Beki wa zamani wa Man United, Wes Brown afilisika

Beki wa zamani wa Man United, Wes Brown afilisika

Chanzo kikubwa cha kufilisika kwa hao mamilionea ni KAMARI,WANAWAKE (ambao hupelekea kuvunjika kwa ndoa zao) na ULEVI.

Wengi wakistaafu soka huwa hawajui hata waanzishe biashara gani, hivyo viinua mgongo vyao huvitumia katika starehe, ulevi wa pombe/madawa, wanawake na kucheza kamari (sio hizi za jero jero bali ni maelfu ya dollar na pounds)
 
Sheria za wazungu zinawalinda sana wanawake, ukithubutu kuchepuka tu na malaya nje ya ndoa yako na mkeo akajua ujue ndoa huna, atadai talaka na mahakama itazigawa mali zako zote na bado utatakiwa utoe child support kwa watoto wako.
 
Wes Brown alikuwa ni moja ya mabeki visiki pale Man U enzi zile. Mplole, mkimya, asiye na mambo mengi uwanjani!! Naamini huyo mwanamke aliyekuwa naye, atakuwa amechangia pakubwa sana kumrudisha nyuma huyu mwamba.
halafu nahisi ndio beki aliyeongoza kucheza UEFA nyingi Manchester,halafu ni beki aliyeongoza kujifunga magoli mengi pale Manchester aiseee those days 👋👋👋
 
Chanzo kikubwa cha kufilisika kwa hao mamilionea ni KAMARI,WANAWAKE (ambao hupelekea kuvunjika kwa ndoa zao) na ULEVI.

Wengi wakistaafu soka huwa hawajui hata waanzishe biashara gani, hivyo viinua mgongo vyao huvitumia katika starehe, ulevi wa pombe/madawa, wanawake na kucheza kamari (sio hizi za jero jero bali ni maelfu ya dollar na pounds)
Na mimi ndio nilikuwa nawaza hivyo, kwamba, kipindi mtu analipwa pesa nyingi, je, anakuwa amewekeza kwenye nini? Maisha ya mpira ni mafupi sana.
 
ndoa ni utapel
 

Attachments

  • 1682097027925.jpg
    1682097027925.jpg
    61.6 KB · Views: 5
Wale mnaoamini katika kuwashirikisha wake zenu mambo yenu yote (hasa ya mali/fedha) endeleeni tu. Sisi tuliokataa huo uzwazwa si mnatuona tumepitwa na wakati?

Endeleeni maana hamuwajui vyema hawa viumbe na wala hamjajifunza ya Samson na Delila.
 
Tukiwaambia KATAA NDOA Mnatuita sisi ni Mashoga haya subirini na Nyie Wa humu JF yawakute ndo mtajua Kwanin Ng'ombe Haiingii Period.
 
Brown (43) ambaye alikuwa analipwa mshahara wa Pauni 50,000 (Tsh. Milioni 145) kwa wiki ametangaza hali hiyo Mahakama Kuu ikiwa ni mwaka mmoja tangu kuvunjika kwa ndoa yake.

Nyota huyo aliyedumu United kwa miaka 15, na kucheza mechi 23 za timu ya Taifa ya England aliondoka katika nyumba aliyokuwa akiishi na mkewe, Leanne (46) na watoto wao watatu.

#################

Ex-England and Man United Treble winner Wes Brown, 43, is declared BANKRUPT - despite raking in £50,000 per week while playing - just a year on from 'secret split' from his wife

Former England and Manchester United footballer Wes Brown has been declared bankrupt at the High Court.

HMRC filed a bankruptcy petition against Brown, who reportedly earned £50,000-a-week during his playing days at Old Trafford, on February 27.

The petition was rubber-stamped at the High Court on April 12 and listed on The Gazette, the official public record.

Defender Brown, 43, was in United's first team for 15 years having come through the Old Trafford club's academy ranks.
He made 362 appearances for the club, winning five Premier League titles, two FA Cup, two League Cups and two Champions Leagues during an illustrious career.

Brown was capped 23 times for England and also played for Sunderland and Blackburn Rovers after he left United in 2011.

Last year it was reported Brown split from his wife Leanne, 46, who appeared in the reality TV show Real Housewives of Cheshire. They married in 2009 and had three daughters together.

Wes reportedly moved out of the home he shared with Leanne and their children Halle, Lilia, and Lola.

A source told The Sun at the time: 'Wes and Leanne split before Christmas [2021]. There were no third parties involved; it is just a sad fact that their marriage has run its course.

'Leanne has flourished in single life and has removed her wedding ring. She has told people she feels free and is working hard on her businesses and flourishing as an independent woman.

'Wes meanwhile is carrying on as best he can. There have been rumours of trouble in their marriage for a while but they put a brave face on publicly.'

The source added the former couple are doing their best to co-parent their children and live separate lives.

In 2016, the couple slashed the asking price for their previous home, a mansion in Prestbury, Cheshire, to £2.4million after it had gone onto the market six years earlier for £4.5m.

Leanne said in 2019: 'Yes we've got a lovely life and all this money and I'm not saying the money isn't great but when you're in it you're living in this bubble. Although the fans can be amazing they can also be very cruel.

'It must be hard [for footballers] to deal with to be on top one minute and hated the next for a bad kick or missing the goal.

'We are the ones that are left to pick up the pieces and bear the brunt of whatever is left at the end of their careers.
'Sometimes it's hard being alone a lot. The lads are away a lot, especially if involved in a high-profile club and England international, too.'

Source: DailyMail
Hapa ndo nnapopata nguvu ya kuongeza mapambano ya #KATAANDOA.
NDOA NI UTAPELI.
NDOA NI KWAAJILI YA WANAWAKE NA WANAUME WAJINGA.
#TOKOMEZANDOA
#KATAANDOA

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom