Beki Che Malone Fondoh ni mgonjwa, anahitaji matibabu ya haraka

Beki Che Malone Fondoh ni mgonjwa, anahitaji matibabu ya haraka

Halafu wanasema mchezaji yuko fiti kaabisa na ameanza kazi bila shida. Hakuna mtu anapata ajali ya gari lake iliyoumiza ndugu zake na kuua mtu akabaki kuwa fiti. Simba inaongozwa kwa janjajanja.
Hii kitu wasichukulie poa

Breaking News: Baba mzazi wa mtoto yuko kigoma kaomba mwili wa mwanae uende kigoma akauzike
 
Aliyemtibu ni daktari, ripoti take ndio imetumiwa na msemaji wa SIMBA kujua kuwa ni mzima wa afya. Kama hujapata habari toka chanzo rasmi habari yako ni ramli chonganishi haina uhalisia zaidi ya ushabiki maandazi.
Uzima kwake ni kule kutoonekana na jeraha la mwili, lakini jeraha la moyoni halioni. Haya, subirini power dynamo waje, ndiyo tutajua kama yuko fiti kinoma au la.
 
Boda boda Wana matatizo aisee.
Hujakutana na kero zao.
Hawafati sheria,hawaheshimu sheria wala hawajui sheria.
Wenyewe TU hawajihurumii.
Wamesababisha vifo vya watu wengi kwa ajali za kijinga kabisa.
Ila kama umeamua kumtetea kwa sababu yeye ndio kafa na kwa sababu kagongana na mchezaji wa Simba! sawa!
Lakini boda boda sio watu aisee.!
Hata ukigonga kichaa unashitakiwa sembuse bodaboda na akili zake mbovu? Ni kweli boda ni binadamu wa class ya Peke Yao lakini tusubiri Upelelezi wa Polisi utasema. Hata hivyo dereva Hakuwa Che Malone.
 
Kuwa na Afya njema ni zaidi ya kukosa maumivu mwilini, jeraha au kuvunjika mifupa. Mpira unachezwa na mwili pamoja na akili. Mchezaji che Malone amepata ajali ya gari usiku pale maeneo ya Mikocheni jirani na shule ya FEZA. Hata kama mchezaji wetu huyu kisiki Che Malone hakupata majeraha ya mwili kwenye ajali ile lakini amepata majeraha makubwa kwenye akili yake yanayohitaji matibabu ya haraka sana.

Kwavyovyote vile ajali ile ilimshangaza sana (imevuruga akili), imesababisha ndugu zake kuumia (kumevuruga akili), imesababisha gari yake kuharibika (imechanganya akili). Bila shaka Che anafikiria imekuwaje, itakuwaje na kwanini nyingi sana (inavuruga akili yake pia). Kwa wachezaji wa Afrika hasa Afrika Magharibi ni rahisi kuhusisha ajali ile na nguvu za giza (inamchanganya akili yake).

Ni makosa makubwa sana kwa Ahmed Ally kusema mchezaji wetu hakuumia na yuko buheri wa afya. Huwezi kuwa na afya kwa kukosa kuvunjika tu kwenye ajali, bali inawezekana mchezaji akashindwa kucheza kwasababu ya kupata maumivu, michubuko na majeraha ya kwenye akili (psychologically, socially, spiritually and emotionally) kiasi cha kushindwa kutimiza majukumu yake kwa 100%. Hata kama hana jeraha la mwili atakuwa ana jeraha la moyo linalohitaji kutibiwa kwelikweli. Namna ya kulitimu jeraha hili ni kumpatatia muda apunzike atafakari, akutanane na spiritual workers wake, consellors na psychologists wabobezi. Pia apewe kila aina ya support anayodhani itamsaidia ku normalize.
Maelezo mengii..weka vyeti vyako vya udaktari hapa tuvione
 
Kwahiyo TATHMIN inasemaje kuhus huyo BODA? Mwenye kosa ni nani exactly?
 
Screenshot_20230925-204450~2.png
 
Inabidi nyie wanachama na wapenzi mchangue tuweze kumoatia matibabu mazuri mchezaji wetu.

Akaunti namba ya kutuma michango tutawatangazia
 
Hiyo ndiyo itakayomsumbua zaidi. Ahmed Ally anapofurahia hadharani kuwa mchezaji Yuko salama usalimini wakati Kuna mtu amekufa haikai vizuri kijamii
Nafikiri dereva hakufa palepale, ndiomaana wengi walioripoti walilipoti tukio la pale kwenye ajali tu
 
Kuwa na Afya njema ni zaidi ya kukosa maumivu mwilini, jeraha au kuvunjika mifupa. Mpira unachezwa na mwili pamoja na akili. Mchezaji che Malone amepata ajali ya gari usiku pale maeneo ya Mikocheni jirani na shule ya FEZA. Hata kama mchezaji wetu huyu kisiki Che Malone hakupata majeraha ya mwili kwenye ajali ile lakini amepata majeraha makubwa kwenye akili yake yanayohitaji matibabu ya haraka sana.

Kwavyovyote vile ajali ile ilimshangaza sana (imevuruga akili), imesababisha ndugu zake kuumia (kumevuruga akili), imesababisha gari yake kuharibika (imechanganya akili). Bila shaka Che anafikiria imekuwaje, itakuwaje na kwanini nyingi sana (inavuruga akili yake pia). Kwa wachezaji wa Afrika hasa Afrika Magharibi ni rahisi kuhusisha ajali ile na nguvu za giza (inamchanganya akili yake).

Ni makosa makubwa sana kwa Ahmed Ally kusema mchezaji wetu hakuumia na yuko buheri wa afya. Huwezi kuwa na afya kwa kukosa kuvunjika tu kwenye ajali, bali inawezekana mchezaji akashindwa kucheza kwasababu ya kupata maumivu, michubuko na majeraha ya kwenye akili (psychologically, socially, spiritually and emotionally) kiasi cha kushindwa kutimiza majukumu yake kwa 100%. Hata kama hana jeraha la mwili atakuwa ana jeraha la moyo linalohitaji kutibiwa kwelikweli. Namna ya kulitimu jeraha hili ni kumpatatia muda apunzike atafakari, akutanane na spiritual workers wake, consellors na psychologists wabobezi. Pia apewe kila aina ya support anayodhani itamsaidia ku normalize.
Sasa huyo ahmed ally ni mzima unamuona yeye roporopo tu hatumii akili kudiscus mambo ya kuongea
 
Bongo hakunaga hizo mambo sijui akili imechanganyikiwa...

Matatizo tuliyonayo tu, yashatukomaza kuona tuvitu kama ajali ni mipango ya Mungu 😊
 
Simba wawe makini kuna kirusi kinapiga wachezaji misumari..ndani au nje ya timu.
 
Nafikiri dereva hakufa palepale, ndiomaana wengi walioripoti walilipoti tukio la pale kwenye ajali tu
watu wengi hasa simba walijali hali ya mchezaji tu basi! Yaani ni sawa na mtu anaesema kwenye ajali wamekufa watu 5 na mmasai mmoja.
 
Simba wawe makini kuna kirusi kinapiga wachezaji misumari..ndani au nje ya timu.
Mangunge, Shabalale, na Bocce ni wachawi a kutupwa. Kennede nae kapewa kang'amuzi cha kutegua balaa la kusugua benchi.
 
Back
Top Bottom