Bei ya sukari Tanzania ni zaidi ya 3000 wakati Msumbiji, Malawi, Kenya, Uganda na Zambia haizidi 2500. Kwani sisi dhambi yetu nini?

Acha upotoshaji. Hizo bei ulizoandika ni za uongo. Bei ya sukari Zambia ni kwacha 25. Zidisha mara 107 uone kama ni Tsh 2000? Jenga hoja yako bila kuingiza uongo.
Wee mpumbavu Mimi nipo Rukwa tunanunua bei hiyo tena kwa magendo!
 
 

View: https://twitter.com/jacksonmnyawam2/status/1808668483422495026?t=6hqzeJ1o7mBV5sJ8SLSi_g&s=19
 
Mwongo mkubwa wewe. Sukari Zambia kwa sasa ni kwacha 38. Ambayo ni kama Tsh 4000. Hiyo 2500 labda unaongelea mwaka juzi. Acha upotoshaji
 
Naona umeamua kutumia neno utafiti bila sababu. Mimi najua bei ya sukari ya Zambia bila kutaka uthibitisho wa mpumbavu kama wewe. Tena kwa sasa imepanda hadi K35 na zaidi.
 
Wee nguruwe 🐖 huwezi kuelewa! Unatumia exchange rate unafikiri ndiyo inayotumika katika local market! Acha kukariri, hizo rate ni za biashara ya fedha benki mbwa wewe!
Wewe Nguruwe pori unaongea kihisia kama mwanamke aliye kwenye siku zake. Nilichokiandika ndo uhalisia na sio hiyo mihemko yako ya kikahaba.
 
Wewe Nguruwe pori unaongea kihisia kama mwanamke aliye kwenye siku zake. Nilichokiandika ndo uhalisia na sio hiyo mihemko yako ya kikahaba.
Unanifananisha na mama yako! Una laana mbwa wee!
 
Izia maji

Unaendeshwa na mihemko ya vivhwa vya habari vya waandishi waliolipwa na Ame?

Tumesikia walichoongea chote, ni utumbo mtupu.
 
Hivi bado mna hangaika na sukari
Dada yangu kipenzi
Mimi binafsi nna matumizi madogo sana ya sukari,kg1 naweza kaa nayo hata miezi 2

Ova
 
Hivi bado mna hangaika na sukari
Dada yangu kipenzi
Mimi binafsi nna matumizi madogo sana ya sukari,kg1 naweza kaa nayo hata miezi 2

Ova
Kama yako zidisha mara million sitini, utapata kilo ngapi?
 
Tunachekesha sana. Ina maana kuna walio wababe kuliko sheria na taratibu?
Namaanisha kuna wababe wanatumia mianya ya sheria na majukumu kujilimbikizia utajiri.

Wanatumia vyeo vyao kwa faida yao na si kwa faida ya umma.
 
Dangote alitaka kuuza cement kwa elfu 8 ,Genge la WEZI(CARTEL) likamuundia zengwe kubwa sana nusura afunge kiwanda.
Yani ukitaka kujua nchi za Afrika tuna laana ni hili swala la cement,kama Wananchi wetu wangekuwa wanajitambua tulitakiwa tupiganie hili swala.
Dangote mitambo aliyofunga pale ni ya kufanya massive production,lengo auze cement kwa bei ya chini,wenye viwanda vya cement vya michongo akina twiga,simba na wengineo wakaanza maneno.
Kibaya zaidi nilifatilia wenye his kwenyw hivyo viwanda ni hao hao viongozi wenu,na hadi leo kuna materials kibao wanatoa huko huko Dangote.
 
Acha upotoshaji. Hizo bei ulizoandika ni za uongo. Bei ya sukari Zambia ni kwacha 25. Zidisha mara 107 uone kama ni Tsh 2000? Jenga hoja yako bila kuingiza uongo.
Hiyo Zambia kwacha 25 = tshs 2728.75 je Tanzania sukari ni bei gani?? na hapo ukumbuke hiyo Sukari ya Zambia imepita katika bandari ya Tanzania.
Acha ubishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…