Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,962
- 7,830
Kwa miaka mingi Dunia ya soka imekuwa ikiwatukuza wachezaji wanaocheza nafasi za mbele au kwa kifupi Washambuliaji huku ikiwasahau kama si kuwatupa kabisa wachezaji wanaocheza nafasi ya Ulinzi ( Mabeki ). Na ndio maana haishangazi takribani miaka 40 iliyopita ni Fabio Cannavaro ndio beki pekee kuwahi kushinda tuzo ya mwanasoka bora wa Dunia.
Katika idara ya ulinzi, kuna mabeki mahiri wamewahi kucheza katika nafasi hiyo. Kuanzia nafasi za mabeki wa pembeni mpaka wale wa kati ambao licha ya jukumu lao la kukaba pia husifika katika kupandisha mashambulizi kwa timu zao.
Naamini kuna mabeki wanastahili zaidi sifa kwa uhodari wao kuliko hata washambuliaji tanaowatukuza kila siku, karibuni mtiririke wadau
Katika idara ya ulinzi, kuna mabeki mahiri wamewahi kucheza katika nafasi hiyo. Kuanzia nafasi za mabeki wa pembeni mpaka wale wa kati ambao licha ya jukumu lao la kukaba pia husifika katika kupandisha mashambulizi kwa timu zao.
Naamini kuna mabeki wanastahili zaidi sifa kwa uhodari wao kuliko hata washambuliaji tanaowatukuza kila siku, karibuni mtiririke wadau