Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
ikipendeza wafanye hata 6500 kwa unit 1, ili akili zitukae sawaBei ya Umeme yapanda na kuwa sh.357 kwa unit 1. Naipongeza serikali kwa hatua hii
Ni miaka mingi imepita bei ilikua haijapanda, huku gharama za uendeshaji zikiongezeka maradufu.
Pia hii sh.357 ni ndogo sana, serikali ilipaswa kuweka sh 700 kwa unit 1 ili kuweza kuleta tija kwenye shirika hili la Tanesco. Hivyo nitoe ombi kwa serikali kuongeza zaidi bei kufikia sh.700 kwa unit 1.
Nimpongeze waziri kwa ubunifu huu wa kuongeza bei ye umeme.
uko sawa jamaa walibaki kumponda wakati umeme alikua anapgania ushuke,vijana wa lisu ni vilaza hasa huwa hawaeleki wanataka nniMtamkumbuka sana yule mnae mwita Dikteta Uchwara vilaza Nyie .
Sikukimbia hesabu mkuu, 357×25.2=9000, ndio maana nimesema hayo mabadiliko yapo tangu miezi kadhaa, hayajaanza leo.Weka screenshot ya umeme ulionunua alafu nikuambie unit moja ilikua sh ngapi. Ili tusibishane sana
Nimenunua juzi wala sijaona hilo ongezeko la Bei, labda Kama Bei imepanda Jana au Leo hapo nitaelewa,Bila kubishana sana, weka screenshot ya umeme ulionunua kabla alafu nikuambie ilikua sh ngapi.
Unit moja inatakiwa iwe hata 3,000Umeme tunauza Bei chini sana, tofauti na Marekani Bei yao ni kubwa
Jamaa wanaitafuna haswa nchiMbona hii muda mrefu sana! Mwezi uliopita nimenunua umeme wa sh 9000 nimepata unit 25. Nilidhani masikhara sikuamini amini yaani.
Ulikua tarrif 4/0Nimenunua juzi wala sijaona hilo ongezeko la Bei, labda Kama Bei imepanda Jana au Leo hapo nitaelewa, View attachment 2255255
Ni lini Ewura imetowa hilo tangazo? Au unadhani umeme ni mafenesi unajipangia bei tu?Bei ya Umeme yapanda na kuwa sh.357 kwa unit 1. Naipongeza serikali kwa hatua hii
Ni miaka mingi imepita bei ilikua haijapanda, huku gharama za uendeshaji zikiongezeka maradufu.
Pia hii sh.357 ni ndogo sana, serikali ilipaswa kuweka sh 700 kwa unit 1 ili kuweza kuleta tija kwenye shirika hili la Tanesco. Hivyo nitoe ombi kwa serikali kuongeza zaidi bei kufikia sh.700 kwa unit 1.
Nimpongeze waziri kwa ubunifu huu wa kuongeza bei ye umeme.
[emoji16][emoji16]Umeshakula lakini ?
Nuzulati ntka nije kuoa tanga nipe maelekezo bhnaKama sio una...wa...zim basi una Ki...chaa
Itakuwa walikata ile buku ya jengo kwa hiyo ulipata wa buku 9 huenda ila kama buku haikukatwa basi umepanda sanaJuzi nimeweka umeme wa Tsh 10500 nikapata unit 24, I felt weird so bad