Hahaha...akome kabisaLikohugu sio jina la kihaya hata kidogo.usituaribie wanawake wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee wewe Dada una kipajiiiiiii FACTS.Kusutwa ni suna
Ben anaoa na kuacha wadada wanaoishi ughaibuni wenye passport zao. Awe ameachwa na mzungu au alijilipua au alizaliwa yeye anachotaka ni mdada wa Ughaibuni mwenye life.
Akishakuwa mume halali huwashawishi wadada wachukue mikopo benki na hela Ben anaizungusha kwenye biashara zake.
Alishaoa Denmark na Uingereza alimuoa Suzy mtoto wa Kidigo.
Kwenye maslahi Ben haangalii sura.
Kuna wakati mdada wa Denmark alitaka Kinyaia Pub iuzwe apewe chake baada ya kujua alitumika mapenzi hakuna.
Ni kweli bibie anaishi ughaibuni?Watoto sio wa ben.Mwenzangu bahati ya huyu bibie ni kubwa.
Mbele daima, nyuma mwiko.......[emoji28][emoji28][emoji28]simba 1 yanga 0.....
Ila mapenzi bwana
Hata yanga bado ina wapenzi!!
Saa 5:39 usiku napitia uzi huu, nimecheka hadi mama watoto kashtuka nakuja sebureni kuangalia kuna nini....nimemwambia ni kBen Kinyaiya kaoa "mreeeeeeeembo"
Labda mbesa au mashine,siri ya mtungi aijua kataMbona huyo muolewaji ni mbaya zaidi ya bwana mwenywe sielewi nn kilichopendwa hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
HelllooooKweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
Wazee wa assumption naona mpo kazini...demu mkali sana huyo