Dexta
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 2,096
- 5,211
Unachokisema kinawezekana pia, ingawa huko mbele habari ikiwa trending, asilimia 80 huwa inakuwa na ukweli ndani yake.Akili tu mtu wangu
Kutangaza umefilisika napo ni ujanja uko mamtoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachokisema kinawezekana pia, ingawa huko mbele habari ikiwa trending, asilimia 80 huwa inakuwa na ukweli ndani yake.Akili tu mtu wangu
Kutangaza umefilisika napo ni ujanja uko mamtoni
halafu nahisi ndio beki aliyeongoza kucheza UEFA nyingi Manchester,halafu ni beki aliyeongoza kujifunga magoli mengi pale Manchester aiseee those days 👋👋👋Wes Brown alikuwa ni moja ya mabeki visiki pale Man U enzi zile. Mplole, mkimya, asiye na mambo mengi uwanjani!! Naamini huyo mwanamke aliyekuwa naye, atakuwa amechangia pakubwa sana kumrudisha nyuma huyu mwamba.
Na mimi ndio nilikuwa nawaza hivyo, kwamba, kipindi mtu analipwa pesa nyingi, je, anakuwa amewekeza kwenye nini? Maisha ya mpira ni mafupi sana.Chanzo kikubwa cha kufilisika kwa hao mamilionea ni KAMARI,WANAWAKE (ambao hupelekea kuvunjika kwa ndoa zao) na ULEVI.
Wengi wakistaafu soka huwa hawajui hata waanzishe biashara gani, hivyo viinua mgongo vyao huvitumia katika starehe, ulevi wa pombe/madawa, wanawake na kucheza kamari (sio hizi za jero jero bali ni maelfu ya dollar na pounds)
NAKAZIAKATAA NDOA
NDOA NI UTAPEL
MWANAUME SIO KIKOBA
MWANAUME SIO KAZI ZA WANAWAKE
USIWE KOLO
USIWE NYUMBU
WW SIO SWALA
NDOA NI KWAAJILI YA WAJINGA
KATAA NDOA KWANGUVU ZOTE
NDOA ZILIKUA ZAMAN
SASA HV KUVZIANA TU
KATAA KUWINDWA KAMA SWALA
Hahahaha!NAKAZIA
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPEL
MWANAUME SIO KIKOBA
MWANAUME SIO KAZI ZA WANAWAKE
USIWE KOLO
USIWE NYUMBU
WW SIO SWALA
NDOA NI KWAAJILI YA WAJINGA
KATAA NDOA KWANGUVU ZOTE
NDOA ZILIKUA ZAMAN
SASA HV KUVZIANA TU
KATAA KUWINDWA KAMA SWALA
Unadhalilisha uislamu weweee.
Hapa ndo nnapopata nguvu ya kuongeza mapambano ya #KATAANDOA.Brown (43) ambaye alikuwa analipwa mshahara wa Pauni 50,000 (Tsh. Milioni 145) kwa wiki ametangaza hali hiyo Mahakama Kuu ikiwa ni mwaka mmoja tangu kuvunjika kwa ndoa yake.
Nyota huyo aliyedumu United kwa miaka 15, na kucheza mechi 23 za timu ya Taifa ya England aliondoka katika nyumba aliyokuwa akiishi na mkewe, Leanne (46) na watoto wao watatu.
#################
Ex-England and Man United Treble winner Wes Brown, 43, is declared BANKRUPT - despite raking in £50,000 per week while playing - just a year on from 'secret split' from his wife
Former England and Manchester United footballer Wes Brown has been declared bankrupt at the High Court.
HMRC filed a bankruptcy petition against Brown, who reportedly earned £50,000-a-week during his playing days at Old Trafford, on February 27.
The petition was rubber-stamped at the High Court on April 12 and listed on The Gazette, the official public record.
Defender Brown, 43, was in United's first team for 15 years having come through the Old Trafford club's academy ranks.
He made 362 appearances for the club, winning five Premier League titles, two FA Cup, two League Cups and two Champions Leagues during an illustrious career.
Brown was capped 23 times for England and also played for Sunderland and Blackburn Rovers after he left United in 2011.
Last year it was reported Brown split from his wife Leanne, 46, who appeared in the reality TV show Real Housewives of Cheshire. They married in 2009 and had three daughters together.
Wes reportedly moved out of the home he shared with Leanne and their children Halle, Lilia, and Lola.
A source told The Sun at the time: 'Wes and Leanne split before Christmas [2021]. There were no third parties involved; it is just a sad fact that their marriage has run its course.
'Leanne has flourished in single life and has removed her wedding ring. She has told people she feels free and is working hard on her businesses and flourishing as an independent woman.
'Wes meanwhile is carrying on as best he can. There have been rumours of trouble in their marriage for a while but they put a brave face on publicly.'
The source added the former couple are doing their best to co-parent their children and live separate lives.
In 2016, the couple slashed the asking price for their previous home, a mansion in Prestbury, Cheshire, to £2.4million after it had gone onto the market six years earlier for £4.5m.
Leanne said in 2019: 'Yes we've got a lovely life and all this money and I'm not saying the money isn't great but when you're in it you're living in this bubble. Although the fans can be amazing they can also be very cruel.
'It must be hard [for footballers] to deal with to be on top one minute and hated the next for a bad kick or missing the goal.
'We are the ones that are left to pick up the pieces and bear the brunt of whatever is left at the end of their careers.
'Sometimes it's hard being alone a lot. The lads are away a lot, especially if involved in a high-profile club and England international, too.'
Source: DailyMail
Kivip?Unadhalilisha uislamu weweee.
Huyu akifilisika man u fans wote watafurahiView attachment 2594795
Bado huyu