Samahani naomba kujua MTANI yeye anahusika na suti tuu au hata nguo zingine kama za wasichana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani naomba kujua MTANI yeye anahusika na suti tuu au hata nguo zingine kama za wasichana?
Suti tuu ila yule the Specialz anshona mpaka suti za KikeSamahani naomba kujua MTANI yeye anahusika na suti tuu au hata nguo zingine kama za wasichana?
Mkuu hawa jamaa nao wapo vizuri,mi binafsi nimeshona suti kwao mwezi wa nne mwaka huu kwa gharama ya laki 5.Yaani ukiivaa unaonekana kweli upo "spesho".Nenda specials wapo africasana karibu na shule ya kenton nao wako vizuri sana ktk hizo suit
Bei ya suti kariakoo ni shilingi elfu kumi tu full, suruali na koti na tai.Watu hawajui ila wanataka kujifanya wanajua,mtu anauliza swali watu wanazunguka mbaaali mwisho no jibu,mwenyewe cjui na nlitegemea kujua kupitia wajuz lkn mpaka sasa wanabeat around tu
Laki nne na nusu ya Zimbabwe?Speshoz laki nne na nusu
Mbona bei rahisi ivyo sasa1,000,000
Sio mbaya sana.Sheria Ngowi suti kuanzia 2m
WamependezaView attachment 404147 Mtani Bespoke moja ya kazi Zake
Hahahaha lazima utakuwa lile kabila letu hahaha umenichekesha sanaSuti ya mtumba shilingi elfu kumi tu, koti na suruali, tena unaweza kupewa na tai kabisa.
Mbona sioni tofauti yoyote kati ya hizo suti za special za bei ghali na hizi za kushona kwa mafundi wataalamu?Njoo kariakoo utapata Suti nzuri kuanzia kwa 90,000 na kuendelea kama unachukua moja kama ni nyingi kuanzia 3 ni kuanzia 70,000 na kuendelea ni kali ukivaa hata kama ulikuwa na gundu la mavi utakuwa clean yaani better like never before
We shida yako Suti nzuri ya kukupendeza au ya kuvaa miaka mingi? Ukitaka za kuvaa miaka mingi shonesha Suti za ngozi ya mamba,ng'ombe,punda hizo zinadumu mana wenzio kina Mpoto wanashonesha hadi za maguniaMbona sioni tofauti yoyote kati ya hizo suti za special za bei ghali na hizi za kushona kwa mafundi wataalamu?
Naona hizo ni mbwembwe tuu hazina lolote tena ni rahis kuchanika na huvai miaka mingi