Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Peleka khutba yako huko msikitini ukazawadiwe takbir, humu watu hawakariri wanatafakari...ona ulivyo jaza mistari hata maudhui yake hujui [emoji15] [emoji13] nikikuuliza Mungu alisahau nini haswa hadi amtume muhammad mtoto wa abd allah atufumdishe...[emoji47] [emoji348] kama kukamuana ngama au kupulizwa mvutu masgidi na shetani...tuweke wazi..
Sasa Nimegundua KUWA najadiliana na MTU ambaye hajielewi!! Mi sipo kimabishano nikupa hoja na reference, we we unaleta kauli zako za mtaani!! Bas tufanye Umeshinda mkuu
 
allah na muhammad wamemwambia Yesu ni kafir [emoji35] ref suratul tawba:30 au hiyo ndio kwa mujibu wa tafsiri ya uisilamu, ni uzuri huo [emoji15] [emoji47] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji12]

ACHA KUPOTOSHA WATU, 9:30 QUR'AN INASEMA HIVI

"NA MAYAHUDI WANASEMA "UZERI MWANA WA MUNGU" NA WAKRISTO WANASEMA "MASIHI NI MWANA WA MUNGU" HAYA NDIYO WASEMAYO KWA VIBYWA VYAO (PASINA KUYAPIMA) WANAYAIGA MANENO YA WALE WALIO KUFURU KABLA YAO, MWENYEZI MUNGU AWAANGAMIZE. WANAGEUZWA NAMNA GANI HAWA!

HAYA TUONYESHE WAPI YESU AMEITWA KAFIRI??

Acha kupoteza watu KWA uelewa wako mdogo!!

6:120 quran Imeandikwa

"......NA HAKIKA WENGI WANAO POTEZA (WENGINE) KWA MATAMANIO YAO BILA KUWA NA ILIMU. BILASHAKA MOLA WAKO ANAWAJUA VYEMA WALE WARUKAO MIPAKA.
 
Kumbuka hyo hyo bible inasema MTU atundikwaye msalabani BA's amelaaniwa!!

Nanyi mnadai YESU Ali tungikwa msalaban? Swali JE yesu Nate amelaaniwa? Nani kamlaani ikiwa naye NI MUNGU? Kajilaani? Jibu kiufasaha
jibu [emoji117] Mungu alisahau mini hadi Amtume muham mad[emoji47] [emoji348] [emoji348] [emoji35] unauliza maswali ya uzwazwa ninini [emoji53] wazimu wa kuuliza maswali...[emoji351] [emoji351] [emoji13] [emoji12] hiyo in athari ya kukariri karaa hadi umekuwa teja sasa [emoji53] tutafakari Tora inasemaje hukumu ili aliye tundikwa mtini awe amelaaniwa [emoji117] kwanza atende kosa ambalo hukumu yake ni kifo...pili ahukumiwe..tatu, apatikane na hatia..nne, auliwe, tano, mwili wake utundikwe mtini..[emoji118] [emoji117] jee Tora ilitimizwa ktk hukumu ya Yesu [emoji47] [emoji351] [emoji117] Yesu alikosa nini [emoji47] jee alipatikana na hatia [emoji47] aliuliwa kisha ndio mwili wake ukatundikwa mtini [emoji47] nijibu hapo kwa kuanzia ili nikulishe ubongo na hashua za mbuzi Katoliki..[emoji15] [emoji53]
 
Sasa Nimegundua KUWA najadiliana na MTU ambaye hajielewi!! Mi sipo kimabishano nikupa hoja na reference, we we unaleta kauli zako za mtaani!! Bas tufanye Umeshinda mkuu
Mungu anatupenda sie wa mitaani huku uswazi [emoji106] ndio sababu sisi tunao onekana dhaifu na nyinyi wa msasani Ametuinua ili nyinyi mnao jiona machoni penu wajanja muonekane ni mazwazwa...[emoji13] [emoji13] [emoji12]
 
Mimi kitu kinaitwa politics sikiamini ata siku moja!!! Politicians wapo radhi waue maelfu ya watu ili kupata wanachotaka.
 
Peleka khutba yako huko msikitini ukazawadiwe takbir, humu watu hawakariri wanatafakari...ona ulivyo jaza mistari hata maudhui yake hujui [emoji15] [emoji13] nikikuuliza Mungu alisahau nini haswa hadi amtume muhammad mtoto wa abd allah atufumdishe...[emoji47] [emoji348] kama kukamuana ngama au kupulizwa mvutu masgidi na shetani...tuweke wazi..
Mungu alisahau nini mpaka akamleta Yesu?
 
Mungu alisahau nini mpaka akamleta Yesu?
Ndio sababu sisi Wakristo Tunaamini Yesu ni Mungu..[emoji123] [emoji106] kumbe cholo hukujua hiyo ndio sababu mojawapo [emoji348] [emoji348]
 
allah na muhammad wamemwambia Yesu ni kafir [emoji35] ref suratul tawba:30 au hiyo ndio kwa mujibu wa tafsiri ya uisilamu, ni uzuri huo [emoji15] [emoji47] [emoji15] [emoji13] [emoji13] [emoji12]
Wapi katika aya hii katajwa Yesu kuwa kafiri,hapa aya inawataja wale wanawaita Uzeri kwa mayahudi kuwa ni mwana wa Mungu.Na manaswara wanaosema Yesu ni mwana wa Mungu.
Wayahudi wasema Uzeri mwna wa Mungu,na manaswara wanasema Yesu mwana wa Mungu.Sasa mtoto wa Mungu ni yupi kati ya hawa wawili.
 
Ndio sababu sisi Wakristo Tunaamini Yesu ni Mungu..[emoji123] [emoji106] kumbe cholo hukujua hiyo ndio sababu mojawapo [emoji348] [emoji348]
Kwa huyo mugu Yesu alisahau nini mpaka akaja duniani?
 
Sept. 11 inamkanganyiko mwingi sana, inawezekana kabisa ni mchezo ulichezwa na wamarekani wenyewe..ila ukijiuliza wafanye hivyo wenyewe ili iweje ndo majibu hupati
--------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------
Tafuta Documentary Movie Ya Michael Moore Inaitwa Fahrenheit 9/11 ya mwaka 2004 itakuonyesha waamerica (some) wanaweza fanya jambo la hatari just kwa manufaa binafsi e.t.c !!!!
 
ACHA KUPOTOSHA WATU, 9:30 QUR'AN INASEMA HIVI

"NA MAYAHUDI WANASEMA "UZERI MWANA WA MUNGU" NA WAKRISTO WANASEMA "MASIHI NI MWANA WA MUNGU" HAYA NDIYO WASEMAYO KWA VIBYWA VYAO (PASINA KUYAPIMA) WANAYAIGA MANENO YA WALE WALIO KUFURU KABLA YAO, MWENYEZI MUNGU AWAANGAMIZE. WANAGEUZWA NAMNA GANI HAWA!

HAYA TUONYESHE WAPI YESU AMEITWA KAFIRI??

Acha kupoteza watu KWA uelewa wako mdogo!!

6:120 quran Imeandikwa

"......NA HAKIKA WENGI WANAO POTEZA (WENGINE) KWA MATAMANIO YAO BILA KUWA NA ILIMU. BILASHAKA MOLA WAKO ANAWAJUA VYEMA WALE WARUKAO MIPAKA.
Mgeni umeelewa?
 
Huyo ni Prof kwa zwazwa kama wewe kumuelewa ni kazi ref; 2Pet3:16


Tafadhali rejea kwenye Uzi husika kama una hamu karibu jukwaa la deen/Imani[emoji120]
Prof WA kupindisha ukweli?? Anayenena neno LA MUNGU KWA upumbavu WA kujisifu??
 
Ndio sababu sisi Wakristo Tunaamini Yesu ni Mungu..[emoji123] [emoji106] kumbe cholo hukujua hiyo ndio sababu mojawapo [emoji348] [emoji348]
Usiamini kitu bila vigezo NDUGU!!

Ili YESU awe MUNGU, alitakiwa awe na sifa hizi

1) ASIONEKANE:
2) ASIFE

KAMA TUNAVYO ELEZWA KTK 1 TIMOTHEYO 6:16

"AMBAYE YEYE PEKEYAKE HAPATIKANI NA MAUTI,AMEKAA KTK NURU ISIYOWEZA KUONEKANA, WALA HAKUNA MWANADAMU ALIYE MWONA WALA AWEZAYE KUMWONA, HESHIMA NA UWEZA VINA YEYE HATA MILELE AMINA".

PIA QUR 6:102-103

"HUYO NDIYE MWENYEZI MUNGU MOLA WENU, HAKUNA ANAYE ABUDIWA KWA HAKI ILA YEYE, MUUMBA WA KILA KITU. KWA HIVYO MUABUDUNI YEYE (TU) NAYE NI MLINZI WA KILA KITU

103) MACHO HAYA MFIKII (KUMWONA) BALI YEYE ANAYAFIKIA MACHO (KUYAONA NA KUWAONA HAO WENYE MACHO). NAYE NI MWENYE KUJUA YALIYO FICHIKANA NA YALIYO DHAHIRI"

ENDELEA NA HAPA

3) MUNGU SI MTU: 23:19 HESABU
"MUNGU SI MTU ASEME UONGO, WALA SI MWANADAMU ABADILI NIA YAKE! JE ATAAHIDI KITU NA ASIKIFANYA, AU KUSEMA KITU ASIKITIMIZE?

4) MUNGU HAJULIKANI 36:26 AYUBU

"TAZAMA MUNGU NI MKUU NASI HATUMJUI, HESABU YA MIAKA YAKE HAITAFUTIKI"

5) MUNGU HABADILKI KAMA MNAVYO DAI KUWA ALIJIVALISHA UMBO LA KIBINADAMU AKAJA DUNIANI!! AU MUNGU BABA, MWANA NA ROHO MTKTFU, HAPANA!!

1:17 YAKOBO
"KILA KIPAJI CHEMA NA KILA ZAWAD KAMULIFU HUTOKA MBINGUNI, HUTOKA KWA BABA MUUMBA WA MIANGA AMBAYE HABADILIKI WALA HANA ALAMA YOYOTE YA UGEUGEU"

KWA MUJIBU WA MAELEZO YESU ALIJIBADILI AKAVAA UMBO LA KIBNADAMU, HVYO YUKO NJE YA HCHO KIGEZO

YESU NI MTUME TU.

YEREMIA 1:4-5 "MWENYEZI MUNGU ALINAMBIA NENO LAKE: KABLA HUJACHUKULIWA MIMBA MIMI NILIKUJUA, KABLA HUJAZALIWA MIMI NILIKUWEKA WAKFU, NULIKUTEUA UWE NABII KWA MATAIFA."

REJEA QUR'AN 5:75

"MASIHI BIN MARYAMU SI CHOCHOTE BALI NI MTUME (TU). NA BILA SHAKA MITUME WENGI WAMEPITA KABLA YAKE (HAWAJAONA?)

NA MAMA YAKE NI MWANAMKE MKWELI (NA) WOTE WAWILI WALIKUWA WANAKULA CHAKULA NA (WAKENDA CHOO. BASI WAUNGU GANI WANAO KULA NA KWENDA CHOO?) TAZAMA JINSI TUNAVYO WABAINISHIA AYA, KISHA TAZAMA JINSI WANAVYO GEUZWA (KUACHA HAKI)

HII NI SHORT AND CLEAR WALA HAIHITAJI MZUNGU KUKUELEWESHA ZAIDI HVYO TAMBUA KUWA KAMA YESU HANA HIZO SIFA ZA HAPO JUU, BASI HAWEZI KUWA MUNGU,

LABDA NAWE UTOE VIGEZO VYA KWANINI YESU AWE MUNGU!!
 
Wapi katika aya hii katajwa Yesu kuwa kafiri,hapa aya inawataja wale wanawaita Uzeri kwa mayahudi kuwa ni mwana wa Mungu.Na manaswara wanaosema Yesu ni mwana wa Mungu.
Wayahudi wasema Uzeri mwna wa Mungu,na manaswara wanasema Yesu mwana wa Mungu.Sasa mtoto wa Mungu ni yupi kati ya hawa wawili.

Cholo hiyo ayat umetafakari au umeikariri [emoji47] [emoji12] aya inamalizia kusema hao Wakristo wanawaiga walio kufuru kabla yao...hapo ndipo unatakiwa utafakari kabla ya Wakristo nani waliitakidi kihivyo...À Mungu anasema Yesu ni Mwanangu..À Malaika Gabrieli Ametamka Yesu ni Mwana wa Mungu...À Yesu Anatamka Mungu ni Baba yangu [emoji120] kwa mujibu wa allah na muhammad hao ndio walio kufru/makafir kabla ya Wakristo...dhahir eeh [emoji120]

cholo njooni kule jukwaa LA deen/Imani msichafue Uzi wa mzimu bhana..[emoji15] [emoji53]

Wapi katika aya hii katajwa Yesu kuwa kafiri,hapa aya inawataja wale wanawaita Uzeri kwa mayahudi kuwa ni mwana wa Mungu.Na manaswara wanaosema Yesu ni mwana wa Mungu.
Wayahudi wasema Uzeri mwna wa Mungu,na manaswara wanasema Yesu mwana wa Mungu.Sasa mtoto wa Mungu ni yupi kati ya hawa wawili.

Wapi katika aya hii katajwa Yesu kuwa kafiri,hapa aya inawataja wale wanawaita Uzeri kwa mayahudi kuwa ni mwana wa Mungu.Na manaswara wanaosema Yesu ni mwana wa Mungu.
Wayahudi wasema Uzeri mwna wa Mungu,na manaswara wanasema Yesu mwana wa Mungu.Sasa mtoto wa Mungu ni yupi kati ya hawa wawili.
 
Kwa huyo mugu Yesu alisahau nini mpaka akaja duniani?
Kila aliye mtuma hakutekeleza alicho muagiza [emoji15] Ndipo Kaja Mwenye ktk umbile bora la kibinadamu Kutuokoa..[emoji122] [emoji122] [emoji123]
 
Cholo hiyo ayat umetafakari au umeikariri [emoji47] [emoji12] aya inamalizia kusema hao Wakristo wanawaiga walio kufuru kabla yao...hapo ndipo unatakiwa utafakari kabla ya Wakristo nani waliitakidi kihivyo...À Mungu anasema Yesu ni Mwanangu..À Malaika Gabrieli Ametamka Yesu ni Mwana wa Mungu...À Yesu Anatamka Mungu ni Baba yangu [emoji120] kwa mujibu wa allah na muhammad hao ndio walio kufru/makafir kabla ya Wakristo...dhahir eeh [emoji120]

cholo njooni kule jukwaa LA deen/Imani msichafue Uzi wa mzimu bhana..[emoji15] [emoji53]
Hiyo biblia wewe huisomi vizuri mbona wwngi tu wameitwa wana wa Mungu.
1. Soma Mwanzo 6:1-4
"Wana wa Mungu na binti wa wanadamu"
2. Ayubu 1:6;3:1;38:7.
"Kufunuliwa kwa Wana wa Mungu(To 8:19)
3.Wagalatia 3:26-29:Ninyi nyote mumekuwa Wana wa Mungu.
4. 1 Yohana 3:2:sisi sote ni wana wa Mungu.
Sio Yesu tu kaitwa mwana wa Mungu.
 
Kila aliye mtuma hakutekeleza alicho muagiza [emoji15] Ndipo Kaja Mwenye ktk umbile bora la kibinadamu Kutuokoa..[emoji122] [emoji122] [emoji123]
Kwa hiyo wataka kutuambia,hakujuwa kama atakao waagiza hawatatenda alichowaagiza?Kwa hiyo alikuwa na mapungufu ya kutojuwa litakalotokea baadaye?
Zaburi 239:4,16.
"Maana hamna neno ulimini mwangu,usililojuwa kabisa,Bwana ...siku zilizoamriwa kabla hazijawa bado".
Ni jinsi gani Mungu anaweza kutabiri maelezo kwa kina katika Agano la kale ,kama yeye hajui siku za baadaye.
 
wakuu iko aya katika Quran tukufu inayohusiana na sept 11 attack. labda tujaribu kuichambua.
1.Hii aya inapatikana katika sura ya tisa-Suratul Ahzab ( shambulio nalo lilitokea mwezi wa tisa yaani sept)
2. hii sura inapatikana katika Juzuu au Chapter ya 11. (shambulio nalo lilikuwa tarehe 11)
3. katika aya ya 110 katika sura hiindio kuna aya hiyo (kumbuka majengo yale yalikuwa na ghorofa 110.
4. aya hiyo inasema na mimi nanukuu "hayatodumu majengo yao ambayo wameyajenga kwa shaka ndani ya mioyo yao" (S.A)
NB: WHETHER NI COINCIDENCE AU ILITABIRI SHAMBULIO HILI MUNGU NDIE ANAEJUA.
Duuuhh
 
Back
Top Bottom