Bei ya Rubby kwa gram

umetusaidia wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada tafadhali,nina hivi vimawe naomba kujua ni aina gani ya madini na soko lake likoje
 
Ruby gram moja..... Wakuu naomba kujua bei vipi bado inacheza kwenye ngapi nowadays?
 
Yaan Vito sio kama mahindi .ubora tu ndo unaamua ipo ya gram 1 mil 30 na ipo gram 5 ambayo laki 5.sio kama mahindi.mfano ukipata mawe 3 zote gram 1.sokoni hazitauzika bei moja
Oky nmekupata mkuu, kwahiyo that means ubora ndio utaamua na vipi unaweza kujuaje kwamba jiwe hili lina ubora ama la kawaida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…