ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,337
- 7,593
Dah, huyu mwizi mkuu, mimi nyumba yangu (room 3 kama yako) nilichorewa ramani na akaenda kupitisha building permit kwa laki nne. Mfate mwambie kabisa alikuibia ajue. Kina mama mnapojenga au mnapotaka kununua gari mshirikishe mwanaume yeyote kama huna mume tafuta hata ndugu au rafiki mpeane ushauri.
Mimi kuset na kuujenga msingi wote fundi nilimpa 800,000.
Mimi kuset na kuujenga msingi wote fundi nilimpa 800,000.
Nilisema 3 bedroomed to mean nyumba ya vyumba vtatu ambayo chumba kimoja ni master, ina jiko,store,sebule na public toilet. Ipo sehemu ya tambarale.nimeona niulize mana mchora ramani alinchorea kwa 2.5million ila kaandaa na document inaitwa schedule of material ila nilivokuja fanya resech nikagundua kua huyu architect alinibamiza sanaaa mana watu wanachorewa raman hadi laki 4.thats y ctaki tena kuingia kchwa kichwa.
Asanten kwa ushauri