Bei ya Umeme yapanda. Naipongeza Serikali kwa kuliona hili bei ilikuwa ndogo sana

Status
Not open for further replies.
ikipendeza wafanye hata 6500 kwa unit 1, ili akili zitukae sawa
 
Weka screenshot ya umeme ulionunua alafu nikuambie unit moja ilikua sh ngapi. Ili tusibishane sana
Sikukimbia hesabu mkuu, 357×25.2=9000, ndio maana nimesema hayo mabadiliko yapo tangu miezi kadhaa, hayajaanza leo.
 
Kwa mwendo huu Makamba amejihakikishia kupata urais 2030.
Hawa mawaziri waliopita walikua wazembe Sana, Bei ilikua chini Sana hata mafisadi walishindwa kabisa kufanya ufisadi.
Kipindi chote Cha awamu ya tano hatukuona ufisadi mkubwa TANESCO.
Big up TANESCO.
Wapigaji kaeni mkao wa kugawa pesa kwenye sandarusi.
 
Ni lini Ewura imetowa hilo tangazo? Au unadhani umeme ni mafenesi unajipangia bei tu?
 
Mbona bei ni hiyo hiyo tangu mimi naanza kununia umeme

Unit 1= 357tsh/= au wamepandisha kutoka hiyo 357/=

Maana mwezi uliopita nilinunua umeme wa elf10 nikapewa unit 28

10000÷28=357.1

sasa imepanda lini?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…