Pesa zinapatikana kwa aina nyingi. Kuna urithi. Mtu kauza nyumba yao kapata mpunga. Lazima atakuwa mgeni kwenye maswala ya kifedhaHizo 370mil umezipataje? Sidhani mtu mwenye uwezo wa kupata mil 370 ashindwe kujua bei za yutong au Scania Marcopolo...Biashara ya magari kichaa
370 ni bei ya zhongtong moja...Wazee ninakapesa fulani Mungu amenipatia lakini nataka kuwekeza kwenye biashara ya basi za abiria. Hivyo wapendwa wangu naomba ushauri
1. Bei za marcopolo ni TSHS ngapi? na bei ya YOUTONG ni kiasi gani?
2. Je ni basi gani ni imara ili nisiingie hasara likafa haraka?
3. Kama ni body za kuchonga bei zake zinaendaje na kampuni gani nzuri?
kwa wenye uzoefu je biashara ya mabasi inalipa?
mtaji wangu ni Milion 370. je inaweza nipatia mabasi mawili? maono yangu ni nilitaka kujaribu njia ya DAR -Arusha
370 ni bei ya zhongtong moja...
sio kwlei falcon mombasa lete bei huku!marcopolo mpya ni kuanzia mil 500
uwe unatoa facts sio unaropoka hovyooooo
sio rahisi hivyo!Kaka jenga nyumba uPangishe
Hesabu ya bosi kwa bus la tata au eicher kwa siku ni 300,000
Kama kwa mwaka gari inafanya kazi siku 300 inakuwa 300,000*300=90,000,000.
Hizo siku 66 zilizobaki gari inakuwa mapumziko au service.
Marcopolo 700Mil
Youtong 250 - 300 mil
Marcedes 800 Mil
Nakushauri nunua youtong, hela yako itarudi mapema.
Kwa hiyo budget sidhan kama utaweza hii biashara kwasababu utatakiwa kulipa insuarance ambayo si ya kitoto, kuna vipesa vitakutoka hapo vingivingi.
Kwa hiyo pesa nakushauri ununue Min buses za TATA au EICHER kama ma4 hivi yanauzwa 70Mil. Upige rote za mbezi - kkoo au mbezi - mwenge. Kwa mwaka unarudisha hela yako na mtaji utakuwa mkubwa na utakuwa umepata experience ya jinsi ya kufanya biashara ya mabus.
Updates:
Kutokana na kuwepo kwa mabus ya mwendokasi, route za mwenge na kkoo ni kama hazipo.
Kwahiyo, nunua Eicher moja na nyingine unakopeshwa, zipeleke mikoani ambapo utapata routes mfano, moro-dom au dom-singida au moro-mvumero etc.
Ukiziweka dar kwa usawa huu itakula kwako. Biashara utaiona chungu.
hizi bei hazipo sahihi kabisa mkuuNimejifunza kitu hapa Thanks.
hizi bei hazipo sahihi kabisa mkuu
Hili neno kumbe Dr Shika aliliba humu jf??zinapendeza
Hili neno kumbe Dr Shika aliliba humu jf??zinapendeza
VERY NICE UNDERSTANDINGMkuu, hapa inabidi uwe specific. Kwanza, Marcopolo si aina ya basi, bali ni kampuni ya kutengeneza bodi za mabasi yenye makao yake makuu nchini Brazil. Mabasi yanayotumika Tanzania yakiwa na bodi za Marcopolo ni Scania, Mercedes-Benz na Tata. Pili, Yutong ina aina (model) nyingi za mabasi ingawa aina inayotumika sana Tanzania ni ZK6116D (yenye injini mbele).
Marcopolo 700Mil
Youtong 250 - 300 mil
Marcedes 800 Mil
Nakushauri nunua youtong, hela yako itarudi mapema.
Kwa hiyo budget sidhan kama utaweza hii biashara kwasababu utatakiwa kulipa insuarance ambayo si ya kitoto, kuna vipesa vitakutoka hapo vingivingi.
Kwa hiyo pesa nakushauri ununue Min buses za TATA au EICHER kama ma4 hivi yanauzwa 70Mil. Upige rote za mbezi - kkoo au mbezi - mwenge. Kwa mwaka unarudisha hela yako na mtaji utakuwa mkubwa na utakuwa umepata experience ya jinsi ya kufanya biashara ya mabus.
Updates:
Kutokana na kuwepo kwa mabus ya mwendokasi, route za mwenge na kkoo ni kama hazipo.
Kwahiyo, nunua Eicher moja na nyingine unakopeshwa, zipeleke mikoani ambapo utapata routes mfano, moro-dom au dom-singida au moro-mvumero etc.
Ukiziweka dar kwa usawa huu itakula kwako. Biashara utaiona chungu.
Acha mawazo ya kipumbavu wewe kwan kila mwenye hela nyingi lazima ajue bei za kila kitu. Fikra finyu!Hizo 370mil umezipataje? Sidhani mtu mwenye uwezo wa kupata mil 370 ashindwe kujua bei za yutong au Scania Marcopolo...Biashara ya magari kichaa