Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mchezo umechezwa hapa.Ni kama lilipounguzwa soko kuu la Songea mwaka 2002
Use your head now. Angalia hiyo ndege, chini imebeba makombora.
Wasikilize watoa ushuhuda hapo kua ndege Hii ya Pili, Sio ya kimarekani kama ilivyo dhaniwa mwanzo, na haikua na Alama ya shirika lolote la ndege Duniani. Wanasema " It was grey and it looks like a fighter jet."
<font size="4">
na huyo aliyeshushiwa Quran amekufa akiwa hajui kusoma wala kuandika!
wakuu iko aya katika Quran tukufu inayohusiana na sept 11 attack. labda tujaribu kuichambua.
1.Hii aya inapatikana katika sura ya tisa-Suratul Ahzab ( shambulio nalo lilitokea mwezi wa tisa yaani sept)
2. hii sura inapatikana katika Juzuu au Chapter ya 11. (shambulio nalo lilikuwa tarehe 11)
3. katika aya ya 110 katika sura hiindio kuna aya hiyo (kumbuka majengo yale yalikuwa na ghorofa 110.
4. aya hiyo inasema na mimi nanukuu "hayatodumu majengo yao ambayo wameyajenga kwa shaka ndani ya mioyo yao" (S.A)
NB: WHETHER NI COINCIDENCE AU ILITABIRI SHAMBULIO HILI MUNGU NDIE ANAEJUA.
Hakuna chochote hapo kuhusiana na Sept 11 terror attack, yule mwenzio kasema kuwa kwenye quran ya rafiki yake kumeainishwa kuanzia ndege(aircraft)ya chuma itagonga majengo marefu na kuyateketeza kabisa tarehe,mwezi Sept 11!! Hii quran yako labda ni tofauti na ile ya rafiki.
Sept. 11 inamkanganyiko mwingi sana, inawezekana kabisa ni mchezo ulichezwa na wamarekani wenyewe..ila ukijiuliza wafanye hivyo wenyewe ili iweje ndo majibu hupati
wakuu iko aya katika Quran tukufu inayohusiana na sept 11 attack. labda tujaribu kuichambua.
1.Hii aya inapatikana katika sura ya tisa-Suratul Ahzab ( shambulio nalo lilitokea mwezi wa tisa yaani sept)
2. hii sura inapatikana katika Juzuu au Chapter ya 11. (shambulio nalo lilikuwa tarehe 11)
3. katika aya ya 110 katika sura hiindio kuna aya hiyo (kumbuka majengo yale yalikuwa na ghorofa 110.
4. aya hiyo inasema na mimi nanukuu "hayatodumu majengo yao ambayo wameyajenga kwa shaka ndani ya mioyo yao" (S.A)
NB: WHETHER NI COINCIDENCE AU ILITABIRI SHAMBULIO HILI MUNGU NDIE ANAEJUA.
mh,ila uongo ni mwingi zaidi,hasa katika namba zako ambazo unataka tuamini,
Allah nae mbona alikuwa anaishi Mecca na alikili kuwa yeye si Mungu na anamuabudu Mungu wa Mbinguni.... Sisi Tumjuae Mungu yule wa Abraham Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo Yesu alisema yeye ni Mwana wa Mungu kama ilivyotafsiliwa na Binadamu lakini kama Ukisoma Biblia kwa Lugha ya Kiebrania utaelewa alikuwa anamaanisha nini... Yesu kabla ya kukata Roho alimuomba Mungu aipokee roho yake... Huo uzushi uliouandika ni jambo rahisi sana kuandikika....
Hata miaka ya Nyuma tuliambiwa Mtume wenu alizikwa ardhini juu juu nguluwe wakaja wakaufukua mwili ndio maana hamli nyama yake hadi leo.. na mbwa wakaja wakaitafuna mikono yake mkawakataza watu wasifuge mbwa... ni mambo ya utotoni sasa na wewe ongea kama ushakuwa mkubwa