.".....Mimi Deadbody nikiwa na akili timamu na afya pia natangaza hadharani bila kuficha chochote kuwa iwapo kombe lisipochukuliwa na Belgium au France nipigwe ban ya maisha kutumia JF na kifungo cha miaka kadhaa gerezani Kwa kosa la kutumia vibaya mtandao Kwa kuwadanganya watu."
Ombi lako limepokelewa na tutalifanyia kazi...LIFE BAN itahusika endapo belgium haitatwaa kombe, asante na karibu tena JF..tuonane 2018
Unaposema Belgium na France wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa World Cup, ni vyema ungetoa sababu ili tujadili kwa mujibu wa sababu ulizotoa kama kuna ukweli. Tofauti na hapo unaacha maswali mengi......Humpendi Messi?....Umechoka kumsikia Messi?....oohhhh kwa sababu ya Lukaku??.....??.......??🙁
Ujerumani when i comes to serious business, they know which buttons to press.German Argentina Brazil Spain hizo naona lazima moja ingie fainali au mbili