Bei ya Saruji ilipanda kutokana na kufungwa kwa kiwanda cha Dangote

Bei ya Saruji ilipanda kutokana na kufungwa kwa kiwanda cha Dangote

Hii ndiyo Tanzania na mambo yake.
 
HAKUNA ukarabati uliokuwa unafanyika. Wamepunguza uzalishaji makusudi.

Walisema kipindi Cha uchaguzi kunaweza kukatokea machafuko ndo maana wamepunguza, lakini uchaguzi umeisha wao wanazidi kupunguza uzalishaji.

Wamuachie Dangote uone balaa lake.
Sawa ila kwa sehemu nilizo enda walikuwa wanafanya ukarabati
 
Watanzania tusisahau kwamba tumeingia uchumi wa kati. Sarufi kuuzwa 35000/ ndio hasaa bei halisi ya uchumi wa kati. Ile 13500, ilishapita.

Wacha tuisome namba, CCM mbele kwa mbele

MITANO TENA KWA JPM.
 
Hiyo ni kwa sababu inazalisha malighafi ambayo viwanda vingine vya cement huihitaji kwenye kupata hiyo cement...




Cc: mahondaw
 
Sasa mnafungaje kiwanda critical kama hicho kwa wiki mbili bila kutoa taarifa?!
 
Sio kweli nakataa. Kwanza waulizeni kuna haja gani ya kupeleka cement Rwanda wakati sisi wenyewe hatuna cement?
Wasimsingizie Dangote
Nadhani ni free market economy ndio anasababisha wamuuzie Rwanda cement ilihali hapa kwetu haitoshi, anaetoa dau kubwa ndie atakaepata kwanza
 
Acha urongo na epuka kuchuma dhambi kisa unatetea chama. Kiwanda Cha Dangote kimefungwa kwa sababu nyingine kabisaa. Tuulize tulioko hapa kiwandani tukupe taarifa.

Habari za TBCCM na vijigazeti uchwara usipende kuzichukulia Kama msaafu.
Etii uulizwe?huu muda ulioutumia kuandika si ungesema hizo sababu zako.
 
Acha urongo na epuka kuchuma dhambi kisa unatetea chama. Kiwanda Cha Dangote kimefungwa kwa sababu nyingine kabisaa. Tuulize tulioko hapa kiwandani tukupe taarifa.

Habari za TBCCM na vijigazeti uchwara usipende kuzichukulia Kama msaafu.
Sasa wewe uliopo kiwandani kama huleti taarifa kamili huoni kama wewe ndio mpumbavu?
 
Bei NI Ile ile ya cement.
Labda Kama kuna gharama za usafiri kupeleka Rwanda.

Lakini haya NI Mambo ya ajabu Sana utapelekaje cement Rwanda wakati Dar na Pwani hawana cement?
Nadhani ni free market economy ndio anasababisha wamuuzie Rwanda cement ilihali hapa kwetu haitoshi, anaetoa dau kubwa ndie atakaepata kwanza
 
Acha urongo na epuka kuchuma dhambi kisa unatetea chama. Kiwanda Cha Dangote kimefungwa kwa sababu nyingine kabisaa. Tuulize tulioko hapa kiwandani tukupe taarifa.

Habari za TBCCM na vijigazeti uchwara usipende kuzichukulia Kama msaafu.
Ungeweka tu hizo sababu bila kurefusha maelezo
 
Bei NI Ile ile ya cement.
Labda Kama kuna gharama za usafiri kupeleka Rwanda.
Lakini haya NI Mambo ya ajabu Sana utapelekaje cement Rwanda wakati dar na pwani hawana cement?
labda Rwanda wananunua kwa bei nzuri.
 
Acha urongo na epuka kuchuma dhambi kisa unatetea chama. Kiwanda Cha Dangote kimefungwa kwa sababu nyingine kabisaa. Tuulize tulioko hapa kiwandani tukupe taarifa.

Habari za TBCCM na vijigazeti uchwara usipende kuzichukulia Kama msaafu.
Na wewe punguza mipasho, otherwise weka ukweli hapa ukuweke huru...
 
Hii ni sababu ya kitoto.

Jana nimesikia mtu mmoja anasema eti sababu yya miradi ya maendeleo kutokusimama kipindi cha uchaguzi ndio maana simenti imepanda, hii ni sababu ya kitaahira pia.

CCM hata wakipewa miaka 700 hakuna kitu cha maana watatufanyia, ona wanachokifanya sasa, hakuna zaidi ya kuwafukarisha watanzania.

Halafu wanajiita serikali ya wanyonge [emoji23][emoji23].
Kwa hiyo Chadema wakipewa ndiyo wataboresha?
 
Hahaha watanzania kiboko, hata wasioihitaji cement wanalalamikia kupanda kwa bei.

Mimi sihitaji cement na hitaji unga wa ugali, mchele na maharage.
 
Back
Top Bottom