Beki wa Simba SC, Che Malone apata ajali ya gari Mikocheni karibu na Feza School

Kama ni kweli,hii sasa hii ni vita.
Utopolo mna project mbaya sana,ila mtakwama tu
Nilijua tu watu wenye mawazo ya kimangungu hamtakosa. Bado Mangungu naye atatokea mbele ya kamera soon na ngonjera z aina yko
 
Dereva wa boda boda aliyopata ajali kwa kugongana na gari ya Che Malone, anazikwa kesho maeneo ya Kawe ,,kwa Rondo
 
Mangungu atasema ni kampeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…