Bei za nauli za treni za kwenda Morogoro na Dodoma zinatakiwa ziwe juu zaidi ili kuweka uwiano wa biashara kati ya mabasi na treni

Huyu ndio familia ilitoa fedha kumsomesha, wewe mbona umeshindwa kuendesha ile gas yenu ya M-Gas??

Moja ya mtu mpumbavu wa fikra tokea dunia iumbwe
 
Huyu ndio familia ilitoa fedha kumsomesha, wewe mbona umeshindwa kuendesha ile gas yenu ya M-Gas??

Moja ya mtu mpumbavu wa fikra tokea dunia iumbwe
Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
 
Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
 
Mwili unaupa mzigo kubeba kichwa kilicho jaa upumbavu
Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
 
Wapuuzi wachache kama wewe ndio mlifanya hadi sasa watanzania walio wengi waone kupanda ndege ni anasa na ndege ni usafiri wa kitajiri.
Nauli za ndege huwa ni kubwa duniani kote.
Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
 
Siungi MKONO hoja yako..mbona bado kuna route nyingi tu wanaweza kwenda kuhudumia?..nadhani USHAURI ungekuwa ni kwa namna gani treni iweze kuoperate 24 hrs

Mimi nashauri TRC wafanye michakato treni ya MCHoNGOKO iwe inatumia Masaa mawili na nusu tu, Dar - Dom
 

Uwiano mzuri ungekuwa kwenye kuondoa usumbufu hasa wa polisi barabarani.

Ieleweke wote wanaohojiwa kuhusu ufanisi wa polisi, hadharani nani atawananga?

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Nauli za ndege huwa ni kubwa duniani kote.
Una uhakika?

Umetembea na kuishi nchi ngapi tuanzie hapo.

Maana naweza kuwa nadebate na mtu aliyesafiri kutoka Tanzania kwenda China ndio safari yake kubwa.
Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka.
Na kinachowavutia watu kwenye basi ni nini?
Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
Watu wa mabasi wanatakiwa waboreshewe miundombinu watembee kwa speed ya juu.

Kwa miundombinu mibovu ya barabara Tanzania haiingia akilini kilometa 192 watu wasafiri saa 4-5 barabarani huo ni uwendawazimu.
 
part two ..02
SI KWELI KAMA BIASHARA YA MABASI ITAKUFA
1)sababu ratiba ya treni inakulazimisha wakati mwingine upange safari kwa kufuata ratiba maalumu.
Kwa wale ambao tunasafiri kwa kushtukiza bila kufuata ratiba ya kipangiwa muda maalumu wa safari kama kudamka alfajiri sana.
saa 10 usiku,bado tunaweza kuchagua usafiri mwingine mbadala wa treni.
2)TRENI haipiti maeneo yote ,mabasi bado yana nafasi yake katika maeneo hayo ambayo treni haipiti.Kwa sisi tubaosafiri maeneo ambayo treni haina kituo au haipiti kabisa bado tinaweza kutumia usafiri mbadala mwingine.
3)Kwa mabasi yanayosafiri eneo moja na treni kama wanahisi ushindani,WABWINU BWINU Ubunifu wa kibiashara waboreshe huduma zao ili kuvutia abiria si kufikiria kuathiri bei za washindani wao,pasipo kuingiilia uhuru wa biashara ya mwengine.
MFANO
Mnashindana mbio marathoni kama mshindani wako ana mbio kukushinda sio sahihi kumwambia refa au mashabiki wamwambie mshindani wako apunguze mbio ili wote mshinde.USHINDANI WA KIBIASHARA ni kitu ambacho sisi wateha tunakifurahia kwa sababu kinasaidia kuwaamsha waliolala waimize kichwa waje na ubunifu wankuboresha huduma zao kutuvutia sisi wateja,..IKIWEMO KUSHUSHA BEI pia ni mbinu ya kibiashara na sinkupandisha bei,bora ungeshauri wenye mabasi washushe bei ili kutivutia abiria.
AU BORA UNGEOMBA USHAURI WA MAWAZO YA NAMNA GANI YA KUVUTIA ABIRIA wapande mabasi ili hapa penye wengi upate mawazo mazuri ya wadau,bila kiathiri biashara ya mwenzio ,fikiria biashara yako wewe ufanye nini kuvutia wateja usifikirie ya mwenzio.Na kama ni lazima kufikiria ya mwenzio basi usimpangie namna mshindani wako namna ya kufanya biashara yake ili kukunufaisha wewe.WHY DO YOU THINK MSHINDANI WAKO ANA WAJIBU WA KUKUFIKIRIA WEWE why shoul he care about you badala ya watanzania walio wengi tena masikini,tena ni mtaji mzuri wa kisiasa mwenzio aache kuuza sera zake apate kura za wananchi wanyonge WALIO WENGI kwa ajili afikirie matajiri WACHACHE wa mabasi ,atakuwa ana akili???
 
Bei za nauli za treni za kwenda Morogoro na Dodoma zinatakiwa ziwe juu zaidi ili kuweka uwiano wa biashara kati ya mabasi na treni
Umekengeuka, siyo bure!
Kwamba unataka Watanzania wenye vipato vya chini mnaoita wanyonge wanyang'anywe haki ya kupanda treni ya SGR kuwahi shughuli zao kwa maslahi ya matajiri wa mabasi?!!
 
Meneja wa Makampuni? Makampuni gani hayo?
Bado una mengi ya kujifunza kuhusu mbinu za kisasa za kufanya biashara katika ulimwengu wa sasa wenye ushindani mkubwa wa kufanya biashara.
Kinacho wavutia watu kwenye treni ni speed ya treni ili wafike haraka. Kwa hiyo unataka watu wa mabasi waongeze speed kama ya treni. Watu wa mabasi hawawezi kuboresha speed ya mabasi kufikia ya treni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…