Jaribu pia kucheza bahati nasibu...Yap Na nimefanya kazi kama Nyoka Sana Migodini ila sikubahatika kupata jiwe.
Naam, huko watu hupata zaidi ya hizo huku wakiwa hawana mpango wowoteYap Na nimefanya kazi kama Nyoka Sana Migodini ila sikubahatika kupata jiwe.
Umesema kweli tupu.Jenga Nyumba iwe Dar,Mbeya,Mwanza,Arusha ama Mtwara kwa hizo pesa unaweza pata kodi mil 2 hadi 3 kila mwezi na unaweza kopa benki hata mil 100 unapewa hizo ndo assets utakula hadi utazeeka watoto watasoma vizuri,hutapata presha na utakuwa na amani moyoni mwako,magari utakufa siku si zako!
Kabisa mkuu. Huko Lindi au Mtwara pamoja kwa mfano Mtwara wamejitahidi sana miaka ya hivi karibuni, lakini kiukweli nyumba za kulala wageni hazitoshi. Kwa 370m/- aweza kujenga lodge na atafanya biashara vizuri sana.Nakushauri njoo Lindi au Mtwara jenga apartment unakula million moja hadi mbili kwa mwezi.Hii biashara ya usafirishaji ina risk nyingi mfano trafiki kila siku wanahitaji posho,kondakta atakuibia,Sumatra nao watakuchapa kimsingi nakusihi achana nayo.
mi simshauri hiloo maana naona jirani yaangu kila siku analia na anameza dawa za presha.
kama kweeli ana huo mpunga au yeyote mwenye mpunga wa hvyo kwa nini asiende bank akaweka fixed ya mwez mmoja mmoja?????
imajini hyo 370M kwa mwezi let say watakuwa wanakupa rate ya 7% ambayo ni sawa na Tsh 25,900,000/=
sasa kwa nini uhangaike na hayo magari usiku kucha haulali kama mlinzi????
uwe unatoa facts sio unaropoka hovyooooo
ahahahaha kijana husiwe unaongea usiyoyajua . njo pm nikufundisheeeHiyo 7% ni annually,monthly haiwezi kuzidi 2% ya riba.
ahahahaha kijana husiwe unaongea usiyoyajua . njo pm nikufundisheeeHiyo 7% ni annually,monthly haiwezi kuzidi 2% ya riba.
ahahahaha kijana husiwe unaongea usiyoyajua . njo pm nikufundisheeeHiyo 7% ni annually,monthly haiwezi kuzidi 2% ya riba.
hahahahahah
ahahahaha kijana husiwe unaongea usiyoyajua . njo pm nikufundisheee