Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Believe it or Believe it not: September 11, 2011 Twin tower were hit by Military Plane

Kumbe ana dini .............!!!!!!!!!!!!!!!
Ze Great Eiyer ubuheri? FYI, Dini kwa MwenyEzzi Mungu ni Islam. au tunasema hivi Al-Din 3nda Allah Islam" ... Ninachukuwa fursa hii kukukaribisha katika Uisilam, Imani ya utiifu kwa Allah. Feel free kama una masuali. Kind thanks and take care.
 
Ze Great Eiyer ubuheri? FYI, Dini kwa MwenyEzzi Mungu ni Islam. au tunasema hivi Al-Din 3nda Allah Islam" ... Ninachukuwa fursa hii kukukaribisha katika Uisilam, Imani ya utiifu kwa Allah. Feel free kama una masuali. Kind thanks and take care.

Nijuavyo mimi binadamu ndie anaehitaji dini

Sasa na Mungu tena ana dini..........???????
Ili iweje?
Ili amuombe nani?
 
Nijuavyo mimi binadamu ndie anaehitaji dini

Sasa na Mungu tena ana dini..........??????? Ofcoz Mkuu Mwenyeezei Mungu hupenda mwanaadamu ajisalimishe kwake
Ili iweje? Atii amri zake (Allah)..
Ili amuombe nani?
Mtu humuomba Mwenyeezi Mungu

Karibu tena masuali yako ni muhimu kwako na kwangu:- interesting point zitafika......
Most welcom..
 
Mtu humuomba Mwenyeezi Mungu

Karibu tena masuali yako ni muhimu kwako na kwangu:- interesting point zitafika......
Most welcom..

Nilikuuliza inakuwaje Mungu awe na dini ili iweje,hujanijibu

Nilikuambia binadamu ndio anahitaji dini ili aweze kufika kwa huyo Mungu,sasa Mungu tena anakuwa na dini ili iweje?

Ndio maana lile swali langu la mwisho hapo chini hujalijibu
Nilikuuliza ili amuombe nani?[huyo mungu mwenye dini]
 
[h=2]Believe it or Believe it not. SEPTEMBER 11, 2011 TWIN TOWERS Were hit by Military Plane.[/h]

Not
 
Mtu humuomba Mwenyeezi Mungu

Karibu tena masuali yako ni muhimu kwako na kwangu:- interesting point zitafika......
Most welcom..

Nimefurahi kwa kulitambua hilo... Kuwa Tunamuomba Mungu na Si Allah
 
Nimefurahi kwa kulitambua hilo... Kuwa Tunamuomba Mungu na Si Allah
Nami nikujuze yalo sahihi kwa hao Mungu wapo wengi to lakini "Allah" ni huyo mwenyeezi mungu mmoja tu mwenye power zote uzijuazo na usizozijua.
Lakini muwajuao nyie ni mungu mtu= huwa anakufaga, mungu msalaba huwaga unabalishwa time2time, Wangine wanamugu "Ngombe" (hindus), wengina wana mungu "moto", engine mungu "jua", wengine mungu "Jiwe" wengine wana mungu "mauwa" nk, wengi tu... Sasa yupi wakuabudiwa kikweli? tafakari tuweze kufika pamoja.
 
Ze Great Eiyer ubuheri? FYI, Dini kwa MwenyEzzi Mungu ni Islam. au tunasema hivi Al-Din 3nda Allah Islam" ... Ninachukuwa fursa hii kukukaribisha katika Uisilam, Imani ya utiifu kwa Allah. Feel free kama una masuali. Kind thanks and take care.

Utii, ukiambiwa kauwe wenzako UNATII!...no, thanx!
 
Utii, ukiambiwa kauwe wenzako UNATII!...no, thanx!
Ndugu Cyberteq umzima.. Suali lako zuri .. Jibu:- Laa hashaa.. NO Never kwanza sina haki kumkamia mwenzangu au kumwekea kinyongo !! ukweli Mkuu; utii wangu katika ibadaa na matendo mema...na kukatazana mabaya.. ila makosa ya wengine usinitwishe mimi..kila mmoja atabeba kitabu chake kilichojaa mazuri na maovu yake.
Namshukuru MwenyeEzzi Mungu kuturuzuku Hewa tunayopumua Free.... Kututeremshea Maji Free... Kututandazia udongo ambao tunakanyaga kwenye mgongo wa ardhi Free.... hivo Basic kwatu ni bure bila malipo !! Kwa kila la kheri... karibu tena. Blessings
 
Ila hakika Wamarekani hawatakaa wasahau hii kitu aise!!! Iliwadhalilisha sana maana walijiona kuwa kiulinzi wako imara. Hakika Alikada sijui hakika wana intelligent guys kiasi gani!!! Ni hatari hawa!!!
 
Kingo;
Hiyo ishu White House ya wakati huo na Pentagon walijua mchezo ulivyochezwa na kuuaminisha umma kuwa ni shambulio la kighaidi kutoka kwa Osama Bin Laden, lakini ilikuwa internally created, .... to instill fear.... na theories nyingine, ushahidi upo tu.


Hata mimi huwa naamini hii theory kwamba Osama alipanga ule mpango wa kulipua Twin Towers na vyombo vyote vya usalama vya Marekani vilijua lakini wakaamua kuuchuna ili Neo-cons waweze kutimiza ajenda zao.
 
Nami nikujuze yalo sahihi kwa hao Mungu wapo wengi to lakini "Allah" ni huyo mwenyeezi mungu mmoja tu mwenye power zote uzijuazo na usizozijua.
Lakini muwajuao nyie ni mungu mtu= huwa anakufaga, mungu msalaba huwaga unabalishwa time2time, Wangine wanamugu "Ngombe" (hindus), wengina wana mungu "moto", engine mungu "jua", wengine mungu "Jiwe" wengine wana mungu "mauwa" nk, wengi tu... Sasa yupi wakuabudiwa kikweli? tafakari tuweze kufika pamoja.
Allah nae mbona alikuwa anaishi Mecca na alikili kuwa yeye si Mungu na anamuabudu Mungu wa Mbinguni.... Sisi Tumjuae Mungu yule wa Abraham Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo Yesu alisema yeye ni Mwana wa Mungu kama ilivyotafsiliwa na Binadamu lakini kama Ukisoma Biblia kwa Lugha ya Kiebrania utaelewa alikuwa anamaanisha nini... Yesu kabla ya kukata Roho alimuomba Mungu aipokee roho yake... Huo uzushi uliouandika ni jambo rahisi sana kuandikika....

Hata miaka ya Nyuma tuliambiwa Mtume wenu alizikwa ardhini juu juu nguluwe wakaja wakaufukua mwili ndio maana hamli nyama yake hadi leo.. na mbwa wakaja wakaitafuna mikono yake mkawakataza watu wasifuge mbwa... ni mambo ya utotoni sasa na wewe ongea kama ushakuwa mkubwa
 
ni mpango huo tu, wamarekani wajanja sana.....ndege iliolipua hapo ni airforce si osama wala al qaeda kumbuka pentagon miaka fulani ilipigwa kama twin tower sababu walikuwa na bifu na ujerumani(masalia ya hitler)
 
Allah nae mbona alikuwa anaishi Mecca na alikili kuwa yeye si Mungu na anamuabudu Mungu wa Mbinguni.... Sisi Tumjuae Mungu yule wa Abraham Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo Yesu alisema yeye ni Mwana wa Mungu kama ilivyotafsiliwa na Binadamu lakini kama Ukisoma Biblia kwa Lugha ya Kiebrania utaelewa alikuwa anamaanisha nini... Yesu kabla ya kukata Roho alimuomba Mungu aipokee roho yake... Huo uzushi uliouandika ni jambo rahisi sana kuandikika....

Hata miaka ya Nyuma tuliambiwa Mtume wenu alizikwa ardhini juu juu nguluwe wakaja wakaufukua mwili ndio maana hamli nyama yake hadi leo.. na mbwa wakaja wakaitafuna mikono yake mkawakataza watu wasifuge mbwa... ni mambo ya utotoni sasa na wewe ongea kama ushakuwa mkubwa
Mlaleo Poa na fungua dirisha dogo tuu upate kuelewa !! Sikulazimishi uhuru ni wako... Naona kuwa hujui kitu nayo !! ni Baina ya mchana na usiku, hujui kitu, yaani baina ya Mshumaa na kopo !! kwako kila kitu ni Sabuni.! Ndugu yangu Usikurupuke tu.. Bora uliza kwanza au kauulize waalimu wako huko kwanza watakujuza " nini tofauti ya MUNGU na MTUME" !! Bila kukupotezea wakati wako, ninajua wewe ni mvivu wa kusoma, Hivyo nikueleweshe uliyoandika ni BASELESS na haikadiriwi au hata kusadikwa. OK elewa sasa ALLAH ndiyo MweneEnziMungu aliyewatermsha maNabii na Mitume yeye yupo juu ya kila kitu(Dunia na kauni zote) na ndiye atarithi yote yaliyomo. Sasa Mtume Muhammad ni mtume wa mwisho aliyekuja baada ya miaka, Kweli walomtangulia kina Nabii Ibrahim, Nabii Mussa, Nabii Issa (Yasu') na wote ulowataja."Salaa na Salaam radhi za Allah ziwe kwao mitume wema"
Sasa Mlaleo unasema eti Allah alikuwa Makkah !! nakujuza zaidi kuwa aliyekuwa makkah Ni Mtume Muhammad. Lakini kabla ya hapo alikuwa wa kwanza kufika Makkah na kuutambua mji wa Makkah alikuwa Nabii Ibrahim ambaye mwanae Ismail alizaliwa maeneo hayo yasiyokuwa na Uhai wa mimiea,miti, majani pilikuwa Ukavu mtupu na hata maji hayakuwepo sembuse wanyama hapa kuwa na kitu zaidi ya Ngamia zipitazo njia msafarani..Sawa naendelea wakati Utume wa Nabii Muhammad hapo Makkah maisha yalikuwa magumuu na ukame kama awali !! sasa hao Nguruwe na Mbwa walitoka wapi ???!!! OKay iliuridhishe joto lako na Upumue kifua cha walimu wako na mafundisho yenu "tuchukue akiba ya maneno kwa walifufua ni mzoga tuu.. Lakini Roho na UJUMBE wa kumuabuduu ALLAH umefika na unaendelea kote Mashariki ya Dunia hadi Magharibi na kote bila kikwazo wala kuzorota." Naam Tunaamini Nabii Issa bin Mariyam Al-Masih atarudi na tunamtukuza kwakuwa ameadhimika/uadhama kwa Mwenyeezi Mungu (Allah) na tutamwamini akija kama mjumbe (Nabii) ametumwa na Allah arudi Ardhini(Duniani) na amalizie maamrisho ya Allah. Sasa Wewe Mlaleo Naomba uninikulie wapi Yasu'(yesu) alitamka yeye ni MUNGU?? Hapo ni muhimu nikisha jua nitashukuru zaidi kwa Allah kunipa elimu mpya ya kumuelewa. Naendelea kukujuza kweli Yasu'(yesu) kama ulivyo nena hapo juu kuwa alimuomba MUNGU !! hivyo alikuwa katika shida akaomba kama mitume yote. Nabii Nuh (Noah) aliomba msaada, nabii Mussa aliomba msaada nabii Ibrahim alioma msaada kwa mungu (kila nabii/mitume aliomba kutokana na hali halisi iliyomkabili) Hakuna aliyekuwa na kiburi.... walijua there is ONE ALLAH na siiyo kila moja ana mungu wake!! (how many Gods?).Tafadhali sijakosea kwa mtu au walengwa waliopo pembeni. Kwa hiyo ndugu `yangu umefahamu' Who is Allah and who is prophets.. Haijalishi imani na njia gani waitumia first tujifunze kujua Uadhama wa POWER za Muumba baadaye tutaelewa nguvu za aliyeumbwa ni nini.!! FYI Waisilamu huwasifia na kuwatukuza Mabaii wote na Mitume wote bila kuwagawa. Waliyupandishwa juu, waliyozikwa ardhini waliyosamehewa na kifo,nk. zote ni neema kwetu wachaa Mungu. ubarikiwe nasi tusamehewe kwa radhi zake.AMIN
 
Mlaleo Poa na fungua dirisha dogo tuu upate kuelewa !! Sikulazimishi uhuru ni wako... Naona kuwa hujui kitu nayo !! ni Baina ya mchana na usiku, hujui kitu, yaani baina ya Mshumaa na kopo !! kwako kila kitu ni Sabuni.! Ndugu yangu Usikurupuke tu.. Bora uliza kwanza au kauulize waalimu wako huko kwanza watakujuza " nini tofauti ya MUNGU na MTUME" !! Bila kukupotezea wakati wako, ninajua wewe ni mvivu wa kusoma, Hivyo nikueleweshe uliyoandika ni BASELESS na haikadiriwi au hata kusadikwa. OK elewa sasa ALLAH ndiyo MweneEnziMungu aliyewatermsha maNabii na Mitume yeye yupo juu ya kila kitu(Dunia na kauni zote) na ndiye atarithi yote yaliyomo. Sasa Mtume Muhammad ni mtume wa mwisho aliyekuja baada ya miaka, Kweli walomtangulia kina Nabii Ibrahim, Nabii Mussa, Nabii Issa (Yasu') na wote ulowataja."Salaa na Salaam radhi za Allah ziwe kwao mitume wema"
Sasa Mlaleo unasema eti Allah alikuwa Makkah !! nakujuza zaidi kuwa aliyekuwa makkah Ni Mtume Muhammad. Lakini kabla ya hapo alikuwa wa kwanza kufika Makkah na kuutambua mji wa Makkah alikuwa Nabii Ibrahim ambaye mwanae Ismail alizaliwa maeneo hayo yasiyokuwa na Uhai wa mimiea,miti, majani pilikuwa Ukavu mtupu na hata maji hayakuwepo sembuse wanyama hapa kuwa na kitu zaidi ya Ngamia zipitazo njia msafarani..Sawa naendelea wakati Utume wa Nabii Muhammad hapo Makkah maisha yalikuwa magumuu na ukame kama awali !! sasa hao Nguruwe na Mbwa walitoka wapi ???!!! OKay iliuridhishe joto lako na Upumue kifua cha walimu wako na mafundisho yenu "tuchukue akiba ya maneno kwa walifufua ni mzoga tuu.. Lakini Roho na UJUMBE wa kumuabuduu ALLAH umefika na unaendelea kote Mashariki ya Dunia hadi Magharibi na kote bila kikwazo wala kuzorota." Naam Tunaamini Nabii Issa bin Mariyam Al-Masih atarudi na tunamtukuza kwakuwa ameadhimika/uadhama kwa Mwenyeezi Mungu (Allah) na tutamwamini akija kama mjumbe (Nabii) ametumwa na Allah arudi Ardhini(Duniani) na amalizie maamrisho ya Allah. Sasa Wewe Mlaleo Naomba uninikulie wapi Yasu'(yesu) alitamka yeye ni MUNGU?? Hapo ni muhimu nikisha jua nitashukuru zaidi kwa Allah kunipa elimu mpya ya kumuelewa. Naendelea kukujuza kweli Yasu'(yesu) kama ulivyo nena hapo juu kuwa alimuomba MUNGU !! hivyo alikuwa katika shida akaomba kama mitume yote. Nabii Nuh (Noah) aliomba msaada, nabii Mussa aliomba msaada nabii Ibrahim alioma msaada kwa mungu (kila nabii/mitume aliomba kutokana na hali halisi iliyomkabili) Hakuna aliyekuwa na kiburi.... walijua there is ONE ALLAH na siiyo kila moja ana mungu wake!! (how many Gods?).Tafadhali sijakosea kwa mtu au walengwa waliopo pembeni. Kwa hiyo ndugu `yangu umefahamu' Who is Allah and who is prophets.. Haijalishi imani na njia gani waitumia first tujifunze kujua Uadhama wa POWER za Muumba baadaye tutaelewa nguvu za aliyeumbwa ni nini.!! FYI Waisilamu huwasifia na kuwatukuza Mabaii wote na Mitume wote bila kuwagawa. Waliyupandishwa juu, waliyozikwa ardhini waliyosamehewa na kifo,nk. zote ni neema kwetu wachaa Mungu. ubarikiwe nasi tusamehewe kwa radhi zake.AMIN
Wewe unachoongea hukielewi hebu soma na utizame wanayofanya ndugu zako... Allah Si Mungu huwezi change kitu... na mimi Sijasema Yesu ni Mungu .... naona unatoa mapovu tu
[h=2]Saudi Arabia: Shocking Video Highlights Abuse of Migrant Workers[/h]Footage of violent attack against migrant worker by his employer goes viral, offering a disturbing insight into abuse faced by many.
AAFont Size
By Ari Soffer First Publish: 10/31/2013, 2:31 PM



453075.jpg
Abuse of foreign worker in Saudi Arabia
Screenshot: YouTube

A video apparently showing the brutal beating of a migrant worker in Saudi Arabia has gone viral, and once again shone a spotlight on the issue of human rights violations in the gulf kingdom.
The victim - who the publisher of the video claims is an Indian national - can be seen pleading for his life as his Arab employer accuses him of looking at his wife. Despite his repeated denials, the victim is then subjected to a horrific and sustained beating. His employer then chillingly asks him "do you want to die?" immediately before the camera stops recording.
It is a disturbing illustration of a phenomenon that rights groups say is all too common in Saudi Arabia and other Arab states in the Middle East. Migrant workers have few, if any rights and no means of representation, leaving them entirely at the mercy of their employers. They are even required to surrender their passports upon arrival, leaving them trapped and helpless, often under conditions akin to slavery.
According to a CNN report, the Saudi government-sponsored "Human Rights Commission" has said it has launched an official investigation into the incident, and that it is attempting to locate the victim to offer help. The group has also called on his attacker to be arrested and tried.
But even if justice is served in this case, there will be plenty of skepticism over the Saudi government's commitment to human rights - and particularly minority rights - in general.
A recent report by Amnesty International slammed the worsening state of human rights abuses in the country. Among the myriad criticisms levelled in the report, it was noted that migrant workers and other minorities regularly suffer abuse and "excessive use of force" at the hands of authorities.
The video includes violent scenes. Viewer discretion is advise
 
Last edited by a moderator:
Wewe unachoongea hukielewi hebu soma na utizame wanayofanya ndugu zako... Allah Si Mungu huwezi change kitu... na mimi Sijasema Yesu ni Mungu .... naona unatoa mapovu tu
Saudi Arabia: Shocking Video Highlights Abuse of Migrant Workers

Footage of violent attack against migrant worker by his employer goes viral, offering a disturbing insight into abuse faced by many.
AAFont Size
By Ari Soffer First Publish: 10/31/2013, 2:31 PM



453075.jpg
Abuse of foreign worker in Saudi Arabia
Screenshot: YouTube

A video apparently showing the brutal beating of a migrant worker in Saudi Arabia has gone viral, and once again shone a spotlight on the issue of human rights violations in the gulf kingdom.
The victim - who the publisher of the video claims is an Indian national - can be seen pleading for his life as his Arab employer accuses him of looking at his wife. Despite his repeated denials, the victim is then subjected to a horrific and sustained beating. His employer then chillingly asks him "do you want to die?" immediately before the camera stops recording.
It is a disturbing illustration of a phenomenon that rights groups say is all too common in Saudi Arabia and other Arab states in the Middle East. Migrant workers have few, if any rights and no means of representation, leaving them entirely at the mercy of their employers. They are even required to surrender their passports upon arrival, leaving them trapped and helpless, often under conditions akin to slavery.
According to a CNN report, the Saudi government-sponsored "Human Rights Commission" has said it has launched an official investigation into the incident, and that it is attempting to locate the victim to offer help. The group has also called on his attacker to be arrested and tried.
But even if justice is served in this case, there will be plenty of skepticism over the Saudi government's commitment to human rights - and particularly minority rights - in general.
A recent report by Amnesty International slammed the worsening state of human rights abuses in the country. Among the myriad criticisms levelled in the report, it was noted that migrant workers and other minorities regularly suffer abuse and "excessive use of force" at the hands of authorities.
The video includes violent scenes. Viewer discretion is advise


upendo upo hapa

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom