INAUZWA Bei za CCTV cameras kwa mfumo wa seti

INAUZWA Bei za CCTV cameras kwa mfumo wa seti

1.Tunafanya mawasiliano kisha kupata maelewano ya kufika SITE,then ntafika site kuangalia ramani na kukushauri ufunge camera zipi pamoja na kupiga tathmini ya kazi. Kitakachofuata ni wewe kutoa GO AHEAD ya kuanza kazi.

2.Unatujulisha idadi ya camera unazohitaji,sisi tutafika site moja kwa moja na kuanza kazi
Yaani nilitaka kujua iwapo nitawahitaji mje Tanga, Morogoro, au Dodoma kunifungia hizo camera! Mfano hiyo yenye camera 4; nitatakiwa kugharamia nauli zenu na malazi?
 
Yaani nilitaka kujua iwapo nitawahitaji mje Tanga, Morogoro, au Dodoma kunifungia hizo camera! Mfano hiyo yenye camera 4; nitatakiwa kugharamia nauli zenu na malazi?
Utahusika upande wa nauli ya kuja site pamoja na malazi,upande sisi kurejea ofisini utakuwa juu yetu
 
Nje una maanisha miwani na vifaa vingine kama peni nk?
Ipo yenye appearance ya KIFUNGO cha shati,PENI, na hii SPY hizi hufaa nje zaidi
IMG-20230114-WA0002.jpg
Screenshot_20230222-182528_1.jpg
 
Habari za wakati huu,leo nimewaletea bei ya seti upande wa CCTV camera kuanzia 4 mpaka 16.
NB: Kila seti imebeba vifaa vyote vinavyohitajika kukamilisha mfumo wa CCTV ikiwemo na Monitor ndani yake bila kusahau access ya INTERNET kwa wale watakaohitaji. Bei zinazoonekana hapo chini ni pamoja na INSTALLATION (UFUNDI)

Tuwasiliane kupitia 0742737142 au 0624066848

1.set zako unatumia camera brand gani?
2.DVR ni brand gani?
3.specs za camera unazotumia ni zipi?
4.Hard drive unaweka ya ukubwa gani kwa set ya camera 8?
Tuanzie hapo then mengine yatafata
 
1.set zako unatumia camera brand gani?
2.DVR ni brand gani?
3.specs za camera unazotumia ni zipi?
4.Hard drive unaweka ya ukubwa gani kwa set ya camera 8?
Tuanzie hapo then mengine yatafata
Najua unauliza swali hili kwa mtego nami nakupa majibu yafuatayo
1.Seti zangu natumia camera za Dahua 1080p na HIKVISION 1080p zote zikiwa colorvue iwe ya sauti au normal bei yangu ya installation ni moja.

2.DVR natumia 1080p ya DAHUA pekee because iko na smart view, simple to use kwa wateja wangu, better maintenance na HD camera appearance bila shida yoyote [emoji817]

3.Natumia camera zenye quality ya 1080p, zooming up to 3.8mm,iwapo mteja akitaka kubadili nafunga 5mp zooming up to 13.8mm

4.Seti ya camera 8 naweka 2tb hard disk kwa ajili ya kupata taarifa za muda mrefu.

BADO UNA SWALI MR RASTA?
 
Najua unauliza swali hili kwa mtego nami nakupa majibu yafuatayo
1.Seti zangu natumia camera za Dahua 1080p na HIKVISION 1080p zote zikiwa colorvue iwe ya sauti au normal bei yangu ya installation ni moja.

2.DVR natumia 1080p ya DAHUA pekee because iko na smart view, simple to use kwa wateja wangu, better maintenance na HD camera appearance bila shida yoyote [emoji817]

3.Natumia camera zenye quality ya 1080p, zooming up to 3.8mm,iwapo mteja akitaka kubadili nafunga 5mp zooming up to 13.8mm

4.Seti ya camera 8 naweka 2tb hard disk kwa ajili ya kupata taarifa za muda mrefu.

BADO UNA SWALI MR RASTA?

[emoji23] kwanini uhisi mtego na kazi umetangaza wewe ila hizo taarifa hukuwa umeweka na wala picha ulizoweka hazioneshi hiki ulichonijibu?
Kama tangazo lako na hiki ulichonijibu havipishani,nitakutafuta kwa ajili ya kazi.
Pole kwa maswali mkuu
 
[emoji23] kwanini uhisi mtego na kazi umetangaza wewe ila hizo taarifa hukuwa umeweka na wala picha ulizoweka hazioneshi hiki ulichonijibu?
Kama tangazo lako na hiki ulichonijibu havipishani,nitakutafuta kwa ajili ya kazi.
Pole kwa maswali mkuu
[emoji1][emoji1][emoji1]sina shaka na wewe mkuu,nitajitahidi tangazo lijalo nitakuwa nimeorodhesha details zote juu ya mfumo wa CCTV CAMERA ili kila mmoja atambue kuhusu mfumo huu wa ulinzi.
1679336564965.jpg
 
Back
Top Bottom