screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Usikute aliyeanzisha huu uzi ni Beka mwenyewe, kiukweli Beka unaweza, wimbo wako wa kwanza ulivyoutoa ulinishangaza maana nilihisi ulikuwa unabebwa na Yamoto kama yule Bella, sema nakushauri ili usonge mbele ufanye muziki wako, epukana kabisa kufanya ligi na Aslay, maana utatengeneza team yaani hata tuliokuwa tunakusapoti utatukosa, maana siwezi nikachagua niwe upande wako halafu nimwache Aslay, kawaida wengi tunachaguaga team ya ushindi, so ukiendekeza ligi na Aslay trust me utapotea, yule dogo anauwezo mkubwa sana sio kushinda tu wewe bali kushinda wasanii wengi wakubwa hivyo nakushauri ukae mbali naye![emoji3], na Aslay anachoimba kinafanana kuanzia beat mpaka tone..vp lakini, umeiskia SIKINAI?
Sent using Jamii Forums mobile app