Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Mtu aendesha gari amelrwa anapata ajali wewe unasaa ni vita??? Wafrica tumerogwa?Kama ni kweli,hii sasa hii ni vita.
Utopolo mna project mbaya sana,ila mtakwama tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu aendesha gari amelrwa anapata ajali wewe unasaa ni vita??? Wafrica tumerogwa?Kama ni kweli,hii sasa hii ni vita.
Utopolo mna project mbaya sana,ila mtakwama tu
Ona hii kengeKama ni kweli,hii sasa hii ni vita.
Utopolo mna project mbaya sana,ila mtakwama tu
Ulijibiwa? Nakushauri Fika pale Haile selasie Road ,Puma petrol station, opp ya Hotel penisula kuna ofc za Simba Sc
Halafu wanadanganya alikua anatoka airportMtu aendesha gari amelrwa anapata ajali wewe unasaa ni vita??? Wafrica tumerogwa?
Huyo mpumbavu Hana akiliYanga ndio waliowatuma waendeshe gari huku wakijirekodi??, MBUMBUMBU
Nilijua tu watu wenye mawazo ya kimangungu hamtakosa. Bado Mangungu naye atatokea mbele ya kamera soon na ngonjera z aina ykoKama ni kweli,hii sasa hii ni vita.
Utopolo mna project mbaya sana,ila mtakwama tu
Sio kweli kwamba akiumia Inonga na Malone kunakuwa hakuna mabeki sema kunakuwa na mabeki ambao hawaaminiwi. Kenedy , Mwenda , Duchu, na mwingine nimemsahau wote hao ni mabeki ambao hawapewi nafasi hivyo kuonekana sio mbadala wa akina Inonga. Kwa hiyo suala sio idadi bali ni wachezaji wengine kutotumika kwa kipindi kirefu.
Kuna watu huwa mnajipa umuhimu àmbao hamna kabisa.Anatoa taarifa kama nani??yeye ni msemaji wa Simba?
Mtu anakunywa konyagi (faru John) zake huko ila akipata ajali kutokana na ulevi inalaumiwa YangaTate Mkuu Dr Matola PhD Labani og kwisha mtatuulia wachezaji wetu.
Mshana Jr awa jamaa wa Uto awana jema na wachezaji wetu.
Kama ni kweli,hii sasa hii ni vita.
Utopolo mna project mbaya sana,ila mtakwama tu
Lisemwalo lipo, usipinge pinge tu, Uto waliianza hiyo project msimu uliopita.Yaani mtu atoke club kula bata akutane na dereva mlevi ,usingizie Utopolo?
Mkuu hiyo ajali naijua ,maana inatokea mie niko lindoLisemwalo lipo, usipinge pinge tu, Uto waliianza hiyo project msimu uliopita.
Mangungu atasema ni kampeniNimepata taarifa beki wetu kisiki kapata ajali maeneo ya Mikocheni, alipokwenda kumpokea ndugu yake usiku wa kuamkia leo, Septemba 24 ambaye amekuja kumtembelea.
Sikusudii kuleta taharuki isipokuwa nimewasikia watu wakisema katika daladala, pole ukuta wa Yericko kama ni kweli.
View attachment 2760548
UPDATE
Taarifa za awali zinadai hakuumia wala kupata majeraha, lakini abiria mmoja aliyekuwa pamoja nae ndie aliumia. Hata hivyo, amepatiwa matibabu na kuruhusiwa kuondoka hospitalini asubuhi hii.