Bei ya sukari Tanzania ni zaidi ya 3000 wakati Msumbiji, Malawi, Kenya, Uganda na Zambia haizidi 2500. Kwani sisi dhambi yetu nini?

Ndugu zangu wafanya maamuzi hebu kuweni serious basi.
Mchele umeshuka sana bei shida ya Sukari ni wazalishaji Mchele sasa hivi mapaka wa plastic unapata Wewe tu na Hela yako 2000 upo Mchele asili alafu upo wa GMO utachagua unataka upi wa asili au GMO, Sukari miwa sidhani km IPO ya Plastic au Wewe umewahi kukutana na miwa ya GMO? Ninaposema Plastic namaanisha GMO ukitaka kuthibitisha tafuta machungwa ya GMO yaan yale ya Mwendokasi machungwa ya siku 3 Wiki tayari nje rangi ya kuiva ndani bichi limejaajaa upepo tu plastic tupu maji halina sijui aliekuja na teknolojia hii ya kitapeli alifikiria nini
 
uongo mtakatifu
 
Bashe amehusika katika kufumka kwa bei ya sukari na hatua anayochukua ni katika kujisafisha! Katika hilo hana utetezi;
 
Ndio maana wanazisi kutajirika sisi wanatuona Nyani tu.

Yes unashangaa kiongozi wa sirikali ananunua kiwanja kwa Milioni 500 ,anajenga nyumba ya bilioni moja nukta 2 ,anamiliki mabasi 10 ya biashara ,hadi unajiuliza huyu jamaa hela anapata wapi wakati mshahara unajulikana na hata akitunza bila kuchukua chochote kwa miaka 10 hawezi kufanya hayo....Jibu ni WEEZY WEEZY ,CARTEL ,RUSHWA ,UPIGAJI.
 

Msikilize Mpina na Lissu kuhusu "weezy" wa BASHE kupitia Sukari......Bei kupanda hadi elfu 10 ndiyo hizo janja janja za BASHE ili awape "WAUZA SIMU K/KKO" vibali vya kuagiza sukari.
 
Dangote alitaka kuuza cement kwa elfu 8 ,Genge la WEZI(CARTEL) likamuundia zengwe kubwa sana nusura afunge kiwanda.
Hata waporaji wa Dhahabu walipofika,

Walitaka kulipa wazawa mishahara Kwa rate ya kimataifa, kwamba mfagiaji tu alipwe M 12 Kwa mwezi,

Wanasiasa wakasema HAPANA, msiwalipe Kwa kiwango hicho maana wafanyakazi serikalini wataacha KAZI na kukimbilia migodini.

Roho mbaya!!
 
Hapa nimekufuata Mkuu
 
NCHI imejaa kauzibe kila sehemu
 
Unapenda vya bure
 

Aiseeee ni kweli mkuu ,kampuni za kizungu zikija bongo zinaanza kwa kulipa vizuri sana ila wakishaanza kuingia ma HR wenye "NGOZI YA KOTA" wanapunguza mishahara hadi inakuja kuwa "MANARA" aka Laki 7.

Watu tuna roho mbaya sana ,hatutaki neema kwa mwenzako ,wanashindwa kujua mwenzako akifanikiwa ni rahisi kueneza chain ya mzunguko kwa wengine hivy okupunguza ukali wa maisha kwenye cycle.
 
Wanadai Eti Watz wakilipwa pesa nyingi watakuwa viburi walevi na watajaa dharau Kwa mabosi zao,

Sasa sijui maisha binafsi yawagusu nini!!
 
Hizo porojo za kijinga.

Watu wamekuja kuvuna halafu faida wakuwachie wewe?
 
Kadi ya Kliniki
 
Dhambi yenu ujinga na uoga.
 
Bei ya kinywaji cha Coca-Cola marekani ni TZS 4000-6000.Bei kwa Tanzania ni tzs 600 - 1000. Umegundua nini?
Mkuu hapo umetudanganya. Bei ya soda USA inaanzia 75cents ambazo kibongo bongo ni kama 1920Tsh.
 
Bashe amehusika katika kufumka kwa bei ya sukari na hatua anayochukua ni katika kujisafisha! Katika hilo hana utetezi;
hayo wadanganye wajinga wenzio, Bashe aliopigania mpaka akaagiza sukari wakati hao wazee wanadanganya meli hakuna?

Msiongee kwa mihemko yenu, ukweli upo wazi kama saa saba mchana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…