Beki wa Yanga Hassan Kessy Kuburuzwa Mahakamani na Simba SC!

Manara hadi leo analalamika Ngoma allimpiga kiwiko beki wa Simba,ni aibu hizi klabu kuongozwa na watu wa aina hii
 
Hata Simba walifanya makosa pia

1.Mkataba uliopita Simba hawakukamilisha vipengele vya kwenye mkataba

2.Simba hawakumtaka Kessy wanataka kumkomoa na hii sio kesi ya kwanza Yondani,Twite,Singano zote walishindwa
 

Hoja yangu haiko kwenye kiwango cha fidia. Ni TFF kuiachia hii issue hadi hivi leo. Ingemalizwa tu mapema mwenye kupata apate na mwenye kukosa aendelee na maisha mengine
 
akili yako haina uwezo wa kupambanua mambo usidhani ishu ya kesi iko kama unavyofikiria,manara na wenzake ndo wana mambo ya kitoto,haya mambo yameeanza kitambo sio kwa kesi tu,hizo ni figisu za mikia.

Ndio unapaswa kuonyesha hicho unachokiita"ukomavu" wa akili yako kwa kupambanua hoja husika badala ya kuangalia mtoa hoja ana rangi gani. Naamini umejifunza.
0
 
Hivi hili swala la kesy pia tunahitaji fedha za kigeni kulimaliza? Au tunahitaji msaada wa wamarekani na wachina?
 
Kwa mambo haya tunastahili hili....

TANZANIA FIFA ranking
Current
124 1 (11 August 2016)
Highest 65 (February 1995)
Lowest 175 (October 2005)
 
Hukumu ya hii maneno si ni leo?
 
Ukiona mtu anakimbilia Court ujue ni kweli ila anajihami!
 
Mbona mnalialia sana? kwani mmejipangaje?
 
nasikia tff imehairisha hukumu ya hii shauri la kessy adi mwisho wa mwezi!
 
Vipi wanajamvi naomba kujua huku ya kessy imefikia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…