PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
Unaposema Belgium na France wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa World Cup, ni vyema ungetoa sababu ili tujadili kwa mujibu wa sababu ulizotoa kama kuna ukweli. Tofauti na hapo unaacha maswali mengi......Humpendi Messi?....Umechoka kumsikia Messi?....oohhhh kwa sababu ya Lukaku??.....??.......??🙁