Beki Che Malone Fondoh ni mgonjwa, anahitaji matibabu ya haraka

Beki Che Malone Fondoh ni mgonjwa, anahitaji matibabu ya haraka

Kwa kuamini hivyo wewe pia ni mshirikina tu
Niite mbwa kama naropoka. Safari ya Onana, Phili, Che, Kramo, Okra, Kanoute na Inonga ndo hapohapo ilipo sasa kama hutaondoa miru, balale, cco, shomeli, na nnedy. Ona huyo balale, mtu gani haumii, hapati malaria wala msiba na kukosa mechi hata moja wenzake nao wacheze?
 
Back
Top Bottom