Bei za nauli za treni za kwenda Morogoro na Dodoma zinatakiwa ziwe juu zaidi ili kuweka uwiano wa biashara kati ya mabasi na treni

Bei za nauli za treni za kwenda Morogoro na Dodoma zinatakiwa ziwe juu zaidi ili kuweka uwiano wa biashara kati ya mabasi na treni

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Katika kuhakikisha kwamba sekta ya usafirishaji wa abiria nchini inakuwa na uwiano mzuri wa kibiashara kati ya mabasi na treni, kuna haja ya kuangalia upya bei za nauli za treni kwa safari za kwenda Morogoro na Dodoma.

Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea kushindana, napendekeza nauli za treni ziwe juu zaidi. Hatua hii itasaidia kuimarisha sekta ya mabasi na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vya usafiri vinaweza kuendelea kutoa huduma kwa tija, huku abiria wakipata uhuru wa kuchagua usafiri kulingana na vipaumbele vyao bila kuathiriwa sana na tofauti kubwa za bei.

Kwa kuongeza nauli za treni, sekta ya mabasi itapata nafuu ya ushindani na hivyo kusaidia kudumisha watoa huduma wengi kwenye soko. Hii siyo tu kwamba itachochea ukuaji wa sekta zote mbili bali pia itahakikisha huduma za usafiri zinapatikana kwa wingi na kwa ubora zaidi kwa wasafiri.
 
Katika kuhakikisha kwamba sekta ya usafirishaji wa abiria nchini inakuwa na uwiano mzuri wa kibiashara kati ya mabasi na treni, kuna haja ya kuangalia upya bei za nauli za treni kwa safari za kwenda Morogoro na Dodoma.

Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea kushindana, napendekeza nauli za treni ziwe juu zaidi. Hatua hii itasaidia kuimarisha sekta ya mabasi na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vya usafiri vinaweza kuendelea kutoa huduma kwa tija, huku abiria wakipata uhuru wa kuchagua usafiri kulingana na vipaumbele vyao bila kuathiriwa sana na tofauti kubwa za bei.

Kwa kuongeza nauli za treni, sekta ya mabasi itapata nafuu ya ushindani na hivyo kusaidia kudumisha watoa huduma wengi kwenye soko. Hii siyo tu kwamba itachochea ukuaji wa sekta zote mbili bali pia itahakikisha huduma za usafiri zinapatikana kwa wingi na kwa ubora zaidi kwa wasafiri.
Ipo siku mtapendisha gharama za matibabu ili kupunguza population
 
Katika kuhakikisha kwamba sekta ya usafirishaji wa abiria nchini inakuwa na uwiano mzuri wa kibiashara kati ya mabasi na treni, kuna haja ya kuangalia upya bei za nauli za treni kwa safari za kwenda Morogoro na Dodoma.

Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea kushindana, napendekeza nauli za treni ziwe juu zaidi. Hatua hii itasaidia kuimarisha sekta ya mabasi na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vya usafiri vinaweza kuendelea kutoa huduma kwa tija, huku abiria wakipata uhuru wa kuchagua usafiri kulingana na vipaumbele vyao bila kuathiriwa sana na tofauti kubwa za bei.

Kwa kuongeza nauli za treni, sekta ya mabasi itapata nafuu ya ushindani na hivyo kusaidia kudumisha watoa huduma wengi kwenye soko. Hii siyo tu kwamba itachochea ukuaji wa sekta zote mbili bali pia itahakikisha huduma za usafiri zinapatikana kwa wingi na kwa ubora zaidi kwa wasafiri.
Aliyesema akili ni nywele alikosea sana
 
Mabasi ndio yanapaswa yajiongeze kwa kuboresha huduma zao maradufu. Huwa sioni sababu ya abiria kutozwa gharama kubwa ya kijimzigo kidogo kilichopo kwenye buti hili wamiliki wakalitizame.
 
Pia, nauli zipandishwe ili kupunguza walalahoi kujazana kwenye treni, halafu wakiwa nadani ya treni wanatamani kushuka/kuondoka na kila wanachokiona e.g feni, taa, koki, na makava ya viti.
 
Kuna raia mmoja wa kigeni ambaye ameishi kidogo hapa nchini aliwahi kuniambia kitu kimoja kuwa, wafanyabiashara wengi wa kibongo hasa Hawa tunawaona ni wafanyabiashara wakubwa[/] huwa wanafanya mambo yao kimazoea na hawana maarifa ya kukabiliana na mabadiliko yoyote yanayotokea kwenye Tasinia ya biashara kwa haraka....

Mara nyingi akitokea mtu yeyote wa kuwapa challenge inayotishia ustawi wa biashara zao, njia pekee wanaiona ni sahihi kukabiliana na challenge hiyo ni kupambana na mtu huyo hili wampoteze au kumlazimisha afanye biashara wanavyotaka wao katika namna ambayo biashara zao hazitaathirika.

Na hata siku moja huwa hawafikirii kuja na idea mpya ambayo ni Bora Zaid katika kuboresha huduma zao hili kumshinda mshindani wao huyo anayetishia ustawi wa biashara zao.

Mfano mzuri ni kama wewe hapa mleta mada unayejiita Meneja Wa Makampuni yaani umekaa umeumiza kichwa na hatimae ukaona eti njia Bora ya kukabiliana na kuzorota kwa MAPATO kwenye biashara ya mabasi kwa Sasa ni kupandisha nauli ya SGR...like serious?... Kwamba bila kushusha nauli ya SGR basi hakuna njia nyingine ya kumaintain level ya mapato kwenye biashara ya mabasi..??

Lakini sikushangai sana maana ndio akili zenu wabongo na nna uhakika sio wewe tu mwenye mawazo haya... Si ajabu hili wazo likaja likawafanyiwa kazi kwa kushirikiana na viongozi waliomo serikalini ambao nao pia wana sehemu kubwa ya umiliki kwenye hizo kamili zenu za mabasi.

Kama mliweza kuiua ATCL bila Aibu hili kampuni kama Precision Air na Fast Jets ndio ziwe kampuni tegemeo kwenye usafiri wa anga hapa nchini hadi alivyokuja Magu kuifufua, mtashindwa nini kuiua SGR hili muendelee kusafiri na Kimbinyiko na ABC???? Tena raisi mwenyewe mliyenaye ndio huyu?

Nchi hii ina watu wenye akili ndogo sana kuanzia juu mpaka chini, wenye hela na wasiokuwa na hela.... Na ndio maana iko hapa ilipo.
 
Sehemu ya kwanza ......01
HOJA YAKO
Hofu ya biashara ya mabasi ya usafirishaji abiria kushindwa kihilimili soko la ushindani ulioletwa kutoka kwa treni ya abiria ya mwendo kasi ya umeme sgr,
hivyo hofu yako kubwa abiria wa mabasi watapungua kupelekea mapato /faida ya biashara ya mabasi kupungua na kutishia ustawi uhai wa biashara ya mabasi.

SABABU PEKEE KUU uliyoifikiria itakayopekea kupungua abiria wa mabasi ni NAULI ya treni kuwa ya kizalendo ambayo ni himilivu kwa watanzania walio wengi .

NJIA SULUHISHO PEKEE ULILOFIKIRIA
Ili kunusuru biashara ya mabasi ya usafirishaji abiria hivyo umeshauri njia pekee ni KUPANDISHA NAULI za treni ,ili watanzania walio wengi masikini washindwe kuhimili kumudu gharama za treni halafu wakishindwa kulipia gharama ghali za juu sana za nauli za treni endapo zikipandishwa kama unavyoshauri sasa, basi wajaze katika mabasi wapande mabasi ya abiria waache kupanda treni kwa kushindwa kumudu gharama,
tena kama ingewezekana UNGEPENDA wasipande kabisa treni ili wajazane kwenye mabasi kwa kiasi kikubwa .HIVYO NDIVYO ULIVYOFIKIRIA.
 
N
Mabasi ndio yanapaswa yajiongeze kwa kuboresha huduma zao maradufu. Huwa sioni sababu ya abiria kutoxwa gharamu kubwa ya kijimzigo kidogo kilichopo kwenye buti hili wamiliki wakalitizame.
Wabongo njia pekee sahihi kwao ya kukabiliana na ushindani wa kibiashara ni kumpiga vita mshindani huyo na ikiwezekana kumpoteza kabisa na Wala hawanaga muda wa kuangalia mapungufu yaliyopo kwenye biashara zao au vitu vya kuongezea Hili kumaintain customerbase.

Mimi naamini light kama muanzilishi wa kampuni ya NOKIA angekuwa ni mbongo basi leo tusingekuwa na makampuno mengine yanayotengeneza simu kama Samsung,Tecno,Iphone n.k.. maana mtanzania ni mtu mwenye roho mbaya sana linapokuja suala la biashara na ni mvivu wa kufikiria maarifa mapya
 
Katika kuhakikisha kwamba sekta ya usafirishaji wa abiria nchini inakuwa na uwiano mzuri wa kibiashara kati ya mabasi na treni, kuna haja ya kuangalia upya bei za nauli za treni kwa safari za kwenda Morogoro na Dodoma.

Ili kuboresha uwiano wa biashara na kutoa nafasi kwa mabasi kuendelea kushindana, napendekeza nauli za treni ziwe juu zaidi. Hatua hii itasaidia kuimarisha sekta ya mabasi na kuhakikisha kuwa vyombo vyote vya usafiri vinaweza kuendelea kutoa huduma kwa tija, huku abiria wakipata uhuru wa kuchagua usafiri kulingana na vipaumbele vyao bila kuathiriwa sana na tofauti kubwa za bei.

Kwa kuongeza nauli za treni, sekta ya mabasi itapata nafuu ya ushindani na hivyo kusaidia kudumisha watoa huduma wengi kwenye soko. Hii siyo tu kwamba itachochea ukuaji wa sekta zote mbili bali pia itahakikisha huduma za usafiri zinapatikana kwa wingi na kwa ubora zaidi kwa wasafiri.
Mimi nadhani bri ya mabasi ndio inatakiwa kushuka.. kuendana na soko sio kupandisha bei
 
Hizo ndio akili za mtanzania halisi! Hafikirii kufanya tafiti, kuomba kodi na tozo zipunguzwe, kuboresha huduma, n.k; achowaza ni KUWAKOMOA WATANZANIA WENZAKE!
Na yule mbunifu wa tozo ataliibua huko mjengoni.
Kuna namna flani yawezekana imefanywa kwa akili za watu wa inchi hii.
 
Kuna raia mmoja wa kigeni ambaye ameishi kidogo hapa nchini aliwahi kuniambia kitu kimoja kuwa, wafanyabiashara wengi wa kibongo hasa Hawa tunawaona ni wafanyabiashara wakubwa[/] huwa wanafanya mambo yao kimazoea na hawana maarifa ya kukabiliana na mabadiliko yoyote yanayotokea kwenye Tasinia ya biashara kwa haraka....

Mara nyingi akitokea mtu yeyote wa kuwapa challenge inayotishia ustawi wa biashara zao, njia pekee wanaiona ni sahihi kukabiliana na challenge hiyo ni kupambana na mtu huyo hili wampoteze au kumlazimisha afanye biashara wanavyotaka wao katika namna ambayo biashara zao hazitaathirika.

Na hata siku moja huwa hawafikirii kuja na idea mpya ambayo ni Bora Zaid katika kuboresha huduma zao hili kumshinda mshindani wao huyo anayetishia ustawi wa biashara zao.

Mfano mzuri ni kama wewe hapa mleta mada unayejiita Meneja Wa Makampuni yaani umekaa umeumiza kichwa na hatimae ukaona eti njia Bora ya kukabiliana na kuzorota kwa MAPATO kwenye biashara ya mabasi kwa Sasa ni kupandisha nauli ya SGR...like serious?... Kwamba bila kushusha nauli ya SGR basi hakuna njia nyingine ya kumaintain level ya mapato kwenye biashara ya mabasi..??

Lakini sikushangai sana maana ndio akili zenu wabongo na nna uhakika sio wewe tu mwenye mawazo haya... Si ajabu hili wazo likaja likawafanyiwa kazi kwa kushirikiana na viongozi waliomo serikalini ambao nao pia wana sehemu kubwa ya umiliki kwenye hizo kamili zenu za mabasi.

Kama mliweza kuiua ATCL bila Aibu hili kampuni kama Precision Air na Fast Jets ndio ziwe kampuni tegemeo kwenye usafiri wa anga hapa nchini hadi alivyokuja Magu kuifufua, mtashindwa nini kuiua SGR hili muendelee kusafiri na Kimbinyiko na ABC???? Tena raisi mwenyewe mliyenaye ndio huyu?

Nchi hii ina watu wenye akili ndogo sana kuanzia juu mpaka chini, wenye hela na wasiokuwa na hela.... Na ndio maana iko hapa ilipo.
Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
 
Sehemu ya kwanza ......01
HOJA YAKO
Hofu ya biashara ya mabasi ya usafirishaji abiria kushindwa kihilimili soko la ushindani ulioletwa kutoka kwa treni ya abiria ya mwendo kasi ya umeme sgr,
hivyo hofu yako kubwa abiria wa mabasi watapungua kupelekea mapato /faida ya biashara ya mabasi kupungua na kutishia ustawi uhai wa biashara ya mabasi.

SABABU PEKEE KUU uliyoifikiria itakayopekea kupungua abiria wa mabasi ni NAULI ya treni kuwa ya kizalendo ambayo ni himilivu kwa watanzania walio wengi .

NJIA SULUHISHO PEKEE ULILOFIKIRIA
Ili kunusuru biashara ya mabasi ya usafirishaji abiria hivyo umeshauri njia pekee ni KUPANDISHA NAULI za treni ,ili watanzania walio wengi masikini washindwe kuhimili kumudu gharama za treni halafu wakishindwa kulipia gharama ghali za juu sana za nauli za treni endapo zikipandishwa kama unavyoshauri sasa, basi wajaze katika mabasi wapande mabasi ya abiria waache kupanda treni kwa kushindwa kumudu gharama,
tena kama ingewezekana UNGEPENDA wasipande kabisa treni ili wajazane kwenye mabasi kwa kiasi kikubwa .HIVYO NDIVYO ULIVYOFIKIRIA.
Harafu Tanzania au Africa iendelee?????
 
Ipo siku mtapendisha gharama za matibabu ili kupunguza population
Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
 
Back
Top Bottom