Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Kuna mchambuzi mwingine aliweka mpaka video kwa kujazia ushahidi wake na alisema hivi.....muda mchache kabla ya hilo tukio kufanyika rais wa marekani wakati hule george bush alikua kwenye kikao na gafla kuna mtu alikuja kumnong'oneza kuhusu hilo tukio lakini bush aliamua kuendelea na kikao......na dakika chache tukio liliendelea, hivyo kuna kila dalili kuwa ni wamarekani ndio wamehusika.

Maana haiingii akilini hata kodogo marekani kuna aviation authority ambayo inateknolojia ya hali ya juu kwanini wasingetoa taarifa muda tu kuwa kuna ndege imechukua njia sio yake na inaelekea wapi
 
HAKUNA MU IZRAEL HATA MMOJA ALIYEKUFA KATIKA TUKIO LILE
.
Kabla ya tukio Wa izrael wote waliondoka siku moja kabla, means walijua kitakachotokea, Na mmarekani na mu izrael ndo kama unavyowajua
.
 
Use your head now. Angalia hiyo ndege, chini imebeba makombora.



Wasikilize watoa ushuhuda hapo kua ndege Hii ya Pili, Sio ya kimarekani kama ilivyo dhaniwa mwanzo, na haikua na Alama ya shirika lolote la ndege Duniani. Wanasema " It was grey and it looks like a fighter jet."

<font size="4">


asfdgfghfgjhfhj
 
Last edited by a moderator:
wakuu iko aya katika Quran tukufu inayohusiana na sept 11 attack. labda tujaribu kuichambua.
1.Hii aya inapatikana katika sura ya tisa-Suratul Ahzab ( shambulio nalo lilitokea mwezi wa tisa yaani sept)
2. hii sura inapatikana katika Juzuu au Chapter ya 11. (shambulio nalo lilikuwa tarehe 11)
3. katika aya ya 110 katika sura hiindio kuna aya hiyo (kumbuka majengo yale yalikuwa na ghorofa 110.
4. aya hiyo inasema na mimi nanukuu "hayatodumu majengo yao ambayo wameyajenga kwa shaka ndani ya mioyo yao" (S.A)
NB: WHETHER NI COINCIDENCE AU ILITABIRI SHAMBULIO HILI MUNGU NDIE ANAEJUA.

Haya hii ilimaanisha kalenda hii ya kidunia au ile kalenda ya kiislamu? Naomba ufafanuzi hapo mkuu
Mana navyojua miezi ya quran ni ile ya mfungo tatu nk sio hii ya sept
 
Hakuna chochote hapo kuhusiana na Sept 11 terror attack, yule mwenzio kasema kuwa kwenye quran ya rafiki yake kumeainishwa kuanzia ndege(aircraft)ya chuma itagonga majengo marefu na kuyateketeza kabisa tarehe,mwezi Sept 11!! Hii quran yako labda ni tofauti na ile ya rafiki.

Hizo aya hazina ushirikiano kabisa na tukio.
 
wakuu iko aya katika Quran tukufu inayohusiana na sept 11 attack. labda tujaribu kuichambua.
1.Hii aya inapatikana katika sura ya tisa-Suratul Ahzab ( shambulio nalo lilitokea mwezi wa tisa yaani sept)
2. hii sura inapatikana katika Juzuu au Chapter ya 11. (shambulio nalo lilikuwa tarehe 11)
3. katika aya ya 110 katika sura hiindio kuna aya hiyo (kumbuka majengo yale yalikuwa na ghorofa 110.
4. aya hiyo inasema na mimi nanukuu "hayatodumu majengo yao ambayo wameyajenga kwa shaka ndani ya mioyo yao" (S.A)
NB: WHETHER NI COINCIDENCE AU ILITABIRI SHAMBULIO HILI MUNGU NDIE ANAEJUA.

Ndugu yangu Silent lion,hebu ngoja nikusahihishe.Kwanza sura ya tisa SIO Surat Ahzab.Sura ya tisa ni Surat Tawba.Surat Ahzab ni sura ya 33 kwa mujibu wa mpangilio wa msahafu.Pili,Surat Ahzab ina aya 73 tu.Surat Tawba ina aya 129,na hiyo aya ya 110 haijazungumzia hicho unachokusudia,pengine hujaielewa.Anza aya ya 108 mpaka 112 utaelewa kilichokusudiwa hapo.
 
Huo ni mpango uliopangwa kwa ustadi wa hali ya juu na Serikali ya Marekani kupitia taasisi hatari kabisa duniani iitwayo ILLUMINATI au kwa jina lingine FREEMANSORY.Ni genge hatari linaloabudu SHETANI.
Hebu fungua hii; www.forbidden knowledge.com/you will never think the same way again/the revelation.
 
mh,ila uongo ni mwingi zaidi,hasa katika namba zako ambazo unataka tuamini,

ulioyaandika ni kweli kabisa, namba 11 kwa wenzetu illuminant means destruction . kea kifupi saana bila maelezo mengi saana wenzetu walikua wanaaga current order na kukaribisha new world order, sema hii huangaliwa kwa macho mengi hasa ule msemo usemao jiwe moja ndege wawili...hawa ni waisrael billionairs ambao ni akina rockefela ndio eachezaji makubwa wa tuko hili.serikali ya marekani pia iliangalia kua lina athari lakini kina faida, wameleta kisingizio cha ugaidi kupitia hapo,,, wameungiza sheria nyingi zikiwemo kama money loundry na bado kuna mengi ya nakuja mpaka miaka 21 ijayo kupitia tukio hlo
 
Allah nae mbona alikuwa anaishi Mecca na alikili kuwa yeye si Mungu na anamuabudu Mungu wa Mbinguni.... Sisi Tumjuae Mungu yule wa Abraham Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo Yesu alisema yeye ni Mwana wa Mungu kama ilivyotafsiliwa na Binadamu lakini kama Ukisoma Biblia kwa Lugha ya Kiebrania utaelewa alikuwa anamaanisha nini... Yesu kabla ya kukata Roho alimuomba Mungu aipokee roho yake... Huo uzushi uliouandika ni jambo rahisi sana kuandikika....

Hata miaka ya Nyuma tuliambiwa Mtume wenu alizikwa ardhini juu juu nguluwe wakaja wakaufukua mwili ndio maana hamli nyama yake hadi leo.. na mbwa wakaja wakaitafuna mikono yake mkawakataza watu wasifuge mbwa... ni mambo ya utotoni sasa na wewe ongea kama ushakuwa mkubwa

Nilojua unaongea kwa ushahidi kumbe unaropokwa.
 
Back
Top Bottom