mzee msoko
Senior Member
- Jan 30, 2020
- 113
- 220
Je, hizo gharama zinabeba pia installation?Habari za wakati huu,leo nimewaletea bei ya seti upande wa CCTV camera kuanzia 4 mpaka 16.
NB: Kila seti imebeba vifaa vyote vinavyohitajika kukamilisha mfumo wa CCTV ikiwemo na Monitor ndani yake bila kusahau access ya INTERNET kwa wale watakaohitaji.
Tuwasiliane kupitia 0742737142 au 0624066848View attachment 2575536View attachment 2575538View attachment 2575539View attachment 2575542View attachment 2575540View attachment 2575541View attachment 2575544View attachment 2575546View attachment 2575545View attachment 2575547View attachment 2575548
Ndiyo,kila seti na bei inayoonekana hapo ni mfumo mzima kuanzia VIFAA mpaka INSTALLATIONJe, hizo gharama zinabeba pia installation?
Nahitaj camera moja tu kwa ajili ya ofcn
Kamera moja itabidi nikufungue ile ya bulb,lakini kama ukihitaji nje na ndani tunafunga mbili kwa sababu nitaunganisha kupitia DVR (DIGITAL VIDEO RECORDING)Nahitaj camera moja tu kwa ajili ya ofcn
Ni kweliNunua stand alone za kuweka memory kadi. unless nunua mfumo wa camera 4 na ufunge hiyo moja unayotaka lakini utakua umeseve material ya hizo camera 3 na gharama kupungua
Bei iko normal, because kila kitu kinafika SITE na kufanyiwa INSTALLATION bila mteja kutoa gharama nyingine yoyotePunguza bei
Akikujibu ni tag nduguZile hidden camera mnazo?
Kama socket
Midoli
Vitabu n.k? Kama.zipo mnazo zipi?
Mikoa jirani na Dar; mfano Morogoro, Tanga, Dodoma na Pwani mnafika kwa utaratibu upi?Ndiyo,kila seti na bei inayoonekana hapo ni mfumo mzima kuanzia VIFAA mpaka INSTALLATION
Kwa sasa hidden Camera tumeishiwa,mpaka next week mzigo utakuwa dukani. Hizi ni sample baadhi ya zile hidden Camera ambazo huwa zinakwepo dukaniView attachment 2576358View attachment 2576359View attachment 2576360View attachment 2576361View attachment 2576362Zile hidden camera mnazo?
Kama socket
Midoli
Vitabu n.k? Kama.zipo mnazo zipi?
1.Tunafanya mawasiliano kisha kupata maelewano ya kufika SITE,then ntafika site kuangalia ramani na kukushauri ufunge camera zipi pamoja na kupiga tathmini ya kazi. Kitakachofuata ni wewe kutoa GO AHEAD ya kuanza kazi.Mikoa jirani na Dar; mfano Morogoro, Tanga, Dodoma na Pwani mnafika kwa utaratibu upi?
Karibu sana mkuuhapa nitarudi siku za karibuni
Na gharama zake Au bei zake?Kwa sasa hidden Camera tumeishiwa,mpaka next week mzigo utakuwa dukani. Hizi ni sample baadhi ya zile hidden Camera ambazo huwa zinakwepo dukaniView attachment 2576358View attachment 2576359View attachment 2576360View attachment 2576361View attachment 2576362View attachment 2576363
Shukrani sanaKaribu sana mkuu
Special kwa ndani 1 piece ni 70,000/= na zile za nje 1 piece ni elfu 85,000/=Na gharama zake Au bei zake?