Bei ya suti za Sheria Ngowi

Bei ya suti za Sheria Ngowi

Bei za suti kwa Sheria Ngowi, anaanzia $1700 USD, ila kwa kibongo bongo unaruhusiwa kumshusha kidogo hadi 3,000,000 Tsh. Hapo ni kwa 1pc, hiyo ni bei ya mwezi wa 7 mwaka huu tuliweka order ya 2pc, kwaajili ya harusi amabayo tayari imeshafanyika mwishoni mwa mwezi August.
Bei hiyo unapata mtaji wa kuuza Suti tena nzuri tu
 
We shida yako Suti nzuri ya kukupendeza au ya kuvaa miaka mingi? Ukitaka za kuvaa miaka mingi shonesha Suti za ngozi ya mamba,ng'ombe,punda hizo zinadumu mana wenzio kina Mpoto wanashonesha hadi za magunia
Sioni faida sana ya hiyo fasheni ya ufaransa na uturuki wanayoipaisha sana. basi yaishe mimi nataka suti ya nipishe nijambe kimtindo sizioni siku hizi, babu yangu alikua anadunda nazo sana
 
Nilichojifunza katika jamii kila mtu hugalamikia kile akipendacho . Wengine nunua saa za hadi 5ml, wala haoi hatari, mwengine hununua gari la hadi 4b na hapo ni gari ndogo tu. Kwa sisi wengine tutataka kununua gari la kubeba mkoa mzima kwa hiyo bei ya 4bilioni
Sema watu hawajui tu na kama wanajua basi wanafanya kwa ajili ya kupata hadhi..ila Ngowi anauza suti kwa bei ghali sababu kashajenga jina kuvalisha mawaziri,wabunge na Rais Kikwete kwa kipindi kile lakini (Quality)ubora wa suti zake haujatofautiana na hizi za kariakoo
 
Bei za suti kwa Sheria Ngowi, anaanzia $1700 USD, ila kwa kibongo bongo unaruhusiwa kumshusha kidogo hadi 3,000,000 Tsh. Hapo ni kwa 1pc, hiyo ni bei ya mwezi wa 7 mwaka huu tuliweka order ya 2pc, kwaajili ya harusi amabayo tayari imeshafanyika mwishoni mwa mwezi August.
Aisee zinatofauti gani na hzo za laki 5
 
Suti ya mtumba shilingi elfu kumi tu, koti na suruali, tena unaweza kupewa na tai kabisa.
Mkuu wew kama sikosei ni mpare au mchaga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio kwa ubahili huo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Sema watu hawajui tu na kama wanajua basi wanafanya kwa ajili ya kupata hadhi..ila Ngowi anauza suti kwa bei ghali sababu kashajenga jina kuvalisha mawaziri,wabunge na Rais Kikwete kwa kipindi kile lakini (Quality)ubora wa suti zake haujatofautiana na hizi za kariakoo
Seriously?!! Btw unauza suti kariakoo nini maanake naona comments zako ni kariakoo,mara mtaji wa suti...
 
Seriously?!! Btw unauza suti kariakoo nini maanake naona comments zako ni kariakoo,mara mtaji wa suti...
Kama huamini uliza anatumia vitambaa gani kushonea hizo suti? Njoo kariakoo upendeze usibabuliwe bei ya suti 10 ukauziwa suti moja wakati ubora ni uleule
 
Njoo kariakoo utapata Suti nzuri kuanzia kwa 90,000 na kuendelea kama unachukua moja kama ni nyingi kuanzia 3 ni kuanzia 70,000 na kuendelea ni kali ukivaa hata kama ulikuwa na gundu la mavi utakuwa clean yaani better like never before
Nakuja
 
Back
Top Bottom