trl ,Dar -Morogoro kilometa 300 kwa TZS 2.7trl na SG|JNHPP $2.9BL au TZS 6.55trl Jumla yake ni Tshs 16.6trl achilia mbali miradi mingine mipya na ile iliyoachwa na Hayati Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli miradi hii yote Rais Samia Suluhu Hassan anaziendeleza tena kwa BOQ zilezile,
===
Kutoka kwa Rais Samia kinachonivutia zaidi ni hivi vicheko kwa haya makundi mbalimbali najiuliza amewezaje yote haya yaliyowashinda watangulizi wake tena waliojiita wanaume wa shoka?!
===
Kicheko cha Rais Samia na wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Mpaka Rais Samia anaingia madarakani zaidi ya watoto wa masikini elfu 11 hawakupewa mikopo,Leo tayari ameongeza Tshs 106BL sawa na 23% yaani kutoka Tshs 464BL FY2020|21 hadi 570BL FY2021|22 na kufanya kila mtoto wa masikini aliyefaulu kwenda chuo kikuu kupatiwa mkopo bila kujali historia ya alikosomea,
===
Rais Samia amefuta kabisa ile 6% ya ada ya thamani ya mkopo ( Value Retention Fee-VRF ) kwenye mikopo hiyo na Sasa wanufaika hao watakatwa 9% tu ( single digits) FY2021|22 kutoka 15% ya FY2020|21,Kwa lugha rahisi take home za watu hawa zimepaa kwa 6% nivicheko kila kona ya nchi na Rais Samia Suluhu Hassan,
===
Kicheko cha Rais Samia na Wafanyakazi,Sote tunafahamu,kwa miaka mitano ( 5 ) mfululizo tumeshuhudia wafanyakazi wa Umma hawajapandishwa vyeo|madaraja,lakini ndani ya miezi hii michache mama ameshatoa TZS 509BL, kwenye bajeti ya FY2021|22 Yaani 449BL za madaraja|vyeo na 60BL za malimbikizo ya mishahara na tayari Pesa hizi zimeleta vicheko kwa wafanyakazi,
===
Rais Samia amepunguza kodi (PAYE) toka 9% FY2020|21 mpaka 8% hivi sasa,Kwa utendaji huu hivi Wafanyakazi mnamtaka nani zaidi kama sio Rais Samia? kwa lugha rahisi FY2021|22 ameongeza mishahara ya wafanyakazi wote wa Serikali na binafsi kwa 1% kwa kuwarudishia hiyo 1% ya mishahara yao, na kwakufanya hivyo Serikali itatumia|itapoteza kiasi cha Tshs 14.1781BL kwenye bajeti yake ya FY2021|22 fedha ambayo itarudishwa kwa wafanyakazi kama nyongeza ya mishahara yao
===
Kicheko cha Rais Samia na wasio Ajiriwa,kwa mara ya mwisho ilikuwa FY2015|16 wakati wa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alipoachilia ajira mpya elfu 52 trh 01|05|2015,Leo ni miaka mitano imepita ila kwa miezi michache ya Mama Samia tunashuhudia tena ajira mpya za Serikali elfu 40 kwa FY2021|22 kwa gharama ya Tshs 239BL na 120BL kwaajili ya kubadili muundo wa Utumishi,
===
Maajabu zaidi ya Mama Samia tayari amesajili miradi mikubwa mipya 93 yenye thamani ya $1.6BL karibu TZS 3.23trl ambayo nayo itaajiri watu 23,600 na kufanya ndani ya hivi vimiezi vichache Rais Samia atatoa Jumla ya nafasi 53,600 za ajira achilia mbali miradi mingine mingi ya sekta binafsi|Umma inayoendelea kutoa ajira lengo likiwa ni kufikia ajira 8M ifikapo mwaka 2025 kama Ilani inavyotaka,
===
Kicheko cha Rais Samia Majimboni,Bila kujali ukubwa wa jimbo Rais Samia FY2021|22 ameshatoa TZS 132BL sawa na Tshs 500M katika kila Jimbo kwa majimbo yote 264 kama fedha za maendeleo ya Jimbo hizi ni mbali na fedha za mfuko wa Jimbo,fedha hizi zimerudisha tabasamu kwa Wabunge hasa wa Majimbo,
===
Mama Samia ametoa tena TZS 322.158BL kama bajeti ya nyongeza kwaajili ya Ujenzi wa Vyumba 10,000 vya madarasa Zahanati 555,Vituo vya afya 121,
===
Rais Samia hakuishia hapo bajeti ya TARURA pia ameiongeza kwa 254% yaani kutoka 273BL FY 2020|21 hadi 966.43BL FY2021|22 ili kumaliza kila barabara korofi Mjini na Vijijini|,Nimwendo wa vicheko tu Watanzania tumtake nani kama sio Samia?
===
Kicheko cha Rais Samia na wafanyabiashara|Wawekezaji, Mhe Rais Samia Ndio rais pekee aliyetangaza hadharani kuwa hahitaji kodi za Kishetani na akafuta jumla ya kodi|tozo zote kandamizi zipatazo 232 FY2021|22 bila kujali hasara ya Tshs 55.49997BL ambayo Serikali yake itapata kwa kuondoa tozo|kodi hizo nia yake aongeze idadi ya walipa kodi kutoka 3.4M waliopo na matokeo tayari wote tumeanza tumeyaona .
===
Nchi hii tangu tupate uhuru sijawahi kusikia tozo|kodi zaidi ya 230 zikifutwa kwa kwamkupuo Kama ambavyo mama ameachilia kicheko hiki kwani hataki kabisa Tax economy hakika kesho yetu ni bora sana,
===
Pamoja na kukataa kodi za kishetani na kuondoa tozo kandamizi bado Miradi yote ya Watangulizi wake anaiendeleza sawasawa ikiwemo SGR $4.64BL au TZS 10.2trl,SG $2.9BL au TZS 6.5trl,Ununuzi wa ndege mpya,barabara zote ujenzi unaendelea, madaraja yote,meli zote,
===
Pamoja na haya yote kufanyika bado Wafanyakazi wetu ni vicheko,Wafanyabiashara|wawekezaji wetu ni vicheko,bodaboda wetu ni vicheko, machinga wetu ni vicheko,wanafunzi wetu hasa wa elimu ya juu ni vicheko, wafugaji wetu ni vicheko,wakulima wetu ni vicheko, Wapinzani nao ni vicheko hata wewe unayesoma naamini, Tayari na wewe unakicheko chako umecheka na Mama Samia Suluhu
===
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni mama deserves better Wazalendo wote tumtie moyo, mpaka mwaka 2030 tutashuhudia maajabu, Tuombe uzima Tu"
===


View attachment 2006380
 
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
Back
Top Bottom