[emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mwanamke ni mzuri nashangaa watu wanapondaWazee wa assumption naona mpo kazini...demu mkali sana huyo
Mkewe ni mtu mzima kidogo.Naomba CV ya mkewe!
Duh aiseeeh
Kumbe inawezekana ukafunga ndoa mwanaume akawa mzuri kuliko mwanamke kweli kipendacho roho hula nyama mbichi tu mhmhmh dah
Sent using Jamii Forums mobile app
Gauni kama la kibena mjanja wa Mgeta.Mh hiyo gauni ya bi harusi ni hapana kwakweli. Pengine ni muvi
Be Humble is free of charge [emoji873]
Kwa wanaomjua huwa wanasema hivyo.Huyu jamaa namuonaga Kama shoga hivi
Noma
hapo bibi harusi ni yupi ?MTANGAZAJI maarufu Bongo, Ben Kinyaiya siku ya leo Jumamosi afunga ndoa ya kiserikali na mchumba wake wa siku nyingiView attachment 1024168View attachment 1024169View attachment 1024195
PICHA PAMOJA : Ben Kinyaiya na Mkewe Katika Private party yao baada ya kufunga Ndoa [emoji173][emoji173]View attachment 1024625
Enzi za uchumbaView attachment 1024367
au ni movie inatengenezwa nini ?MTANGAZAJI maarufu Bongo, Ben Kinyaiya siku ya leo Jumamosi afunga ndoa ya kiserikali na mchumba wake wa siku nyingiView attachment 1024168View attachment 1024169View attachment 1024195
PICHA PAMOJA : Ben Kinyaiya na Mkewe Katika Private party yao baada ya kufunga Ndoa [emoji173][emoji173]View attachment 1024625
Enzi za uchumbaView attachment 1024367
Hakuna uchawi hapo,wakaka wa mjini tunao pishana nao ktk maduka ya vipodozi ndivyo walivyo wanafuta na wao watu wa kuwanunulia carolight.
Suzy alionekana mswazi tu, lakini alinunua sana ticket za Ben kwenda London.
Tunaomba picha ya SuziSuzy alionekana mswazi tu, lakini alinunua sana ticket za Ben kwenda London.
Kweli nimeamini utamu wa pipi ni mate yako mwenyewe!!!
Kipendacho roho hula nyama mbichi
Kitanda usicholalia, hujui kunguni wake!
Adhabu ya kaburi, aijuae maiti
Siri ya mtungi, aijuae kata!
Lakini yote tisa, kumi ni "Pilipili usiyoila, yakuwashia nini!"
duh ! yaani hapo kwa haraka haraka unaweza ukadhan Ben ndiye bibi harusiMwenye shela ndo bibi harusi
Sio movie ni harusi kweli
duh ! yaani hapo kwa haraka haraka unaweza ukadhan Ben ndiye bibi harusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Yeye hajaona hayo,chamsingi ni mwanamke na ameona atamfaaduh ! yaani hapo kwa haraka haraka unaweza ukadhan Ben ndiye bibi harusi
Sent using Jamii Forums mobile app