Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ambapo maji ni Bure sio?Kuna mzee wangu mmoja aliwahi kuniambia
Epuka kuonekana mbele za watu kama una maisha mazuri ilhali unateseka moyoni mwako
Yanini ukakae sehemu nzuri wakati bili ya maji ya 15,000 inakufanya ujieleze sana
Nenda kaishi buza,vikindu,kisemvule huko pia ni watz wanaishi
Bei ni Tofauti na Mikoa. Na kingine mnapaswa kuelewa tatizo sio bei tatizo ni Upigaji, Utapeli na Ulaghai kwenye bei iliyopo. wewe wa Tsh. 2,600 ukilipia 3,200 baada yake hautakuwa na maswali kwanini?Mbona sisi Huku tuna lipa 2600 mzee
Kwanini msiombe bili YA Maji inapoletea .maana Huo Ni mradi Wa wenye nyumbaMamlaka ya Maji, ndo inapaswa kusimamia haki katika duma wanayoisimamia, kuhakikisha wananchi wanapata huduma kwa Usawa
Ungekuwa umepanga kwangu ningekutimuaMimi nilikuwa bachela nikaambiwa niwe nalipia 10,000 badala ya 15,000 wanayolipa wenzangu.
Nilikataa nilisema nitakuwa nalipia kadri ninavyotumia yaani 100 kwa ndoo kwa sababu nikioga asubuhi napotea nikirudi saa 9 natumia maji ya bar kisha narudi kulala tu home usiku saa 3.
Kwakweli ni kubwa sana inaumiza mno, ukute uko na wenye Familia zao halafu mnalipa wote sawa ni shida sana..Tsh. 10,000 ni kubwa sana kiukweli kwa Bachela
Mkuu suluhu pekee ya huu mgogoro wa nafsi ni kujenga nyumba yako ili uachane na huu uonevu..Tsh. 100 ndoo, kwenye unite Moja ya Tsh. 1,663 kuna ndoo 100, ambazo zitakugharimu Tsh. 10,000.. we unaona ni akili hilo?
Wahaya Wabahaya Hawa jamna! 😂😂🤣🤣Pole sana mkuu japo hilo haliwahusu idara ya maji. Mi niliwahi kupanga kwa mama mmoja muhaya wapangaji tulikuwa haturuhusiwi kuchota maji bombani. Maji yakitoka yanajaa kwenye tenki then tunachota kwenye tenki kwa 200 kila ndoo ilibidi nikae pale miezi 3 nikahama.
Watanzania wote wenye kero hii wanaweza kujenga nyumba? au unawaza mtu mmoja tu?