Bei ya vifaa vya ujenzi imepanda

Bei ya vifaa vya ujenzi imepanda

Mwatulole

Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
54
Reaction score
191
Nimesikitishwa sana na Bei vifaa vya Ujenzi Kupanda maradufu

Cement iliyokuwa Elfu 16,000 mwezi Jana Sasa ni 18,000/=

Nondo iliyokuwa 13,000/= sasa ni 17,000/=

Bati iliyokuwa 16,000/=sasa ni 20,000/=
Mtaani kwako vifaa vya ujenzi vinagharama gani hebu tujuzane wana forum wenzangu.

Wafanyabiashara wanasema,wanadhani wiki Kesho itaongezeka tena.
 
hata misumari ya bati imepanda toka 65k kwa kilo mpka 110k...hali sio nzuri kabisa!!
 
Huku niliko iko hiv
Cement 25,000
Nondo 20,000
Bati 25,000
 
Kwani bunge la budget ndio mwezi huu...? Au.
 
Huko mnakosemea hizo bei ni wapi wakuu?

Frankly Bati ya Galco na nondo zinapanda kila kukicha but noti tu zati eksitenti.

Kilombero Moro hapa Cement ni 13,500=nondo ya 12mm ni 20,000=ya 10mm ni 14,000= Bati ya Galco/Simba 10ft ni 20,000= na 8ft ni 17,000= Msumari wa Bati ni 5,000=per Kg,wa Ceilling Board ni 4,500=. Wire Nails ya kawaida ni 3,000= per Kg.
 
Huko mnakosemea hizo bei ni wapi wakuu?

Frankly Bati ya Galco na nondo zinapanda kila kukicha but noti tu zati eksitenti.

Kilombero Moro hapa Cement ni 13,500=nondo ya 12mm ni 20,000=ya 10mm ni 14,000= Bati ya Galco/Simba 10ft ni 20,000= na 8ft ni 17,000= Msumari wa Bati ni 5,000=per Kg,wa Ceilling Board ni 4,500=. Wire Nails ya kawaida ni 3,000= per Kg.
I see!!!
 
Nimesikitishwa sana na Bei vifaa vya Ujenzi Kupanda maradufu

Cement iliyokuwa Elfu 16,000 mwezi Jana Sasa ni 18,000/=

Nondo iliyokuwa 13,000/= sasa ni 17,000/=

Bati iliyokuwa 16,000/=sasa ni 20,000/=
Mtaani kwako vifaa vya ujenzi vinagharama gani hebu tujuzane wana forum wenzangu.

Wafanyabiashara wanasema,wanadhani wiki Kesho itaongezeka tena.
Mkuu upo mkoa gani? Dasalama huku cement ni 9,500 - 11,500 kutegemea na product name...
Nondo 14,500/=
 
Ni kweli bei imepanda sana siku za karibuni
Ila nikushauri jambo mkuu, hapo kwenye nondo inabidi uweke ni aina ipi maana kuna size za nondo, Y8,Y10,Y12,Y16,Y20,Y25....
So kwa mtaani zinazotumika sana ni Y8,Y10 na Y12
 
Back
Top Bottom