Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Huyo Ramos asingekuwa na ujinga wake wa kucheza rough za makusudi angekuwa bora sana. Ramos ni back ambae anaongoza kwa kadi nyingi zaidi iwe nyekundu au hata njano fuatilia.Labda kama Sergio Ramos anacheza Tennis
Kwani vigezo vya beki bora ni nini mkuu?Huyo Ramos asingekuwa na ujinga wake wa kucheza rough za makusudi angekuwa bora sana. Ramos ni back ambae anaongoza kwa kadi nyingi zaidi iwe nyekundu au hata njano fuatilia.
Lakini VVD ni very smart anapiga mpira ambao hafanyi fouls za kijinga kama Ramos. BTW mie ni Man U lakini huo ndio ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Ramos asingekuwa na ujinga wake wa kucheza rough za makusudi angekuwa bora sana. Ramos ni back ambae anaongoza kwa kadi nyingi zaidi iwe nyekundu au hata njano fuatilia.
Lakini VVD ni very smart anapiga mpira ambao hafanyi fouls za kijinga kama Ramos. BTW mie ni Man U lakini huo ndio ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungejadili uzi ulioletwa ningekuona unabusara sana. Hata hivyo hujalazimishwa kukubali nilichosema.Unajifinya na kujitekenya mwenyewe!!!
Unaweza ukavielezea hata wewe kwakuwa unamuona Ramos ni bora.Kwani vigezo vya beki bora ni nini mkuu?
Hopeless! Una asili ya ubishi bila kuwa na fact! Kila mtu aamini anachokiamini!
Ukiona hata wewe unabishana na mimi ujue nawe ni mbishi. Ndio kila mmoja anaamini anachokiamini. Kwanini wewe hutaki mie ninachokiamini. Wewe ni bogus tu.Hopeless! Una asili ya ubishi bila kuwa na fact! Kila mtu aamini anachokiamini!
Kati yangu na wewe nani alianza kumquote mwenzake? Tumia akili japo unayo kidogo!Ukiona hata wewe unabishana na mimi ujue nawe ni mbishi. Ndio kila mmoja anaamini anachokiamini. Kwanini wewe hutaki mie ninachokiamini. Wewe ni bogus tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona hata wewe unabishana na mimi ujue nawe ni mbishi. Ndio kila mmoja anaamini anachokiamini. Kwanini wewe hutaki mie ninachokiamini. Wewe ni bogus tu.
Sent using Jamii Forums mobile app