Sehemu ya kwanza ......01
HOJA YAKO
Hofu ya biashara ya mabasi ya usafirishaji abiria kushindwa kihilimili soko la ushindani ulioletwa kutoka kwa treni ya abiria ya mwendo kasi ya umeme sgr,
hivyo hofu yako kubwa abiria wa mabasi watapungua kupelekea mapato /faida ya biashara ya mabasi kupungua na kutishia ustawi uhai wa biashara ya mabasi.
SABABU PEKEE KUU uliyoifikiria itakayopekea kupungua abiria wa mabasi ni NAULI ya treni kuwa ya kizalendo ambayo ni himilivu kwa watanzania walio wengi .
NJIA SULUHISHO PEKEE ULILOFIKIRIA
Ili kunusuru biashara ya mabasi ya usafirishaji abiria hivyo umeshauri njia pekee ni KUPANDISHA NAULI za treni ,ili watanzania walio wengi masikini washindwe kuhimili kumudu gharama za treni halafu wakishindwa kulipia gharama ghali za juu sana za nauli za treni endapo zikipandishwa kama unavyoshauri sasa, basi wajaze katika mabasi wapande mabasi ya abiria waache kupanda treni kwa kushindwa kumudu gharama,
tena kama ingewezekana UNGEPENDA wasipande kabisa treni ili wajazane kwenye mabasi kwa kiasi kikubwa .HIVYO NDIVYO ULIVYOFIKIRIA.
part two ..02
SI KWELI KAMA BIASHARA YA MABASI ITAKUFA
1)sababu ratiba ya treni inakulazimisha wakati mwingine upange safari kwa kufuata ratiba maalumu.
Kwa wale ambao tunasafiri kwa kushtukiza bila kufuata ratiba ya kipangiwa muda maalumu wa safari kama kudamka alfajiri sana.
saa 10 usiku,bado tunaweza kuchagua usafiri mwingine mbadala wa treni.
2)TRENI haipiti maeneo yote ,mabasi bado yana nafasi yake katika maeneo hayo ambayo treni haipiti.Kwa sisi tubaosafiri maeneo ambayo treni haina kituo au haipiti kabisa bado tinaweza kutumia usafiri mbadala mwingine.
3)Kwa mabasi yanayosafiri eneo moja na treni kama wanahisi ushindani,WABWINU BWINU Ubunifu wa kibiashara waboreshe huduma zao ili kuvutia abiria si kufikiria kuathiri bei za washindani wao,pasipo kuingiilia uhuru wa biashara ya mwengine.
MFANO
Mnashindana mbio marathoni kama mshindani wako ana mbio kukushinda sio sahihi kumwambia refa au mashabiki wamwambie mshindani wako apunguze mbio ili wote mshinde.USHINDANI WA KIBIASHARA ni kitu ambacho sisi wateha tunakifurahia kwa sababu kinasaidia kuwaamsha waliolala waimize kichwa waje na ubunifu wankuboresha huduma zao kutuvutia sisi wateja,..IKIWEMO KUSHUSHA BEI pia ni mbinu ya kibiashara na sinkupandisha bei,bora ungeshauri wenye mabasi washushe bei ili kutivutia abiria.
AU BORA UNGEOMBA USHAURI WA MAWAZO YA NAMNA GANI YA KUVUTIA ABIRIA wapande mabasi ili hapa penye wengi upate mawazo mazuri ya wadau,bila kiathiri biashara ya mwenzio ,fikiria biashara yako wewe ufanye nini kuvutia wateja usifikirie ya mwenzio.Na kama ni lazima kufikiria ya mwenzio basi usimpangie namna mshindani wako namna ya kufanya biashara yake ili kukunufaisha wewe.WHY DO YOU THINK MSHINDANI WAKO ANA WAJIBU WA KUKUFIKIRIA WEWE why shoul he care about you badala ya watanzania walio wengi tena masikini,tena ni mtaji mzuri wa kisiasa mwenzio aache kuuza sera zake apate kura za wananchi wanyonge WALIO WENGI kwa ajili afikirie matajiri WACHACHE wa mabasi ,atakuwa ana akili???