Bei za mabasi

370 ni bei ya zhongtong moja...
 
Mkuu,achana na biashara ya mabasi,kama kweli una mkwanja huo biashara nzuru hapo nunua malori ya mchanga kama sita hv kwa bei ya around mil 300 kwa mil 50 kwa kila moja,hapo agizia befoward n.k,hapo utabakiwa na mil70 yako kibindoni mkuu,hiyo bei ya kuagizia ya mil 50 mkuu unalipia hadi bima kubwa kabisa,hayo malori utayatumia ktk biashara ya kubeba mchanga ambapo kwa dar kwa lori moja la ukubwa wa wa wastani hukosi laki 150 kwa siku,kwa malori 6 unaongelea laki 9 kwa siku,kwa mwezi kama mil27 hv mkuu,ukitoa matumizo ya service za hizo gari zote kwa mwezi bado utabakiwa na mkwanja mrefu sana,kila la heri mkuu ,biashara hii mkuu hutojutia uwekezaji wako,ni biashara nayoitamani sana kuifanya sema sina mtaji tu mkuu,biashara ya magari inahitaji usimamizi wako wa karibu sana ili muda wote yawe imara barabarani,kwa ushauri huu si vibaya ukinitumia hata kilo moja tu kwa majadiliano mapana zaidi mkuu
 
Hesabu ya bosi kwa bus la tata au eicher kwa siku ni 300,000
Kama kwa mwaka gari inafanya kazi siku 300 inakuwa 300,000*300=90,000,000.
Hizo siku 66 zilizobaki gari inakuwa mapumziko au service.

300000 kwa route ndefu au dala dala
 
Chukua robo ya pesa yako invest katika forex trading, robo Tatu nunua mabasi.
 

Nimejifunza kitu hapa Thanks.
 
VERY NICE UNDERSTANDING
 

mkuu hapo ukiwa umelipia gharama zote?, na mimi nataka nianze
 
mrejesho huwa ni jambo jema sana hasa kwa uzi ka hizi ambazo zimehusisha watu wa kila aina na walojitokeza kuchangia kadri walivyoweza kwa maslahi yake alouliza pia kwa maslahi yao binafsi, nategemea sasa mtoa uzi aje aeleze alichokifanya baada ya maoni na mitizamo ya wengi wadau
 
Hizo 370mil umezipataje? Sidhani mtu mwenye uwezo wa kupata mil 370 ashindwe kujua bei za yutong au Scania Marcopolo...Biashara ya magari kichaa
Acha mawazo ya kipumbavu wewe kwan kila mwenye hela nyingi lazima ajue bei za kila kitu. Fikra finyu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…