Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Umemuerewa rakini?
Njoo upate kuishi miaka mingi huku marufuku kuuwanaNuzulati ntka nije kuoa tanga nipe maelekezo bhna
Kama hutaki bei hiyo, hamia Burundi. Unadhani gharama za mikutano, warsha na safari za nje zitalipwa na nani.Kwahiyo unalinganisha Tanzania na Marekani.!? Tanzania kuna vichaa wengi wa akili
Nilivyomuelewa pamoja na kufanya editing,hii ni kejeli kwa waziri Makamba.Kafuta uzi huo hakuandika hivo ameedit.
Umeme tunauza Bei chini sana, tofauti na Marekani Bei yao ni kubwa