Marcopolo 700Mil
Youtong 250 - 300 mil
Marcedes 800 Mil
Nakushauri nunua youtong, hela yako itarudi mapema.
Kwa hiyo budget sidhan kama utaweza hii biashara kwasababu utatakiwa kulipa insuarance ambayo si ya kitoto, kuna vipesa vitakutoka hapo vingivingi.
Kwa hiyo pesa nakushauri ununue Min buses za TATA au EICHER kama ma4 hivi yanauzwa 70Mil. Upige rote za mbezi - kkoo au mbezi - mwenge. Kwa mwaka unarudisha hela yako na mtaji utakuwa mkubwa na utakuwa umepata experience ya jinsi ya kufanya biashara ya mabus.
Updates:
Kutokana na kuwepo kwa mabus ya mwendokasi, route za mwenge na kkoo ni kama hazipo.
Kwahiyo, nunua Eicher moja na nyingine unakopeshwa, zipeleke mikoani ambapo utapata routes mfano, moro-dom au dom-singida au moro-mvumero etc.
Ukiziweka dar kwa usawa huu itakula kwako. Biashara utaiona chungu.