Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Huo ni utabiri au mfano?
 
hayatadumu;yataondolewa na nini?
 
nyie wak
na huyo aliyeshushiwa Quran amekufa akiwa hajui kusoma wala kuandika!
nyie wakristu tunawatambua zamani kua hamumpendi our prophet so pilipili ya shamba yawawashia nini,hii mada haijazungumziwa mambo ya udini humu ni mawazo ya kichwani na review za vitabu
 
Tuliona tulichokiona na tuliona marekani ilivyohamanika na tukio lile. Kwa wale ambao wanapenda hadithi za kubuni waendelee tu.
 
Sept. 11 inamkanganyiko mwingi sana, inawezekana kabisa ni mchezo ulichezwa na wamarekani wenyewe..ila ukijiuliza wafanye hivyo wenyewe ili iweje ndo majibu hupati
Ili wapate justification ya kuvamia nchi za watu
 
Kwenye miti hakuna wajenzi una lingine ewe myahudi wa Tanzania?
 
macho yaliona bahati mbaya sana kuona sio kusikia. labda ndege ya kwanza. Pili niiiona ikigonga jengo live haikuwa ya jeshi!
 
Huyo Osama mwenyewe ni zao la Wamarekani
 
Jambo nililojifunza. Dunia ya leo kuna nguvu kubwa ya "distortion of information". Jambo hili lingekua limetokea zama za akina Yesu tungekua na vitabu vingi a maelezo yanayopingana lakini ni juzi 2001. Leo 2018 stori zinakua mpya.
 
Tuliona tulichokiona na tuliona marekani ilivyohamanika na tukio lile. Kwa wale ambao wanapenda hadithi za kubuni waendelee tu.
Wakati tukio hilo linatokea [thanks to TV] kuna amateur photographers pamoja na mashirika kama CNN/CBS/BBC yalionyesha tukio hilo na dunia nzima ilishuhudia hili. Wakati balozi za marekani nchini kenya na tanzania zilivyolipuliwa ilikuwa ni hivyo hivyo. Watuhumiwa hao walikiri kuwa sehemu ya kikundi cha Alqaida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…