BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,527
- 3,811
Habari wadau,
Ningependa kufahamu gharama za kufulia nguo kwa jijini dar es salaam ni sh ngapi kwa:
1. Suruali
2. Shati
3. Pensi
3. tisheti
4. vest
5. koti
6. shuka
Je, bei ipi itakuwa affodable kwa wanafunzi wa chuo kwa kila nguo?
Asanteni
Ningependa kufahamu gharama za kufulia nguo kwa jijini dar es salaam ni sh ngapi kwa:
1. Suruali
2. Shati
3. Pensi
3. tisheti
4. vest
5. koti
6. shuka
Je, bei ipi itakuwa affodable kwa wanafunzi wa chuo kwa kila nguo?
Asanteni