Bei ya Saruji ilipanda kutokana na kufungwa kwa kiwanda cha Dangote

Bei ya Saruji ilipanda kutokana na kufungwa kwa kiwanda cha Dangote

Hapana sema Wana undugu.
Tatizo sio Bei TATIZO CEMENT HAIPATIKANI.bora Bei ipande lakini ipatikane.
Kupeleka cement Rwanda wakati bagamoyo na dar hamna ni kukosa tu akili.
Wangestopisha huko Rwanda wasubiri mpaka cement itakapokuwa sawa.ili hyo cement tuuziwe wananchi.
Wewe nenda pale wazo utakuwa magari yanatoka na cement.lakini uliza cement inaenda wapi.
labda rwanda wananunua kwa bei nzuri.
 
Kumekuwa na sintofahamu inayoendelea kuhusu Cement ya Dangote..

Pamoja na kwamba hivi sasa cement ya Dangote inapatikana lakini watendaji wake hawakubali kuandika invoice zitakazohusu mzigo mpya.Wanauza uliopo kwenye magodown ambao tayari unakaribia kumalizika.

Magari ya Dangote hivi sasa hayaonekani barabarani.Hii ni kuashiria kwamba kuna kitu kinaendelea kati ya mmiliki wa kampuni yaani Dangote na serikali yetu.

Ni wakati sasa serikali ituambie ukweli hili tujue jinsi ya kujiandaa na uhaba wa Cement unaokuja kutukabili
 
Kiwanda cha Dangote kinachozalisha Saruji kilichopo mkoani Mtwara, kilisimamisha uzalishaji wa Saruji kwa takribani wiki mbili ili kufanya usafi na ukarabati wa kiwanda....
Nani mjinga ambae hajui sababu za kufungwa kiwanda?Ss watanzabia siyo wajonga kiasi hicho.we the reasons behind this.Hayo yanayoongelewa na huyo msemaji wa kiwanda ni upuuzi mtupu na Ni usaliti.
 
Kiwanda cha Dangote kinachozalisha Saruji kilichopo mkoani Mtwara, kilisimamisha uzalishaji wa Saruji kwa takribani wiki mbili ili kufanya usafi na ukarabati wa kiwanda.

Imedaiwa kuwa hali hiyo ilifanya bei ya Saruji ipae kiasi cha wananchi kulalamikia bei hizo. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa alitembelea Kiwandani hapo ili kujua kinachoendelea.

Mwanasheria wa kiwanda hicho, Clagu Chuma ameomba radhi kwa kutotoa taarifa kwa raia hali iliyopelekea bei kupanda kwa kasi kubwa.

Bei ya Saruji ilipanda hadi kufikia Tsh 35,000 kwa baadhi ya mikoa.

PIA SOMA: Wanyonge wenzangu: Bei ya Saruji huko kwenu ipo vipi?
vipi kiwanda kimeshafunguliwa
 
Dangote karudi tena leo.Kasema Rais Samia kaweka mazingira mazuri ya uwekezaji
 
Haya dangote si karudi, washushe bei ya cement ifike 10 elfu, 10 elfu.
 
Back
Top Bottom