Damy Scotty
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 717
- 454
- Thread starter
-
- #41
kura yangu ni kwa beka, dogo fundi sana
Huyo enock bella ni kama q boy msafi au harmorapa hawezi kusimama pekeyake
Beka yuko poa
Unajua katika yamoto wakitoka mmoja mmoja lazma kuna watu watafloopy. Sasa aslay fresh, beka fresh. Naamini kati ya maromboso na enock bella mmoja atachemsha au wote wawili kiujumla
Aslay ni sumu aisee...ananikumbusha enzi zile za Bongo fleva zenye vina na maana....(Kama alivosemaja Afande Sele)..dogo unafurahia rhythm..alaf unapata na ujumbe murua...kama kibao cha muhudumu....alaf akamaliza na te te...
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua katika yamoto wakitoka mmoja mmoja lazma kuna watu watafloopy. Sasa aslay fresh, beka fresh. Naamini kati ya maromboso na enock bella mmoja atachemsha au wote wawili kiujumla
Umeleta uzi watu wapige kura halafu unatulazimisha tuwe upande wako...wewe jamaa vipi ?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], mkuu umeiskia SIKINAI lakini?