Denis denny
JF-Expert Member
- Oct 7, 2012
- 5,780
- 7,844
Bei hiyo unapata mtaji wa kuuza Suti tena nzuri tuBei za suti kwa Sheria Ngowi, anaanzia $1700 USD, ila kwa kibongo bongo unaruhusiwa kumshusha kidogo hadi 3,000,000 Tsh. Hapo ni kwa 1pc, hiyo ni bei ya mwezi wa 7 mwaka huu tuliweka order ya 2pc, kwaajili ya harusi amabayo tayari imeshafanyika mwishoni mwa mwezi August.
Bei ya vitz hio unapewa na spare tyres 5 za nyongezabei ina anzia 4.5k mpaka 7m
Sioni faida sana ya hiyo fasheni ya ufaransa na uturuki wanayoipaisha sana. basi yaishe mimi nataka suti ya nipishe nijambe kimtindo sizioni siku hizi, babu yangu alikua anadunda nazo sanaWe shida yako Suti nzuri ya kukupendeza au ya kuvaa miaka mingi? Ukitaka za kuvaa miaka mingi shonesha Suti za ngozi ya mamba,ng'ombe,punda hizo zinadumu mana wenzio kina Mpoto wanashonesha hadi za magunia
Bei hiyo unapata mtaji wa kuuza Suti tena nzuri tu
Sema watu hawajui tu na kama wanajua basi wanafanya kwa ajili ya kupata hadhi..ila Ngowi anauza suti kwa bei ghali sababu kashajenga jina kuvalisha mawaziri,wabunge na Rais Kikwete kwa kipindi kile lakini (Quality)ubora wa suti zake haujatofautiana na hizi za kariakooNilichojifunza katika jamii kila mtu hugalamikia kile akipendacho . Wengine nunua saa za hadi 5ml, wala haoi hatari, mwengine hununua gari la hadi 4b na hapo ni gari ndogo tu. Kwa sisi wengine tutataka kununua gari la kubeba mkoa mzima kwa hiyo bei ya 4bilioni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] But why majibu hayo??? Mungu anakuonaWe shida yako Suti nzuri ya kukupendeza au ya kuvaa miaka mingi? Ukitaka za kuvaa miaka mingi shonesha Suti za ngozi ya mamba,ng'ombe,punda hizo zinadumu mana wenzio kina Mpoto wanashonesha hadi za magunia
Aisee zinatofauti gani na hzo za laki 5Bei za suti kwa Sheria Ngowi, anaanzia $1700 USD, ila kwa kibongo bongo unaruhusiwa kumshusha kidogo hadi 3,000,000 Tsh. Hapo ni kwa 1pc, hiyo ni bei ya mwezi wa 7 mwaka huu tuliweka order ya 2pc, kwaajili ya harusi amabayo tayari imeshafanyika mwishoni mwa mwezi August.
Mkuu wew kama sikosei ni mpare au mchaga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio kwa ubahili huo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Suti ya mtumba shilingi elfu kumi tu, koti na suruali, tena unaweza kupewa na tai kabisa.
Seriously?!! Btw unauza suti kariakoo nini maanake naona comments zako ni kariakoo,mara mtaji wa suti...Sema watu hawajui tu na kama wanajua basi wanafanya kwa ajili ya kupata hadhi..ila Ngowi anauza suti kwa bei ghali sababu kashajenga jina kuvalisha mawaziri,wabunge na Rais Kikwete kwa kipindi kile lakini (Quality)ubora wa suti zake haujatofautiana na hizi za kariakoo
Kama huamini uliza anatumia vitambaa gani kushonea hizo suti? Njoo kariakoo upendeze usibabuliwe bei ya suti 10 ukauziwa suti moja wakati ubora ni uleuleSeriously?!! Btw unauza suti kariakoo nini maanake naona comments zako ni kariakoo,mara mtaji wa suti...
Sina hela ya kununua suti $1700.....ila ya kariakoo sivai.Kama huamini uliza anatumia vitambaa gani kushonea hizo suti? Njoo kariakoo upendeze usibabuliwe bei ya suti 10 ukauziwa suti moja wakati ubora ni uleule
We unavaa za mlimani citySina hela ya kununua suti $1700.....ila ya kariakoo sivai.
Nope. Navaa za Burton na Next.We unavaa za mlimani city
Unajua kujikweza au ni Mhaya wewe sababu huwa tunawatandika bei kwa maringo yenu?Nope. Navaa za Burton na Next.
NakujaNjoo kariakoo utapata Suti nzuri kuanzia kwa 90,000 na kuendelea kama unachukua moja kama ni nyingi kuanzia 3 ni kuanzia 70,000 na kuendelea ni kali ukivaa hata kama ulikuwa na gundu la mavi utakuwa clean yaani better like never before
Sasa kama ndio suti ninazovaa ulitaka niseme navaa midosho ya kariakoo?! btw umepatia mimi muhaya.Unajua kujikweza au ni Mhaya wewe sababu huwa tunawatandika bei kwa maringo yenu?
Kwahiyo huwa unaweka unaagiza toka Italy/UK moja kwa mojaSasa kama ndio suti ninazovaa ulitaka niseme navaa midosho ya kariakoo?! btw umepatia mimi muhaya.
Yeap naagiza au nikienda nanunua. its cheap,suit nzuri GBP 100-150, unavizia SALE.Kwahiyo huwa unaweka unaagiza toka Italy/UK moja kwa moja